Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani wao ndani ya miaka 5 wametoka 75 mpaka 106. Sisi tupo pale pale 65.

Ni vichwa maji hawa. Hakuna sababu ya kutwanga maji kwenye kinu. Unapoteza mda tu.
Umesoma kweli? Unaongea kama MTU kidogo alikua analala darasani hehe 5 years ago your GDP ikawa 65 hehe fanya research Wacha kujiaibisha huku
 
Hahahaha, China and USA and other rich countries are building strong economies, infrastructure, job creation, industries, technology, improving social services and strong armies, production of Goods and services, not because of rhetoric and verbal GDP like Kenya and Nigeria
Hehe ati verbal GDP sometime huwa mmafanya nashuku the level of education of your country MTU anaeza sema kitu cha ujinga Hadi najua Kuna wenzako wanakushangaa do you even know what GDP means or how it's measured and why?
 
Ila we jamaa sidhani kama Unaakili timamu, nilicholinganisha kwenye picha ni terminus sio run way wala chochote mzee and in that case JNIA is better than your Old JKIA, isn't it.?

Nimekuwekea high speed rail roads za tz ambazo ziko na umeme kabisa while nikakuwekea SGR yenu na kutokana na umeme treni zetu zitakimbia high speed zaidi kuliko zakwenu.. 120-160 km/h .. je tz hatuchukui kwenye hili pia.?

Nikashindanisha football stadiums, kasarani yenye watu wanakaa kwa concrete vs Mkapa yenye sitting capacity ya Watu 60k wanaokaa kwa viti, ambapo kuanzia ubora, ukubwa n.k.. ni dharau kubwa sana kutaka kulinganisha Mkapa stadium na huo uchafu wa kuitwa kasarani..

Hata hivyo nilizungumzia suala la indoor Arena, nikasema tz hatuna indoor Arena kubwa kama yenu..


Huu ndio ukweli unaonekana wazi, ajabu ya mpuuzi wewe wa kikenya ni kutaka kujifanya eti unalazimisha kijani kuwa njano 😂😂😂😂😂😂😂
Childish argument 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
nimepata nafas kidogo



narudi kule kule
Two years ago Tanzania tulikuwa mbele ya Ghana na Ivory Coast.. leo wametuzidi tena.. na GDP yetu ni ileile (<65) .. na tuna GDP growth ya more than 4% each year(meanwhile growth rate ya hao akina Ghana na Ivory Coast ni ndogo kuliko).. lkn bado tupo kulekule (<65) ila Ghana na Ivory Coast tayar wameshatuzidi.. hata wew mleta post unaona hii iko sawa?
na hapo tunauwezo wa kujenga JNHPP, SGR, Bridges, etc? the GDP is the real thing? reflectively edible?
Wah how do bridges increase GDP hehe Aki soma hata kama Ni kidogo bro
 
Do you understand the Initial capital outlay in financial management......Sometimes you break even in the 10th year after a project.......that is what Europe the Asian tigers and the Americas applied and the multiplier effect was achieved.
Tafadhali andika kwa kiswahili, na utumie lugha ya chekechea, just asking for a "friend" here., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Acha kujitoa ufahamu wewe tumekua tukitajwa na GDP ya $65 B ni mwaka wa tano sasa, swali la kujiuliza, ni je uchumi wetu haukui kila Mwaka while tunafanya miradi mikubwa kuliko fala yeyote hapa EA.?
So you take the little money you have build with it flashy projects with no economic return wanafumba the citizens by their size leaving you with no money to do the small projects that actually add value to the economy... Kenya borrows to do projects that don't add much value to the economy luxury infrastructure but use its collection to do projects that inject back to the economy mkiwndelea kushangilia big flashy projects eti mumejenga peke yenyu without realizing you stagnant economically
 
green city ina density ya miti na sio majengo zaidi kilichopo ni slums za ajabu duniani
Ndani ya hizo Miti Kuna majengo bro angalia vizuri Huo msitu ama I bring you ground level??? Inside the green cover Kuna beautiful roads and buildings
20211223_100516.jpg
 
Simon joto la jiwe Sama boy 255 The best 007 Geza Ulole muhogo_kiks

Sasa Wacha niwafafanulie utata wenyu and your GDP nimeona Simon akiuliza why they are making Soo many big projects but economy haipandi. Wacha niwape mfano

Kuna watu wawili wanalipwa mshahara. .

