chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,108
Made by Tanzanians for Tanzanian
Most beautiful house so far in this region 🏡🙂
Most beautiful house so far in this region 🏡🙂
Hii airport inakutesa mbona? 😂 😂 😂 😂 ..,utanyooka tu, mambo kama haya haujazoea kuyaona., ni 2022.., vumilia kaka hapa ni Nairobi na si JKIA, hii airport serves domestic and international traffic 😂 😂 😂 .., one of the busiest Airport in Africa., najua haukua unajua hilo.,Mbona me naona ndege mbovu na vidogo vidogo vya watalii au we unaona kuna ndege hapo?![]()
Mkuu subiri kwanza ule wali mkavu ndio uje kumsifia mamaUzi umekua wa kisiasa sana mpaka unaboa,kuna watz humu wanadiss kila akifanyacho mama!huo umeme wa elfu 27 kuna watu toka june wameomba umeme na hawajapata,kuna sehemu mama anakosea lakini kuna sehemu yuko sahihi,hata magu kuna sehemu alikua anakosea kama kibinadamu
Now compare this with the surrounding area of JNIA suburbs😅😅New Heroes Museum 📸
View attachment 2070483
It is to serve Kenya mostly; our energy needs, Uganda is a by the way, itapunguza bei ya mafuta, if you know the meaning of that. Ile pipeline ya Uganda mlianza kutengeneza ama bado mnatafuta hela?Hii ni tembo mweupe maana Uganda will be ur main source of both crude n refined oil n also to the region!
8bob mazee mtu wangu, alafu wanasema eti kwao maisha mazuri8 bob![]()


Noma, haya maisha bana yani hadi sio poaSavage my G
Jamaa kw akili zake busiest ni ndege za kutoka marekani na ulayaNdege za watalii eti?![]()
![]()
![]()
![]()
., unaumia sana.., nionyeshe Dar kama hizo basi?.., ama nje ya Dar any airport with such many planes., mbona unaongea kwa maumivu hivyo
![]()
![]()
eti mbovu, wivu ni mbaya mzee ni 2022, zile tabia zako za 2021 wachana nazo.., niletee maendeleo ya Tanzania na wewe pia, think positive, negative energy wacha vijiweni kuleee.,
darislum is a pipe dreamNew Heroes Museum 📸
View attachment 2070483
hiiNow this is epic., naona Wilson Airport hapo kando.., by the way outside there museum buildings are mostly exquisite and outstanding..,
The World biggest economies.
changudoa uswazisNow compare this with the surrounding area of JNIA suburbs😅😅
Unajua ni wananchi wangap wanalipa kodi?Hizo 6.9(7tr) zimetoka wapi? Kwa wananchi au?
Takataka inakopa til 1.3 kwa mwezi mmoja for nothing ,hapo ukikokotoa kwa miezi 12 = til 15 zidisha kwa miaka 5 = Til75 hizi ni akili au mafiiiJiheshimu
27k inafaa vijijini uko sio kila mahaliUzi umekua wa kisiasa sana mpaka unaboa,kuna watz humu wanadiss kila akifanyacho mama!huo umeme wa elfu 27 kuna watu toka june wameomba umeme na hawajapata,kuna sehemu mama anakosea lakini kuna sehemu yuko sahihi,hata magu kuna sehemu alikua anakosea kama kibinadamu
Hesabu zako zakijinga sijapata kuona...unafikiri inawezekana kukopa kila mwezi trillions 1.3 ?unawaza kama kukuTakataka inakopa til 1.3 kwa mwezi mmoja for nothing ,hapo ukikokotoa kwa miezi 12 = til 15 zidisha kwa miaka 5 = Til75 hizi ni akili au mafiii
Kwanini asiweke hata sh150000 ,mama hakuna kitu kwa kasi ya kukopa anayo kwendanayo til1.3kwa mwezi ×5years= til75Uzi umekua wa kisiasa sana mpaka unaboa,kuna watz humu wanadiss kila akifanyacho mama!huo umeme wa elfu 27 kuna watu toka june wameomba umeme na hawajapata,kuna sehemu mama anakosea lakini kuna sehemu yuko sahihi,hata magu kuna sehemu alikua anakosea kama kibinadamu
Nairobi kuna kariakoo

wakunya walikuwa wanatucheka majina yetu kumbe nao wanayoTundege tudogo tudogo kama nziHii airport inakutesa mbona?![]()
![]()
![]()
..,utanyooka tu, mambo kama haya haujazoea kuyaona., ni 2022.., vumilia kaka hapa ni Nairobi na si JKIA, hii airport serves domestic and international traffic
![]()
![]()
.., one of the busiest Airport in Africa., najua haukua unajua hilo.,
wacha nikupunguzie maumivi na wivu..,
View attachment 2070619
Hangars at Wilson Airport..,
View attachment 2070605
WILSON.,![]()
![]()
View attachment 2070607
View attachment 2070608
View attachment 2070609
View attachment 2070610
View attachment 2070611




Mama anakopa til1.3 kwa mwezi kwa miaka mitano itakuwa Til75 sawa sawa na deni lote toka uhuru .....this is very stupidKipi hicho kinachoendelea cha ajabu.