Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania ilipofufua reli yake inayoelekea Kilimanjaro - Arusha wala haikukwama njiani na sasa inaelekea karibu miaka miwili inapiga kazi vizuri.

Lakini kule failed state waliamua kuiga Tanzania kufufua reli yao lakini cha kushangaza ndani ya siku nne tangu izinduliwe tayari imeshawama vichakani.
 
Kwani tunawauzia ndizi tu? Sisi tunawauzia chakula, yani chakula chote cha Kenya kinatoka Tz

Kuna siku nilikuwa Nairobi, nikaita uber kuelekea Airport, ikaja na dereva alikuwa dada mmoja, akanisalimia vizuri then baada ya kuketi kwenye gari, akaniuliza kwa Kiingereza chao chenye accent mbovu, you don’t look Kenyan, where do you come from? Nikamjibu kwa kiswahili, unahisi unaweza pata wapi accent nzuri kama hii ya Kiingereza na Kiswahili……?? Akacheka sana, kumbe wewe ni mTZ? Unatoka where all of our foods come from? Nikamwambia kwa utani “naam, na siku mkituletea za kuleta mtakuwa hamli hapa” huu utani ukamuingia alafu akaanza kufunguka namna Kenya imeoza na jinsi ambavyo land yao kidogo yenye rutuba badala ya kuzalisha chakula inazalisha maua na makorolokolo mengine ikiwaacha wakenya kibao na njaa sababu pia inamilikiwa na watu wachache.

Kiukweli niliwaonea sana huruma Wakenya hasa yule dada alivyoongea kwa uchungu, kidogo tu nimlipie nauli nimlete Bongo sababu alikuwa kaishakubali kuja kufanya hustles zake huku kama nikim-guarantee makazi ya muda na pa kuanzia. Tatizo hakuwa mzuri sana na haya mambo ya hisani wabongo tuliishaachana nayo baada ya ukombozi wa Afrika……. Wakenya wako desperate sana aisee.
 
Zikitoka takwimu za best and modern rail infrastructures utawaona wanavyohangaika kule wikipedia kuedit information, wana roho mby sn jamaa.
Hatutumii Wikipedia dunia ya leo, hiyo ni ya wale wa vijiweni kule kwenu kwa wingi na serikali yenu ya propaganda, tuna angalia reputable bodies, kila wakitoa takwimu mnaangukia pua kisha mnawasingizia eti ni ya beberu, na hawaipendi Tanzania, tunawajua vizuri sana mzee, hampendi ukweli, ingia mtandao usome takwimu zote zimetolewa mwaka huu ya sectors tofauti tofauti in Africa uone mko wapi, jisomee mwenyewe wacha kukurupuka na kulia lia eti sijui wikipedia, mara roho mbaya, mko ovyo nani, sio Kenya inawasingizia ni takwimu na pia wanao zuru kwenu wakija Kenya wanaona tofauti wanatoa ushuhuda, yako itabakia tu kukua vijimaneno empty, domo domo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kuna siku nilikuwa Nairobi, nikaita uber kuelekea Airport, ikaja na dereva alikuwa dada mmoja, akanisalimia vizuri then baada ya kuketi kwenye gari, akaniuliza kwa Kiingereza chao chenye accent mbovu, you don’t look Kenyan, where do you come from? Nikamjibu kwa kiswahili, unahisi unaweza pata wapi accent nzuri kama hii ya Kiingereza na Kiswahili……?? Akacheka sana, kumbe wewe ni mTZ? Unatoka where all of our foods come from? Nikamwambia kwa utani “naam, na siku mkituletea za kuleta mtakuwa hamli hapa” huu utani ukamuingia alafu akaanza kufunguka namna Kenya imeoza na jinsi ambavyo land yao kidogo yenye rutuba badala ya kuzalisha chakula inazalisha maua na makorolokolo mengine ikiwaacha wakenya kibao na njaa sababu pia inamilikiwa na watu wachache.

