chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,120
Asa hiyo unayo?That's like Ksh. 1,157,821 😂😂. We've seen bigger here in Kenya
Asa hiyo unayo?That's like Ksh. 1,157,821 😂😂. We've seen bigger here in Kenya
😂😂😂😂 Halafu unajifanya unaijua Tanzania
kidimbwi![]()
Hii ndio hile mlima Baba Levo alikuwa anasema?🤣🤣🤣
Tanzanian longest flyover which is the only one in the country is Tazara which is 400 meters, alafu Ubungo interchange is 200 meters😂😂View attachment 2075563
Kuna jamaa angu mmoja ameniambia nikuulizeni, eti ukiitoa express way ya mchina hapo NAROW BEE ni flyover ipi ni ndefu kuliko Kijazi interchange.?
Ooh kumbe.? Nilikua sijui, owky enjoy nowTanzanian longest flyover which is the only one in the country is Tazara which is 400 meters, alafu Ubungo interchange is 200 meters😂😂
Hahaha nyie huwa wajinga siku zote. Utaambiaje investor jinsi atakavyotumia pesa zake? Hii mambo ya kujipiga kifua ndio huwa inawafukuza investors inawafanya watoroke Tanzania na kuenda Mozambique. Yaani nyie ni nani mnajipiga kifua kwamba lazima lng gas plant ijengwe on shore hata kama investors hawataki? Sasa ona mtaka yote hukosa yote, hamjapata mlichokuwa mkitaka. Hamuwezi kulazimisha investors kufanya wasichotaka kufanya. Mimi sikuwahi kupenda jinsi Magu alivyokuwa akiendesha vitu kibabe. Alikuwa anapenda kutumia kifua kila mahali hata mahali ambapo busara na ustaarabu unahitajika. Sasa Mozambique wanakula mema ya nchi wakati nyinyi bado mnahangaika kutafuta investors. Huyu mama naona hana damu moto na ukurupukaji kama mwenda zake natumai ataweza kukaa chini na investors na kuwashawishi walete meli waanze kuchimba na kuvuna gesi. Wacheni masharti mengi za kipuuzi kwa investors. Investors hawapendi masharti mengi za ujinga.Kitu usijojua kuhusi lng ya tz ni tofauti na mozambique in tz kuna producers kama 4 halafu kila producer alitaka offshore lng facility kama ya mozambique sisi tukasema No what we want ni one shared onshore lng facility hata baada ya reserves kuisha mtambo utabaki tz unlike mozambique mtambo umejengwa juu ya meli na inapakia hukohuko baharini kina kirefu na reserves zao zikiisha wanaondoka na meli yao yenye mtambo wa lng sisi hatutaki hivyo mtambo wetu utakuwa ni mali ya serikali wale producers kila mmoja atapewa quarter yake katika kuchakata gas.
Kenya kuna flyover tofauti na Expressway, it`s 4KM.Ooh kumbe.? Nilikua sijui, owky enjoy now
Nimeuliza hivi ukiitoa express way ( barabara ya mchina) ni Flyover ipi hapo mjini NAIROBI ni ndefu kuliko Kijazi interchange, ambayo 👇the top level on the Nelson Mandela and Samnujoma roads is 700m long standing at 16.3m highKenya kuna flyover tofauti na Expressway, it`s 4KM.
So muendelee kuwa masikini kwa miaka ishirini zijazo kwa sababu hamtaki kuliwa? Hahaha. Mbona mnaliwa kwenye migodi za dhahabu na hamlalamiki? Usichojua ni kwamba serikali ya Mozambique inamiliki 15% ya kampuni hii iliyoundwa kuvuna hii gesi. Isitoshe watapokea royalities na taxes kutoka kampuni hio. Ukijumuisha dividends watakazopokea kwa sababu wao ni shareholders,taxes kwa mfano corporate tax, na royalties basi nchi hii itavuna pesa kwa magunia. Kumbuka gesi hii tayari imeshanunuliwa kwa miaka ishirini. Yaani mteja ameshapatikana na ameshanunua gesi lote kwa miaka ishirini. Yaani kaeni hapo mkiwa masikini wakati Mozambique wananeemeka na kujivinjari na mema ya nchi na baraka za rasilimali walizopewa na Mungu.Ni bora tusijenge hata miaka 20 ijayo kama maslahi ya nchi hayatazingatiwa ..Ni bora uliwe for the sake of kuonekana unazalisha gas na mwanachi hafaidiki..au ukae miaka 20 unatafuta maslahi mazuri yatayonufaisha NChi?
We still have alot of unataped potenital without using that gas
Agriculture tu hatujai exploit fully
Hatujaanza Kuchimba na kuprocess Iron yetu
Ndo kwanza tumesign mikataba ya Graphite
Manufcturing yetu hatujaitumia vya kutosha
Fishing bado
Tourism bado hatujafika hata 5bn usd kwa mwaka in revenues
Money meant for Kenya but spending in Tanzania because of lazy hunger stricken bones
Wewe unajua hata maana ya flyover kweli? Since when did a lower road become a flyover?🤣🤣🤣Nimeuliza hivi ukiitoa express way ( barabara ya mchina) ni Flyover ipi hapo mjini NAIROBI ni ndefu kuliko Kijazi interchange, ambayo 👇the top level on the Nelson Mandela and Samnujoma roads is 700m long standing at 16.3m highView attachment 2075570yani hii 👇.?View attachment 2075575
Ndio Bwana Mapesa........Hii ndio hile mlima Baba Levo alikuwa anasema?🤣🤣🤣
Bado unataka uonyeshwe pahali expressway inajengwa?🤣🤣hebu tuonesshe hio westland express way pahali munajenga😁😁😁😁
Yani people are building elevated roads of more than 10km lakini bado nyinyi mnang`ang`ana na 200 meter elevated road?Ndio Bwana Mapesa........
😂😂😂 Ajabu kweli.. pitia hapa ujue maana ya Flyover, inaonekana wewe ndio hujui maana ya Flyover 👇Wewe unajua hata maana ya flyover kweli? Since when did a lower road become a flyover?🤣🤣🤣
Kuna mingi kuliko hiyo kijazi which is less than 1km.😂😂😂 Ajabu kweli.. pitia hapa ujue maana ya Flyover, inaonekana wewe ndio hujui maana ya Flyover 👇View attachment 2075590alafu usinitoe kwenye reli, jibu swali bhana.. hii 👇 ni kijazi interchangeView attachment 2075592top level road is 700m long, je kenya ukiitoa express way (barabara ya mchina) kuna flyover ndefu kuliko Kijazi interchange.? Maelezo yake 👇View attachment 2075594
Zikowapi sasa.? Pangani interchange.? 😂😂😂Kuna mingi kuliko hiyo kijazi which is less than 1km.
tafuta source sahihu upost hapa ww na waziri nani anaejua zaidi??😂😂😂View attachment 2075199
Do you understand the meaning of the word "maximum"?