Wa Kwanza akilipwa mshahara anachukua wote ananunua TV kubwa Sana Anaanza kuringia jirani jinsi ako Na TV kubwa Kijiji chote Na amenunua cash.

Wa pili yeye akishalipwa mshahara anafungua kibanda kidogo cha kuuza mboga Kisha anaenda anaomba loan Kwa kutumia kibanda kile kama collateral ananunua TV pia Hela kidogo ikitoka Kwa kile kibanda nusu analipa loan pole pole nusu anawekeza Tena

Mshahara was pili vile vile, Kisha mtaani utaskia Yule was Kwanza akisema aaah huyo kazi yake madeni tu... Unaona TV langu Na nimenunua cash
Bada ya miezi kadhaa unafikiria Nani atakua Sawa kiuchumi????
Nani ataanza kulia nimenunua TV kubwa Sana mbona uchumi Wangu hupandi.....

Natumahi mnajua MTU was Kwanza Ni Nani Na was pili Ni Nani
 
Wenye kupewa mkopo ni wenye uwezo wa kulipa...ninyi hamna huo uwezo.
Yet Tanzania ndio nchi pekee East Afrika imewai shindwa kulipa mkopo na bado inabembeleza walioikopesha waisamehe kwa mara ya pili. 🤣🤣🤣

 
Majirani..Mbona mna delay....Mnaumiza Rwanda naBurundi...wenye wanataka kutumia Port ya Mombasa

Tanzania stalls Central Corridor modernisation​



''The NCTTCA said the delay is working against importers of cargo through the port of Mombasa destined to south Tanzania, Burundi and Rwanda who now opt to use a much longer route to import through the port of Dar es Salaam"
 
Simon joto la jiwe Sama boy 255 The best 007 Geza Ulole muhogo_kiks

Sasa Wacha niwafafanulie utata wenyu and your GDP nimeona Simon akiuliza why they are making Soo many big projects but economy haipandi. Wacha niwape mfano

Kuna watu wawili wanalipwa mshahara. .

Wa Kwanza akilipwa mshahara anachukua wote ananunua TV kubwa Sana Anaanza kuringia jirani jinsi ako Na TV kubwa Kijiji chote Na amenunua cash.

Wa pili yeye akishalipwa mshahara anafungua kibanda kidogo cha kuuza mboga Kisha anaenda anaomba loan Kwa kutumia kibanda kile kama collateral ananunua TV pia Hela kidogo ikitoka Kwa kile kibanda nusu analipa loan pole pole nusu anawekeza Tena

Mshahara was pili vile vile, Kisha mtaani utaskia Yule was Kwanza akisema aaah huyo kazi yake madeni tu... Unaona TV langu Na nimenunua cash
Bada ya miezi kadhaa unafikiria Nani atakua Sawa kiuchumi????
Nani ataanza kulia nimenunua TV kubwa Sana mbona uchumi Wangu hupandi.....

Natumahi mnajua MTU was Kwanza Ni Nani Na was pili Ni Nani

this logic doesn’t exist anywhere in the world. kwa hio huyo wa pili kila mwezi ananunua TV mpya! if you can, delete this trash

kuna watu tunafanya nao kazi.. mishahara inafanana na wanafanya biashara pamoja na kupokea loan.. ila asiefanya biashara anawazidi tu wengine kwa mbali.. kwenye biashara kuna kufilisika au loss pia (white elephant kama nyie zenu)
 
Back
Top Bottom