Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa kaandika kwa uchungu Sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Na ndo ujue nyie ni bongo lala yaani kenya na upungufu wote huu...idadi ya wati iko chini, madini hatuna...ardhi ya rotuba hatuna lakini bado sisi ni ma bossi wenu....dar...yaani mkenya atakupigia kiingereza na kiswahili taratiibu...yaani hekima tu... nyie mnazo hizi zote lakini bado ni wadogo wetu.... haya heb niambie kama sio uzuzu huu ni nini?We kenge wa kizungu,ni swala la muda utaelewa kwa nini hakuna bundi mwenye makengeza🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bichi vimbwi vijilima nyinyiNa ndo ujue nyie ni bongo lala yaani kenya na upungufu wote huu...idadi ya wati iko chini, madini hatuna...ardhi ya rotuba hatuna lakini bado sisi ni ma bossi wenu....dar...yaani mkenya atakupigia kiingereza na kiswahili taratiibu...yaani hekima tu... nyie mnazo hizi zote lakini bado ni wadogo wetu.... haya heb niambie kama sio uzuzu huu ni nini?
Punguza gum msela🤣🤣🤣🤣🤣Na ndo ujue nyie ni bongo lala yaani kenya na upungufu wote huu...idadi ya wati iko chini, madini hatuna...ardhi ya rotuba hatuna lakini bado sisi ni ma bossi wenu....dar...yaani mkenya atakupigia kiingereza na kiswahili taratiibu...yaani hekima tu... nyie mnazo hizi zote lakini bado ni wadogo wetu.... haya heb niambie kama sio uzuzu huu ni nini?
wajua mbongo utamjua tuuuuu, no wonder the lady was quick to notice ugeni wako....uoga uoga , kuzubaa zubaa na ka ushamba fulani....kutishika tishika na ma flyovers zetu, vile zilimtisha bab levo....bichi vidimbwi nyinyidah,chief ungemuigizia kidogo,ungetoa na machozi kiasi
Labda nikunyooshe Mbongo anajulikana popote anapoenda sababu ndo hizi-wajua mbongo utamjua tuuuuu, no wonder the lady was quick to notice ugeni wako....uoga uoga , kuzubaa zubaa na ka ushamba fulani....kutishika tishika na ma flyovers zetu, vile zilimtisha bab levo....bichi vidimbwi nyinyi
Yaani mi huwa nawashangaa sana hawa jamaa kwa roho mbaya, sijui wakoje.Zikitoka takwimu za best and modern rail infrastructures utawaona wanavyohangaika kule wikipedia kuedit information, wana roho mby sn jamaa.
hii ndio density 😀😀😀😀 acha tu nicheke yani unapost huo ushuzi unasema ndio density serious mpaka makontena ili kuongeza areacloser view thank you., pointless, haibadilishi huu 👇 ukweli, kiswahili yako ya vijiweni naifahamu vizuri sana, utamwaga povu hadi basi 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Mombasa inakula meza moja na Dar. 😂 😂 💪 💪
View attachment 2053082
View attachment 2053085
View attachment 2053111
kuzubaa, mmezubaa nyinyi, mpaka mnaingizwa mjini na wachina kwenye ujenzi wa barabara.wajua mbongo utamjua tuuuuu, no wonder the lady was quick to notice ugeni wako....uoga uoga , kuzubaa zubaa na ka ushamba
FYI, baba Levo was running game on your ass....kutishika tishika na ma flyovers zetu, vile zilimtisha bab levo....bichi vidimbwi nyinyi
So will it change the truth that we supply all food stuffs available in your country?


🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anajishaua tu huyo, we nenda naye chamber mwambie Buda kama una passport kesho njoo bongo kuna mchongo wa kupiga mjengo kama wenyewe wanavyoita uone kama hujapata wageni 15 nyumbani kwako……![]()
sensa waliofanya ilikua na uongo mtupu 😀😀Nasikia wameshagonga milioni 60![]()
sio tuna mpango tushaanza kuwauzia kupitia horohoro tanga kama ulikua huna habari 🤣🤣🤣 najua unumia sana ila vumilia tuStill white elephant 😂😂 Naskia Muna mipango kutuuzia umeme🤣🤣🤣
ethiopia ndio vita sasa imewaka umeme mutegemee tanzania pekeeAlafu stima ya Ethiopia tumuachie nani🤣🤣🤣🤣