Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jiongelee shithole yenu iliochukua mkopo wa dollars billions 83 lakini kwa round hakuna mradi wowote wa maana zaidi ya MGR km 300 ilioishia kichakani

Kwani mna muundombinu Mwingine mkubwa zaidi ya ile MGR ya kichakani? Nikumbushe
Punguza jazba, tanzania ya mikopo viwanda viko pembeni kwanza..
Maskini nchi yenye asali na maziwa

Mama kasema kukopa sio mbaya mbona ukasirika wewe sasa na wakati kasema tu ukwel

JamiiForums mobile app
 
Punguza jazba, tanzania ya mikopo viwanda viko pembeni kwanza..
Maskini nchi yenye asali na maziwa

Mama kasema kukopa sio mbaya mbona ukasirika wewe sasa na wakati kasema tu ukwel

JamiiForums mobile app
Ila mwisho wa siku katika hilo deni lenu la dollars billions 83 hakuna mradi wowote unaoreflect ukubwa wa deni kabisa, bado mnahitaji mkopo mpya wa dollars billions 100 kufika angalau kuwa na bullet train kama yetu ya kilometers 1500 😂😂😂😂

Mlikopa kulipa mishahara na kununua chakula,
 
Ila mwisho wa siku katika hilo deni lenu la dollars billions 83 hakuna mradi wowote unaoreflect ukubwa wa deni kabisa, bado mnahitaji mkopo mpya wa dollars billions 100 kufika angalau kuwa na bullet train kama yetu ya kilometers 1500

Mlikopa kulipa mishahara na kununua chakula,
Uzuri mama sio mbabaishaji
Anasafisha kila kitu...
Maneno ya majukwaani pia kwishnehi, unenguaji umepungua katika kiasi kikubwa alafu ukopaji umeanza kuwekwa wazi..

Bado akope amalize esijiare na miradi mingine iliyokwama, mwaka ukiisha mtacheza 90% si nyinyi mnataka kushindana na sie..
Twendeni tu lkn mwisho mtafanywa km alivyosema ndugai, uwezo wa kulipa hamna alafu mnajitia kushindana na giant

JamiiForums mobile app
 
Uzuri mama sio mbabaishaji
Anasafisha kila kitu...
Maneno ya majukwaani pia kwishnehi, unenguaji umepungua katika kiasi kikubwa alafu ukopaji umeanza kuwekwa wazi..

Bado akope amalize esijiare na miradi mingine iliyokwama, mwaka ukiisha mtacheza 90% si nyinyi mnataka kushindana na sie..
Twendeni tu lkn mwisho mtafanywa km alivyosema ndugai, uwezo wa kulipa hamna alafu mnajitia kushindana na giant

JamiiForums mobile app
Giant inayokopa kununua mahindi? 😂😂😂😂

Sababu hakuna mahali mnaweza kuoneshwa na kunyata na wenzie walipozipeleka billion 83 tofauti na chakula na mishahara 😂😂😂
 
Hujielewi nini bwana kwani huoni kwamba Dodoma haina slums kama zilizotapakaa Nairobi yote?
Do you even have a brain let alone eyes.....lol.stop running to dodoma village without an airstrip. This hovels covering 90% of dar and Tanzania huoni.......weh!Then I am sorry for you people.....
2209122_Screenshot_20191110-193507.jpg
2209114_tapatalk_1567199234954.jpg
 
sasa 55% ya deni na kaGDP ni $60b si Tanzania ambayo ni ldc iuzwe tu.
Nawashauri mfanye audit ya deni lenu la dollars billions 105 from last year lakini hamna chochote mlichonacho mkononi, zaidi ndio mnazidi kufa njaa na kuomba msaada wa chakula 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

Screenshot_20220113-150518.png
 
Do you even have a brain let alone eyes.....lol.stop running to dodoma village without an airstrip. This hovels covering 90% of dar and Tanzania huoni.......weh!Then I am sorry for you people.....View attachment 2079418View attachment 2079419
Zaidi ya 60% mnaishi kwenye slums, sio maneno yangu 🤣🤣🤣🤣

Hii ni Nairobi tu, note, hakuna mji wowote Kenya usio na utitiri wa slums 😂😂😂

Screenshot_20220113-150814.png
 
Siongelei pedestrian bridges tatu kwa jiji nzima. Naongelea pedestrian bridges zisizohesabika maanake mji mkubwa kama Dar unafaa kuwa nazo kila Mahali. Hiyo Kibaha highway haifai kuwa na Zebra crossing hata moja. Inafaa kuwa na pedestrian bridges more than 20. Thika road pekee inazo 30.
Kwahyo dar nzima iko na 3 pedestrian bridges 😂😂😂 acha kuwa muongo mzee, upo radhi uongee uongo mzee baba 😂😂😂 .. morogoro road alone (from CBD to Kimara mwisho) has 3 pedestrian bridges ambayo yapo maeneo ya Manzese, Ubungo na kimara mwisho.. .. nakuongeza hii hapa kawe bondeni bagamoyo road 👇.
1789645_IMG_20180708_094827.jpg
Buguruni 👇. Moroko pedestrian bridge 👇
1(7).jpg
00.jpg
Morocco-BRT-Terminal-Station-DSM-1024x683.jpg
mbagala pedestrian bridge 👇
large_16286715851a281d09f4ee34c48a35846acd9db6df.jpeg
mbezi Louis pedestrian bridge👇
FIMgpS5XwAgONrR.jpg
hii ni jumla ya Madaraja saba.. Kimara kibaha high way ikiiisha nayo itaongeza list ya pedestrian bridges.. .. haya nataka na wewe uonyeshe hizo pedestrian bridges 30 ulizodai kwa thika high way ..😂😂😂
 
Yaani kumbe 60% ya Wakazi wa Nairobi wanaishi kwenye Slums? Hawa watu tunaongea nao nini? Maajabu……
😂😂😂😂😂 Tena hizo wamepunjwa, Nairobi tu ina Slums zaidi ya 30 Yaani hata vile viestate vyao vidogovidogo havifiki 15, literally zaidi ya 90% ya population ya Nairobi ipo kwenye Slum
 
Any Tanzanian will never see any problem with this pics but they too fast to lament our informal settlements.
Zoom in ushangae na roho yako

Sisi tunawashangaa ninyi mnaosema tuna deni kubwa wakati ninyi wenye deni la $ billion 105 hamjioni, sisi tuna $ billion 39 tu lakini tuna miradi itayowachukua miaka 100, kwanini hamuhoji serikali yenu pesa zote hizo wamepelela wapi?

Screenshot_20220113-150518.png
 
😂😂😂😂😂 Tena hizo wamepunjwa, Nairobi tu ina Slums zaidi ya 30 Yaani hata vile viestate vyao vidogovidogo havifiki 15, literally zaidi ya 90% ya population ya Nairobi ipo kwenye Slum
si useme tu 100% ndio ujiliwaze.....download google earth and see the world for yourself then compare with those poor villages of yours in tanzania you call cities
 
Back
Top Bottom