Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maendeleo gn mliyonayo? Mpk leo nchi haina modern public transport, haina cable stayed bridges, haina electrified SGR wala haina reliable source of electricity, mmeendelea nn ss au block flyovers na vile vi apartments cheap vyenye bati nyekundu juu

Hata msijisumbue, Nchi yao ilitakiwa iwe level sawa na South Korea na Singapore kwa sasa. Ila Angalia wamebaki wanatembelea kichwa na Tanzania. Na wanajisifu wako mbele ila walichofanya wenyewe hakionekani Busy kusifia Barabara na Majengo ya Mchina . What a loss.
 
Mombasa kiboko cha Dar is slum.

tapatalk_1640625480330.jpeg


tapatalk_1640625477057.jpeg
 
Hata msijusumbue, Nchi yao ilitakiwa iwe level sawa na South Korea na Singapore kwa sasa. Ila Angalia wamebaki wanatembelea kichwa na Tanzania. Na wanajisifu wako mbele ila walichofanya wenyewe hakionekani Busy kusifia Barabara na Majengo ya Mchina
emoji1787.png
. What a loss.
Good evening crazy warthog.

image_52717f69-6116-4c88-8d58-fa54c1b9cdaf20210323_064236.jpg
 
unawazimu wa kichwa ww hii chelezo imejengwa juzi tu🤣🤣🤣👇👇👇

Hii shipyard ilianza kujengwa before ya kisumu and Mombasa, saa hii ya kisumu and Mombasa are complete na hueziona vumbi hata moja lakini ya mwanza ni vumbi na matope from left to right 😂😂😂
 
Back
Top Bottom