NiceView attachment 2071754
View attachment 2071755
View attachment 2071756
East Africa’s Longest bridge, Tanzanite Bridge.. mambo ni moto
Ila Seattle metro ina watu zaidi ya 4M na hiyo $384 billion ni ya Seattle metro. Ni vile huwa tunaambia wenzenu Nairobi City ni ndogo kushinda Dar City but Nairobi metro imeizidi Dar metro wanatuambia eti tunaongezea Nairobi eneo ndio ishindane na Dar. Metro ndio mambo yote.Brother sijui unakwama wapi ni kwamba umegoma kabisa kifikiri kwa kina ama nn tatizo?
Imagine Seattle yenye pop ya watu 724k ina GDP ya $382B while Shenzhen city yenye pop ya watu 12.5M ina GDP ya $413B ni kama zinaendana kiuzalishaji despite of being quite different in terms of population....this is the reason we should respect Americans because they're really smart people n focused...
This is Seattle downtown ....
Shenzhen looks bigger but they produce less sasa sijui nn wanafanya....Hawako smart kama wamarekaniView attachment 2071642
Rapidly expanding city of Dodoma
Dream houses for common mwananchi
Kama kawaida wewe opinion zako hua based on emotions tu with very minimal points to support your argument.Ila we jamaa ni kilaza sana GDP per capital ndio utajiri.? 😂😂 Tena unataka kulinganisha mji wa watu 700k na watu 17m pp, fala kweli wewe.. yani huna aibu unaitaja Shenzhen kwenye sentence moja na Seattle .? Ifike mahala uwe na heshima hata robo, leo iwe mara yako ya mwisho, usirudie tena
Kitu quality
Hii investment itasaidia sana viwanda kuja maana umeme kiungo muhimu kwenye mapinduzi ya viwanda. Wakitoka hapo ni kuanzisha irrigation scheme kubwa itasaidia kuongeza raw materials za viwandaView attachment 2071745
The 2115MW Nyerere Dam.. Taking shape
Anadhani wingi wa watu na maghorofa ndio kila kituKama kawaida wewe opinion zako hua based on emotions tu with very minimal points to support your argument.
Market Cap ya Amazon na Microsoft pekee which are based in Seattle ni kubwa kushinda kampuni zote listed on Shenzen Stock Exchange.
Microsoft $ 2.35T + Amazon $1.65T = 4T Market Cap
Shenzen Stock Exchange $3.90 T
Sio mchezoView attachment 2071745
The 2115MW Nyerere Dam.. Taking shape
hii ndio tuite city 🤣🤣🤣🤣🤣 acha tu nichekeHii Isiolo imetosha kuwa city top 3 in tanganyika
View attachment 2071870
View attachment 2071871
View attachment 2071872
View attachment 2071873
a couple of days ago walipewa donation ya maize na Kuwait! Kuwait of all countries, nchi ambayo in jangwa almost 100%, now wanapewa rice donation from China, waangaliwe wasije pews plastic rice. Kenya mnatakiwa muone aibu kwakweli, East Africa biggest economy inapokea food donation its embarrassing kwakweli.donation nchi ya GDP 😂😂😂😂
Hawa bado wana njaa kali sana aibudonation nchi ya GDP
Hii project si mchezo!!!View attachment 2071745
The 2115MW Nyerere Dam.. Taking shape
donation nchi ya GDP 😂😂😂😂