Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na jangwani penyewe sababu pale kuna mto likini ukienda nairobi kwa wazee wa infrastructure ni shida hadii juu ya vipisi vya fly over

nairobi pia ina mito kadhaa iliyokatiza katikati au pembezoni mwa jiji.moja ya mito hiyo ni mathare river na nairobi river.kuna wakati hii mito husababisha uchafu mwingi sana kwa jiji.ni kinyaa hata kupita jirani na hii mto.nitaleta picha.
 
Hahah mulikua munataka kuona beauty of tanzania hahaha naona mumepata na homa
696 km sq yani inaingia mara tatu kwa dar hebu imagine ndio maana nikakwambia sio level yenu dar😀😀😀😀😀
Remb just 10 yrs my friend
10yrs na bado muko nyuma sana.... kutujazia thread na tutower tuwili tu. ukiuliza mKenya yeyote akutatajie tower za dar atakuambia pspf na tpa. basi. jifundisheni marketting tafadhali
 
Wanjala na mzee wa Youtube Lete ni Casinos
FB_IMG_1499838862192.jpg
FB_IMG_1499838891859.jpg
FB_IMG_1499838880932.jpg
 
nairobi pia ina mito kadhaa iliyokatiza katikati au pembezoni mwa jiji.moja ya mito hiyo ni mathare river na nairobi river.kuna wakati hii mito husababisha uchafu mwingi sana kwa jiji.ni kinyaa hata kupita jirani na hii mto.nitaleta picha.
leta tu. ungekuwa unatumia hio energy ku market dar.
 
ndio kwa maana nimesema mukileta picha kuboesha uzi, mimi kwa upande wangu nitachukua some time off from this thread mpaka irudi sawa.
yaani jiji la 696sqkm linawatia joto mpaka mumeamua kuleta linchi lizima???? smh!
toka kabisa nje ya jf nenda nairaland ukatukanane na nigerians and ghanaians.

ila ukirudi jf kwa ID mpya usiache kutujuza.jf ndio home,jf ndio jabari la forum EA.haina mpinzani.
 
10yrs na bado muko nyuma sana.... kutujazia thread na tutower tuwili tu. ukiuliza mKenya yeyote akutatajie tower za dar atakuambia pspf na tpa. basi. jifundisheni marketting tafadhali
Ukimuuliza Mtanzania akutajie towers za Kenya ni Kibera Towers. Jifunzeni marketing pia
images-291.jpeg
images-291.jpeg
 
toka kabisa nje ya jf nenda nairaland ukatukanane na nigerians and ghanaians.

ila ukirudi jf kwa ID mpya usiache kutujuza.jf ndio home,jf ndio jabari la forum EA.haina mpinzani.
haunipangii cha kufanya... ntazidi kuwakera nyinyi taifa masikini wa kutupwa kwa kuwaonyesha picha na maendeleo mbali mbali yanayoendelea ndani ya +254 mpaka mujitie kitanzi.
mimi huwa situkani... hio negative energy nilikuwa natumia zamani kwa Big Brother Africa. saa hizi nimekuwa mtu mzima. badala ya kukutukana, especially wewe mtu wa ldc, naona heri nikucheke tu kwa dharau. lol! sorry bruh.
# it is what it is
 
haunipangii cha kufanya... ntazidi kuwakera nyinyi taifa masikini wa kutupwa kwa kuwaonyesha picha na maendeleo mbali mbali yanayoendelea ndani ya +254 mpaka mujitie kitanzi.
mimi huwa situkani... hio negative energy nilikuwa natumia zamani kwa Big Brother Africa. saa hizi nimekuwa mtu mzima. badala ya kukutukana, especially wewe mtu wa ldc, naona heri nikucheke tu kwa dharau. lol! sorry bruh.
# it is what it is
punguza povu buda....hasira za nini?.punguza hasira.
 
my evening goes like this.
47aa07b5de5ca6c8e20d280cf44d1b09.jpg

drinking at the same time listening to some rumba vibes from ferre gola,fally ipupa and koffi olomide.
dar es salaam kisiwa cha amani tele.thank you God.
 
Ukiona mji umejaa miti jua hilo sio jiji bali ni pori.Ndo maana Alishaabab wamefanya Nairobi kama ngome. Mji kila kona msitu. Alafu eti its better than Dar es salaam.
 
my evening goes like this.
47aa07b5de5ca6c8e20d280cf44d1b09.jpg

drinking at the same time listening to some rumba vibes from ferre gola,fally ipupa and koffi olomide.
dar es salaam kisiwa cha amani tele.thank you God.
post Serengeti beer msee. you see this is how you lose. hio castle hata mimi nishakunywa sana but ni ya mSouth Africa. mbona usi promote beer yenu?
 
Back
Top Bottom