Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kutupima akili, the part to be dualled is only 9km.
Screenshot_20220108-202131.png
 
Wewe ni mshenzi,kwa hiyo unabishana na Naibu Spika ambae anatoke Mbeya au? Biashia hiyo taarifa ya gazeti rasmi.

Kwanza wewe ni mjinga,Uyole-Mbalizi ni zaidi ya 20km,with bypass ni 40 km sijui unaongea utumbo gani.

Dualing itaanzia Igawa hadi Tunduma border hutaki jinyonge.
Huezipingana na ukweli. Hizo figures zako unaezabaki nazo.😂😂👇👇

The expansion will involve the construction of four lanes from Uyole to Mbalizi. Earlier, Mbeya Regional Commissioner Amos Makalla directed experts from all the district councils to stop red-tapes in releasing development project funds disbursed by the government.
 
Funga bakuli lako wewe taahira sababu hakuna sense yoyote unayoongea, kilimo ndio sector inayoajiri watu wengi duniani na ndio inayoshikilia uchumi wa dunia, kama kilimo sio fani yako usiongelee kilimo na mentality kama hii yako ndio inatafanya mfe na njaa zaidi
Tz imejaa wakulima madhara yake si ndio tunayaona, nchi inaenda iki mark-time walalahoi kibao..
Mtu akipanda mihogo na mboga anaona basi keshamaliza kila kitu katika maisha yake

JamiiForums mobile app
 
Huezipingana na ukweli. Hizo figures zako unaezabaki nazo.😂😂👇👇

The expansion will involve the construction of four lanes from Uyole to Mbalizi. Earlier, Mbeya Regional Commissioner Amos Makalla directed experts from all the district councils to stop red-tapes in releasing development project funds disbursed by the government.
Wewe una matatizo,unaleta habari ya 2018 mimi nakupa ya 2022 ,una matatizo au?
 
i can say, zimbabwe, just like kenya or ghana or even zambia, etc. were built on very strong colonial foundation, that can clearly be read on their architecture, infrastructure, urban planning, education systems, english as official language, and the whole system of country in general..
i'd say colonization was more of an advantage and blessing to us than was it not their. even wishing the white men could have left our country in the 90's like the case with south africa.
just remaining uncolonized is a big demerit to a country, like the case with TANZANIA and ethiopia or liberia. as much as they seem to have enjoyed freedom, but tht way left them the most ignorant and impoverished countries in the world. as much as they seem to be growing now, tht growth was just realised the other day. visa vie, they started everything from scratch. otherwise prior to tht, they were at the bottom list among the poorest nations in the world. Nb: liberia still is.!
i still wonder how tanzania qualified to join as a commonwealth member country, yet it was very briefly colonized by the germans who never left any tangible impact at all, tanzania had to started everything from 'zero', just as recently as from the 2000's.. . which is why kenya or zimbabwe (was it only not for mugabe) have always been ahead of tz ever since the dawn of colonial era
Your proficiency is undoubted,back to the point,Tell me the demerit of not being colonized as far as Tz is concerned....as far as i can remember Tz was once colonised by Germany and later British before fully independence 1961...it looks like you've no idea what Tz went through before it becomes a United republic. And reminds me how far is Kenya from where Tz is?
Life expectancy of tanzanians is 66yrs ke 67yrs that can tell everything
 
Hile uongo wenu wa sijui sisi hatukopi imekuwa exposed, yani mwaka moja mmekopa $5B? Na hiyo bado hatujaongelea zile grants and donations
Nyie mmeshagusa ceiling karibu mtoboe paa sasa
 
Back
Top Bottom