Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Karma is a bitch. Magufuli is dead, speaker+CAG walifutwa kazi na hakuna opposition Tanzania. Mama fanya chenye unataka. View attachment 2087772
Wewe nae hua unahangaika na Magufuli hivi hua ni mkenya kweli?hawa walioko Bongo hawatuumizi kwa visitori vyao maana walipigwa na nyundo kichwani enzi zake,vyeti feki,mijizi,sasa wewe huko kenya hua unahangaikia nini kama vile mlichangia demu.Punguza shombo alishakufa.
 
Wewe nae hua unahangaika na Magufuli hivi hua ni mkenya kweli?hawa walioko Bongo hawatuumizi kwa visitori vyao maana walipigwa na nyundo kichwani enzi zake,vyeti feki,mijizi,sasa wewe huko kenya hua unahangaikia nini kama vile mlichangia demu.Punguza shombo alishakufa.
Katika watu ambao hawawezi kumsahau Magufuli ni Wakenya, Kuna wale ambao walimpenda Sana Magufuli kuliko watanzania kwa jinsi alivyowatetea wanyonge (Hawa ni wakenya wengi wa hali ya chini), na wachache wanamchukia kwa jinsi alivyo "outsmart" utawala wa wakenya na kuipaisha Tanzania, Hawa wanaonyesha kufurahisha Sana na kifo chake, hadi Sasa machungu hayajawatoka
 

So what?.., just a referral by a Dr, Nice, and the services are good, possibly cheaper pia na it is a sponsored mission, itabidi aende anako elekezwa, alafu lazima aseme uzuri wa services, so wewe unafikiria ina maanisha Tz ndio kuko heart surgery bora zaidi EAC kwa ajili ya hii clip?., "my penis is bigger than yours" child mentality, mzee bana🤣🤣🤣🤣 😂 😂 😂 😂 😂 .,
 
hiv hii ishu ya magari, mnaisemea Tanzania bara tu peke ake au hadi Tanzania visiwani Zanzibar? yani Bara na Zanzibar zipitwe na Kenya kwenye idadi ya magari? kuweni serious bas!
Kama taifa ni fukara wewe ulitakaje? alafu kama mngekua na magari mengi sana hilo lingeonekana kwa pato la nchi na fuel consumption ya taifa ingekua dhihirisho mwafaka, revenue inge ambatana na maneno yenu, lakini sivyo 😂 😂 😂 yaani kuna njia mingi sana ya kupata hali kamili, kiburi wacheni, jikubalini watanzania, sio dhambi kukua na magari machache kuliko Kenya, mnafurahisha sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,
 
Fuel consumption between Kenya na Tanzania yenye wanajidai wako na magari mengi mno..., 😂 😂 😂
1642591492208.png

1642591572913.png

Kenya
1642591529509.png

1642591603484.png


1642586889578.png


For Kenya posted data ni ya diesel na gasoline while in Tz wameweka total ya all petroleum products consumption na bado!!!
1642586910533.png
 
kenya still remain east african economic powerhouse. kenya's equity bank and kcb bank are very active in tanzania. infact they are the leading banks in tanzania..! other countries tht has their branches incd: uganda, drc, ssudan, rwanda, burundi, ethiopia.
also, nakumatt and uchumi supermarkets were the leading retail stores in tanzania, and also in all other eastern africa countries. i've never heard of any tanzanian thing! in this country.. pengine collaboration na wasafi records pekee
 
Back
Top Bottom