Mutaitina
JF-Expert Member
- Mar 6, 2021
- 798
- 1,451
Stop comparing the two.Acha kelele, terminal one purely dedicated to those small aircraft sometimes called General Aviation (GA).
Jkia has the same facilities but Wilson is purley dedicated.
Stop comparing the two.Acha kelele, terminal one purely dedicated to those small aircraft sometimes called General Aviation (GA).
Busiest Airport kwa hivi vindege vidogo ni upuuzi mtu go and ask how much they earn vs wear and tear of the runway, Single landing of a big aircraft,I mean itue mara moja tu,confident nakuhakikishia itakupatia pesa nyingi kuliko vikatua hivyo vindege zaidi hata ya vidogo 60.It is the busiest airport in the region in terms of number of aircraft landing and taking off.
Hesabu ya kupata pesa kwny landing fee= Rate x Uzito wa ndege( Maximum Take off Weight). Rate inategemea na category ya kiwanja ambayo inakuwa determined na facilities zinazopatikana kwny kiwanja husika ikiwepo AGLs (taa za kwny runway) pamoja na fire cover ( fire tender) etc.Busiest Airport kwa hivi vindege vidogo ni upuuzi mtu go and ask how much they earn vs wear and tear of the runway, Single landing of a big aircraft,I mean itue mara moja tu,confident nakuhakikishia itakupatia pesa nyingi kuliko vikatua hivyo vindege zaidi hata ya vidogo 60.
Which excuses?, China is a socialist country, now you have to swallow your pride after capitalistic economy has left you orphansChinese economy is going the other way bro..the world is moving too fast stop making lame excuse



Hahahaha, few years back Kenya was the biggest Cement producer, biggest Exporter to all countries in this region, a tourism hub, biggest spender of development projects, now everything is upside downSisi hatuwezi kungojea mradi unaojikokota kwa mkongojo. Mradi huo ujenzi wake utaanza mwaka wa 2023, mark my words. Kwa sasa sisi tunaendelea kufanya mambo yetu bila kutambua mambo ya EACOP maana hatujui kama ujenzi utaanza au la. Hatujui kama ujenzi utakamilika au ujenzi utakwama. Hatuwezi kupanga mambo yetu kwa kuangalia jirani naye anafanya nini. Hata wewe kwako usiwe unakula kisha unajiuliza jirani naye kapika nini, wewe jishughulishe na mambo yako, wacha jirani afanye mambo yake. Hivi karibuni mtakuja kujua sisi ndio superpower ukanda huu na kati. Muda si mwingi, subiri tu.



Hahahaha, vichaa ninyi, eti in Africa, hivi mnajua capacity ya bandari za Egypt, Morroco, Libya, South Africa, Angola na NigeriaAgain this project was fully funded by KPA without the help of GOK. I doubt kama TPA can fund a tenth of what KPA has done.



Juu unajua kuliko kila mtu, tell us the capacity of their oil terminals so that we compare tuone nani mjinga kati ya wewe na KPA😂😂Hahahaha, vichaa ninyi, eti in Africa, hivi mnajua capacity ya bandari za Egypt, Morroco, Libya, South Africa, Angola na Nigeria![]()
This airport is meant for small aircraft so that we can't waste time at the busy JKIA landing small aircraft. If you want to see big aircraft, go to JKIA which handles more than all your airports combined. Sio hapo kwenu hata ndege ya watu wawili inaland in your major airport alafu hapo hapo ndio mna airforce yenu. Ndio maana JNIA handles very few passengers - wasting time landing tiny aircraft.Busiest Airport kwa hivi vindege vidogo ni upuuzi mtu go and ask how much they earn vs wear and tear of the runway, Single landing of a big aircraft,I mean itue mara moja tu,confident nakuhakikishia itakupatia pesa nyingi kuliko vikatua hivyo vindege zaidi hata ya vidogo 60.
Huyo jamaa huwa mbishi sana yet ana knowledge kidogo Sana. Afadhali Geza Ulole ni mbishi lakini kidogo ana auelewa.Juu unajua kuliko kila mtu, tell us the capacity of their oil terminals so that we compare tuone nani mjinga kati ya wewe na KPA😂😂
Ngoja tuone mchina atafanyaje kwenye viaduct ya Mwanza, hapa mturuki katisha sana. 🙌
Kwanza hata hawafai kuongea juu oil terminal yao inatoshana na ya Kisumu port😂😂Huyo jamaa huwa mbishi sana yet ana knowledge kidogo Sana. Afadhali Geza Ulole ni mbishi lakini kidogo ana auelewa.
Bichi kidimbwi...sasa huu mwonekano ndio wa dareasalaam yote....sisi kwetu huku ndio kibera mtaa duni lakini kwenu dar hii ndio maisha ya kawaidaView attachment 2070152
Yaani baba levo vile aliona maendeleo yetu kenya ..karibu aombe citizenship awe mkenya...levo popote ulipo wakenya tunakupenda ...na twakukaribisha...next time uje na akina seki wajionee na waoThis one project has transformed the face of Nairobi kabisa!.,
View attachment 2070431View attachment 2070427
View attachment 2070430
View attachment 2070428
View attachment 2070429
watanzani tafadhali heshimuni kenya
We should work hard safari ni ndefuthe likes of chicago, atlanta, LA, dubai, singapore, soul.. etc. should actually be our role models we should emulate from, as east africans.
i only thank God that the east african block is now dubbed the new china of africa. (ie. ethiopia, kenya, tanzania and rwanda in particular). otherwise the rest of the blocks are extreemly dormant; and especially west africa. initialy we were a laughing stock (east), as the poorest block in the world. but now the game is different. infact our capital cities are now on steroids, we are now joining the international league. even our infrastructure is starting to get out of this world