komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Shule zetu mumejazana huku pia, tumewachokaHospitali zetu zimejaa wakenya, tumechoka rudini kwenu![]()
Shule zetu mumejazana huku pia, tumewachokaHospitali zetu zimejaa wakenya, tumechoka rudini kwenu![]()
Wapenda ubwete hao ndio mtawapata,
Our hospitals are full of Kenyans, we are really tired of you, why can't you improve your health facilities?, Where is your big GDP?Stop playing the high road game ......your desperate farmers will flood our borders for our money and there's nothing sorry you can do about it.........
let us bet basi. nakuhakikishia kwa maisha yako yote iliyobaki na wengine wote humu, tungoje kama tanzania itawahi zidi kenya kwa size ya uchumi. kwa ufupi.... hakuna siku ... pengine by 2201 ADWorking hard?, Kama mnafanyakazi kwa bidii iweje tumewafurusha katika masoko yote mliyokuwa mkiongoza?, Rwanda, Uganda na DRC?![]()
GDP haijengi hospitali kilazaOur hospitals are full of Kenyans, we are really tired of you, why can't you improve your health facilities?, Where is your big GDP?
Una uhakika ulichoandika ndio hizo data zinachoonesha?Kwahyo sahvi ukitoa takwimu sahihi ndio ushakua mkenya...fact haipindi hata ufanyeje
Sasa angalia idadi ya magari Tz ilionunua kwa kipindi cha miaka 10 linganisha na kenya ndio mtajua sikua nimeropoka,nmesema ukweli tu
Tz unit 380k,kenya unit 1.381k yani wametuzidi sana hapa lakini kuna watu mtabisha badoView attachment 2085458View attachment 2085459View attachment 2085460
Kenya ni nchi iliyolaaniwa.inaskitisha sana aloosijui walirogwa na nani hawa watu
Hapana, hii ni too much, hivi kwanini Kenya mnaishi Kama wanyama?wewe huwa unacheka hata watu wakipata accident barabarani.....tumekuzoea.....go on
Masoko yote tumeshawafurusha, tutawafurusha South Sudan pia in shortest time possible.let us bet basi. nakuhakikishia kwa maisha yako yote iliyobaki na wengine wote humu, tungoje kama tanzania itawahi zidi kenya kwa size ya uchumi. kwa ufupi.... hakuna siku ... pengine by 2201 AD
Hahahaha, ukileta ujinga Hawa wagonjwa wenu tutawafurusha warudi kwenuGDP haijengi hospitali kilaza



Ila tumewapita katika huduma Bora za Hospitali, uzalishaji wa chakula, export trade, tourism, transportation, Agriculture.......let us bet basi. nakuhakikishia kwa maisha yako yote iliyobaki na wengine wote humu, tungoje kama tanzania itawahi zidi kenya kwa size ya uchumi. kwa ufupi.... hakuna siku ... pengine by 2201 AD
Kwahyo sahvi ukitoa takwimu sahihi ndio ushakua mkenya...fact haipindi hata ufanyeje
Sasa angalia idadi ya magari Tz ilionunua kwa kipindi cha miaka 10 linganisha na kenya ndio mtajua sikua nimeropoka,nmesema ukweli tu
Tz unit 380k,kenya unit 1.381k yani wametuzidi sana hapa lakini kuna watu mtabisha badoView attachment 2085458View attachment 2085459View attachment 2085460
tu ndio nime realize, watz mnaogopa sana kenya., ndio sababu jambo lolote baya likifanyika huko, inakua ni bonge la shangwe vifijo na nderemo. all these brought by extreem jealousy, inferiority complex and low self esteem. damn ya'll waTanga, waNyika na waZanzibariHapana, hii ni too much, hivi kwanini Kenya mnaishi Kama wanyama?
WafukuzeniHahahaha, ukileta ujinga Hawa wagonjwa wenu tutawafurusha warudi kwenu![]()



uchungu yenu ni kwamba, kenya ina idadi ndogo kuliko yenu, 47m and 61m respectively, alafu, alafu.... uchumi wa Kenya inazidi yenu karibu mara mbili !!..Ila tumewapita katika huduma Bora za Hospitali, uzalishaji wa chakula, export trade, tourism, transportation, Agriculture.......
Why are they keep on coming?does this means we are something else?
Twin towers pembeni kuna historical gothic church kama Europe
Stop your stupidity and reply to the main topic, why do you kill each other like wild animals?, Life in Kenya is valueless isn't?tu ndio nime realize, watz mnaogopa sana kenya., ndio sababu jambo lofoten baya likifanyika huko, inakua ni bongo la shangwe visitors na nderemo. all these brought by extreem jealousy, inferiority complex and low self esteem. damn you'll waTanga, waNyika na waZanzibaris
Tanzania is the head and heartbeat of this regionWhy are they keep on coming?does this means we are something else?
Uchumi mkubwa lakini hamuwezi boresha Hospitali zenu matokeo yake Wakenya wanajaza vitanda vya Hospitali zetuuchungu yenu ni kwamba, kenya ina idadi ndogo kuliko ya tanzania, 47m and 61m respectively, alafu, alafu.... uchumi wa Kenya inazidi yenu karibu mara mbili !!..
hi ndio sababu magufuli hakupenda kenya, (uwivu). hata bila warning, hakusita, ali auction ngombe zetu na kuwauwa vifaranga zetu![]()