Acha kuwa fala wewe kwanza unatakiwa ujue Chengdu ni mji wa nane kiuchumi hapo china na mpaka tumeileta kwenye comparison na Chicago 3rd most developed city in US, ujue fika kwamba Chicago haina maajabu to be compared to even the 5th Chinese rich city.. unazungumzia masuala ya ku catch up in 100



naakati china kama inchi ime catch up kwa marekani yenye miaka 246 ya tangu Uhuru in just 40 good years tena from the scratch.. taja nini unachojua wewe tofauti na GDP (namba za kuandika kwenye karatasi) unahisi US yupo juu ya China.? Na ndio mana tukaona kulinganisha Shenzhen, Hongkong, Guangzhou, Beijing, Naijing, Suzhou, n.k, itakua fedheha kwa US tukaona tumpe Angalia Chengdu