Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jan.zah.79-post-2022_01_09_13_55.jpeg
jan.zah.79-post-2022_01_09_13_55-1.jpeg
washi_munoru-post-2022_01_07_21_18.jpeg
FB_IMG_16417025455939094.jpeg
FB_IMG_16417025251663916.jpeg
FB_IMG_16417025194138462.jpeg
FB_IMG_16417025684204688.jpeg
esther_bradley18-post-2022_01_08_17_37.jpeg
 
bado nipo dodoma mpk sasa, watu wa huku.. wananchi, viongozi wanasema mama hana mpango wa kuiendeleza dodoma kama rais aliepita alivyokuwa anafanya.. atatekeleza tu ile mirad iliyokuwa approved/iliyotengewa fedha tayar..
huyu mama.. 2025 vita yake itakuwa kubwa sana.. aangalie watu wasije wakamwondoa kwenye urais au hata uhai
Dodoma ring road wafanyakazi 80% wamepunguzwa kazi na mradi upo 5%

Huyu mama ni pigo zaidi ya kifo cha JPM kwa maendeleo ya hili taifa, yupo Pemba kwenye taarab
 
Nyie hamjaanza kujenga na hamtawahi kujenga. Yenu ilikuwa ni hadithi za Abunuasi tu.
Ni bora tusijenge hata miaka 20 ijayo kama maslahi ya nchi hayatazingatiwa ..Ni bora uliwe for the sake of kuonekana unazalisha gas na mwanachi hafaidiki..au ukae miaka 20 unatafuta maslahi mazuri yatayonufaisha NChi?

We still have alot of unataped potenital without using that gas

Agriculture tu hatujai exploit fully
Hatujaanza Kuchimba na kuprocess Iron yetu
Ndo kwanza tumesign mikataba ya Graphite
Manufcturing yetu hatujaitumia vya kutosha
Fishing bado
Tourism bado hatujafika hata 5bn usd kwa mwaka in revenues
 
Kitu usijojua kuhusi lng ya tz ni tofauti na mozambique in tz kuna producers kama 4 halafu kila producer alitaka offshore lng facility kama ya mozambique sisi tukasema No what we want ni one shared onshore lng facility hata baada ya reserves kuisha mtambo utabaki tz unlike mozambique mtambo umejengwa juu ya meli na inapakia hukohuko baharini kina kirefu na reserves zao zikiisha wanaondoka na meli yao yenye mtambo wa lng sisi hatutaki hivyo mtambo wetu utakuwa ni mali ya serikali wale producers kila mmoja atapewa quarter yake katika kuchakata gas.
Unawaambia Wakunya hivi hawakuelewi ndio maana kila siku nasema elimu yao ni the shittiest, uelewa wao kimo cha funza na negotiations ni kitu kilichowapita kushoto sana.
 
Bado Kenya inakumbwa na madeni, njaa, ugaidi, unemployment, terrorism na hakuna unafuu wowote unaoletwa na mikutano hiyo zaidi ya kupiga picha
Kenya inajivunia kuongea na Marais watatu wa marekani 😂😂😂

FIt2grPXoAAJocg.jpeg



Unaweza kufikiri walikua wanaongea vya maana kumbe ni namna ya kukabiliana na njaa Kenya 😂😂😂😂

 
Watanzania ni matajiri Wakunya tueleweni jamani msikaze fuvu 😂😂😂😂

This is for private consumption sio business retailing
FGeKHjHWYAEvqp5.jpeg
 
Back
Top Bottom