Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vile wasanii ambao hawana hata shule kichwani wanavyotengeneza pesa mingi Tz baadhi ya picha za Diamond Platnumz akiweka mitonyo benki👇.. dyfre njoo hapa ujifunze vile unafaa kufanya uki claim kuwa uko na pesa
Screenshot_20220120-022229_1.jpg
Screenshot_20220120-022241_1.jpg
screenshot_20220120-022258_1-jpg.2088701
hqdefault-2-jpg.2088703
screenshot_20220120-022806_1-jpg.2088705
diamond.jpg


Screenshot_20220120-022258_1.jpg


Screenshot_20220120-023112_1.jpg
 
nina doubt sio yake.. kwa ilivyojikunja, nadhan kaokota jiran na atm.. pengine ni mlinzi
hiv ukimjaribu kesho atoe hata 1k nyingine afu akuonyeshe receipt ya salio lililobaki atakubali? au utakuwa umempa mtego mzito
unataka niku proovie aje sasa.. nimekutumia hadi video. itazame hio receipt kwenye video ikiwa sijia kunja bado, mshefa wangu.
ntarudia tena baadae leo ka unataka
 
nataka u mark leo. 19/01/2022. niko na ksh491,201/- ikiwa side hustle tu!. bila kuongeza salo. nataka niku ng'arie, ndio ujue maana civil engineer wa serkali ya kenya ni mtu wa aina gani.
nb: i ll be updating you every 19th of every month till december... sawa👍🏽!
utajua sisi wa kenyareé ni kina nani. watu wa per capita kubwa

matters engineering, taking contractors for a short course. a 3day seminar for invited contractors (grade 8 and above)
State Department Of Public Works View attachment 2088691View attachment 2088688
Huna lolote wewe mwanafunzi wa veta una safari ndefu sana kufikia uingineer
 
Vile wasanii ambao hawana hata shule kichwani wanavyotengeneza pesa mingi Tz baadhi ya picha za Diamond Platnumz akiweka mitonyo benki👇.. dyfre njoo hapa ujifunze vile unafaa kufanya uki claim kuwa uko na pesaView attachment 2088699View attachment 2088700
screenshot_20220120-022258_1-jpg.2088701
hqdefault-2-jpg.2088703
screenshot_20220120-022806_1-jpg.2088705
View attachment 2088708

View attachment 2088701

View attachment 2088707
Hapa Diamond alizingua sana, ina maana ameshindwa kuajiri personal accountant hata part time? ndio maana wasanii wabongo wakifulia wanakufa kimbuzi
 
nina doubt sio yake.. kwa ilivyojikunja, nadhan kaokota jiran na atm.. pengine ni mlinzi
hiv ukimjaribu kesho atoe hata 1k nyingine afu akuonyeshe receipt ya salio lililobaki atakubali? au utakuwa umempa mtego mzito
ntaku proovia zaidi kama unataka basi.
soma account No. 011166038839000024 kama sio. FREDDIE stands for dyfre
20220120_054533.jpg

bado uko na tashwishwi
 
haya hii hapa.
receipt ya hapo awali Account No. 011166038839000024 iko clearer
20220120_053809.jpg
ongea sasa niskie nugu🐒🐒 hii
 
haya hii hapa.
receipt ya hapo awali Account No. 011166038839000024 iko clearer View attachment 2088779 ongea sasa niskie nugu🐒🐒 hii
personal detail sipendi kuoneshana, lakini mumeni skuma hadi ukingoni, hadi nimefanya mambo ambayo haikua necessary. but hope mmeridhika sasa.
munanitishia ili hame hii uzi... hii uzi sihami hivi karibuni, aky walai!
 
Ndo nini sasa hawa polisi wa Dodoma? Kwa nini wanapoteza pesa ya mafuta kuwaongoza, badala yakuwapiga tochi na kuwapa faini kubwa ili wasirudie?
Tatizo kubwa la Afrika kwa ujumla ni uwezo mdogo wa kufikiria, hilo zoezi haliwezi kuwa endelevu kabisa, sidhani Kama litadumu hata wiki Moja, bure kabisa Hawa watu.
 
Back
Top Bottom