joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Unaumwa sana, hii ni maumivu, maendeleo ya Kenya itakutesa hadi basi, utavuja povu hapa hadi dunia inaisha ama siku ya kiama, hamgusii levels zetu ni Kiswahili tu utaandika humu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Unaumwa sana, hii ni maumivu, maendeleo ya Kenya itakutesa hadi basi, utavuja povu hapa hadi dunia inaisha ama siku ya kiama, hamgusii levels zetu ni Kiswahili tu utaandika humu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Kumbe ndio wame introduce tu hivi majuzi 😂 😂 😂 ., number mpya ya pikipiki!!
Kumbe ndio wame introduce tu hivi majuzi![]()
![]()
., number mpya ya pikipiki!!
Wewe nae hua unahangaika na Magufuli hivi hua ni mkenya kweli?hawa walioko Bongo hawatuumizi kwa visitori vyao maana walipigwa na nyundo kichwani enzi zake,vyeti feki,mijizi,sasa wewe huko kenya hua unahangaikia nini kama vile mlichangia demu.Punguza shombo alishakufa.Karma is a bitch. Magufuli is dead, speaker+CAG walifutwa kazi na hakuna opposition Tanzania. Mama fanya chenye unataka. View attachment 2087772
Katika watu ambao hawawezi kumsahau Magufuli ni Wakenya, Kuna wale ambao walimpenda Sana Magufuli kuliko watanzania kwa jinsi alivyowatetea wanyonge (Hawa ni wakenya wengi wa hali ya chini), na wachache wanamchukia kwa jinsi alivyo "outsmart" utawala wa wakenya na kuipaisha Tanzania, Hawa wanaonyesha kufurahisha Sana na kifo chake, hadi Sasa machungu hayajawatokaWewe nae hua unahangaika na Magufuli hivi hua ni mkenya kweli?hawa walioko Bongo hawatuumizi kwa visitori vyao maana walipigwa na nyundo kichwani enzi zake,vyeti feki,mijizi,sasa wewe huko kenya hua unahangaikia nini kama vile mlichangia demu.Punguza shombo alishakufa.
[emoji38
Heshimu ukweli, adios amigo👋🖐 😂 😂 😂 😂 😂no time for you about this issue again.. have a great day !
@Teargashehe. hebu come again. hapo kidogo sijakupata vizuri



huyu ndiyo bwana mapesa yaani dunia nzima anaichapa sasa usichokoze vita na mwenzako atakufunikaKama taifa ni fukara wewe ulitakaje? alafu kama mngekua na magari mengi sana hilo lingeonekana kwa pato la nchi na fuel consumption ya taifa ingekua dhihirisho mwafaka, revenue inge ambatana na maneno yenu, lakini sivyo 😂 😂 😂 yaani kuna njia mingi sana ya kupata hali kamili, kiburi wacheni, jikubalini watanzania, sio dhambi kukua na magari machache kuliko Kenya, mnafurahisha sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,hiv hii ishu ya magari, mnaisemea Tanzania bara tu peke ake au hadi Tanzania visiwani Zanzibar? yani Bara na Zanzibar zipitwe na Kenya kwenye idadi ya magari? kuweni serious bas!
A Town in the jungleThe Green Cirry in the sun🌞View attachment 2087655 🌞
Ubishi wa kikunyaNionyeshe hiyo pikipiki iliyosajiliwa na MC![]()
Jana nlikua nazunguka kwenye hizo barabara kutafuta ya vumbi, kila napoenda ni zege. Kilichobakia hapo ni uwekezaji wa towerszile barabara za zege nyuma ya victoria zimeonekana vizuri kabisa bila chenga😎,
Huyo jamaa namfananisha na maharage ya Mbeya, maji mara moja.Keshakasirika anaanza kuropoka sasa![]()



Makontena kwenye nchi inayo import almost kila kitu lazima makontena yawe mengi.Anaongea pumba kinoma, ss makontena yanahusiana nn na magari, kwahiyo makontena ya mchele pia yanahesabika kama magari, aibu naona mm wakuu![]()



Zinamiaka hata 7 toka 2014Kumbe ndio wame introduce tu hivi majuzi![]()
![]()
., number mpya ya pikipiki!!