Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eldoret peeps.....is this bypass complete?
Screenshot_20220117-212606_Opera%20Mini.jpg
 
Kwahyo sahvi ukitoa takwimu sahihi ndio ushakua mkenya...fact haipindi hata ufanyeje
Sasa angalia idadi ya magari Tz ilionunua kwa kipindi cha miaka 10 linganisha na kenya ndio mtajua sikua nimeropoka,nmesema ukweli tu

Tz unit 380k,kenya unit 1.381k yani wametuzidi sana hapa lakini kuna watu mtabisha bado
Screenshot_20220117-220514_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220117-220521_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220117-220540_Samsung%20Internet.jpg
 
Kwahyo sahvi ukitoa takwimu sahihi ndio ushakua mkenya...fact haipindi hata ufanyeje
Sasa angalia idadi ya magari Tz ilionunua kwa kipindi cha miaka 10 linganisha na kenya ndio mtajua sikua nimeropoka,nmesema ukweli tu

Tz unit 380k,kenya unit 1.381k yani wametuzidi sana hapa lakini kuna watu mtabisha badoView attachment 2085458View attachment 2085459View attachment 2085460

acha kujiabisha.. kwenye debate sio lazima ushinde.. ukishindwa jambo kaa chin ujifunze.. sio kutafuta uonekane unataka kushinda.. hapa hata sijui umeleta source ya wap

una kadi ya gari? ile namba iliyoandikwa ndo idadi ya magar yaliyosajiriwa hadi kufika kwenye hilo gari.. uliza hata mtu wa tra
 
acha kujiabisha.. kwenye debate sio lazima ushinde.. ukishindwa jambo kaa chin ujifunze.. sio kutafuta uonekane unataka kushinda.. hapa hata sijui umeleta source ya wap

una kadi ya gari? ile namba iliyoandikwa ndo idadi ya magar yaliyosajiriwa hadi kufika kwenye hilo gari.. uliza hata mtu wa tra
Hakuna hayo magari tz ya kuzidi kenya...onyesha iyo kadi yako
 
Back
Top Bottom