Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ewanjala tuonyeshe Casino za Nairobi tupe na jina. Usibebe za SA
FB_IMG_1499838789068.jpg
FB_IMG_1499838776588.jpg
 
Tanzania of 2017 imewakosesha ndugu zetu raha kabisa😀😀😀😀😀😀
 
Inamaana tukiingia kwenye tundu la mavi nanyie pia munaingia😛😛😛😛😛
ndio kwa maana nimesema mukileta picha kuboesha uzi, mimi kwa upande wangu nitachukua some time off from this thread mpaka irudi sawa.
yaani jiji la 696sqkm linawatia joto mpaka mumeamua kuleta linchi lizima???? smh!
 
ndio kwa maana nimesema mukileta picha kuboesha uzi, mimi kwa upande wangu nitachukua some time off from this thread mpaka irudi sawa.
yaani jiji la 696sqkm linawatia joto mpaka mumeamua kuleta linchi lizima???? smh!
Hahah mulikua munataka kuona beauty of tanzania hahaha naona mumepata na homa
696 km sq yani inaingia mara tatu kwa dar hebu imagine ndio maana nikakwambia sio level yenu dar😀😀😀😀😀
Remb just 10 yrs my friend
 
Back
Top Bottom