Kiukweli niliwaonea sana huruma Wakenya hasa yule dada alivyoongea kwa uchungu, kidogo tu nimlipie nauli nimlete Bongo sababu alikuwa kaishakubali kuja kufanya hustles zake huku kama nikim-guarantee makazi ya muda na pa kuanzia. Tatizo hakuwa mzuri sana na haya mambo ya hisani wabongo tuliishaachana nayo baada ya ukombozi wa Afrika……. Wakenya wako desperate sana aisee.
Hahahahahaaa

Cc Coco reborn Don YF Tony254 komora096 NairobiWalker Nicxie Teargas nairobae KENPAULITE MK254
 
Tanzania ilipofufua reli yake inayoelekea Kilimanjaro - Arusha wala haikukwama njiani na sasa inaelekea karibu miaka miwili inapiga kazi vizuri.

Lakini kule failed state waliamua kuiga Tanzania kufufua reli yao lakini cha kushangaza ndani ya siku nne tangu izinduliwe tayari imeshawama vichakani.
 
Did u have to tag me mzee from this hadithi ya vijiweni afadhali angepost with a recorded conversation sio hadithi za ndoto yake na fikra zake, yale anatamani yakue ni ukweli.., facts remain bado mko ovyo.., hamjafika
So will it change the truth that we supply all food stuffs available in your country?
 
Kuna siku nilikuwa Nairobi, nikaita uber kuelekea Airport, ikaja na dereva alikuwa dada mmoja, akanisalimia vizuri then baada ya kuketi kwenye gari, akaniuliza kwa Kiingereza chao chenye accent mbovu, you don’t look Kenyan, where do you come from? Nikamjibu kwa kiswahili, unahisi unaweza pata wapi accent nzuri kama hii ya Kiingereza na Kiswahili……?? Akacheka sana, kumbe wewe ni mTZ? Unatoka where all of our foods come from? Nikamwambia kwa utani “naam, na siku mkituletea za kuleta mtakuwa hamli hapa” huu utani ukamuingia alafu akaanza kufunguka namna Kenya imeoza na jinsi ambavyo land yao kidogo yenye rutuba badala ya kuzalisha chakula inazalisha maua na makorolokolo mengine ikiwaacha wakenya kibao na njaa sababu pia inamilikiwa na watu wachache.

Kiukweli niliwaonea sana huruma Wakenya hasa yule dada alivyoongea kwa uchungu, kidogo tu nimlipie nauli nimlete Bongo sababu alikuwa kaishakubali kuja kufanya hustles zake huku kama nikim-guarantee makazi ya muda na pa kuanzia. Tatizo hakuwa mzuri sana na haya mambo ya hisani wabongo tuliishaachana nayo baada ya ukombozi wa Afrika……. Wakenya wako desperate sana aisee.
Kweli Sana mkuu wengi huaga tunakutana nao Kwa ajili ya projects mbali mbali ,wakunya wengi hawako happy na nchi Yao😃😃😃 ukweli ndo huo wanatamani Sana bongo ingekua part of kunyaland 🤣🤣🤣🤣🤣sema basi Tu🤣🤣🤣🤣
 
Wacha kusikia tumia data we are at 53m, hii ndio shida yenyu watanzania kufikiria in reverse
Hehehee, alafu kuna Mkunya anakwambia Watz wanazaana sana nchi kubwa mara mbili ya Kenya ina watu milioni 60 wakati Kenya imegonga milioni 55 yani tumewazidi milioni 5 tu, mkuu huwa nakuelewa sn angalau ww huwa ni mkweli.
 
Kweli Sana mkuu wengi huaga tunakutana nao Kwa ajili ya projects mbali mbali ,wakunya wengi hawako happy na nchi Yao😃😃😃 ukweli ndo huo wanatamani Sana bongo ingekua part of kunyaland 🤣🤣🤣🤣🤣sema basi Tu🤣🤣🤣🤣
wee bichi kidimbwi..kama kuna mtu afrika anaipenda nchi yake ni mkenya....we love our country so much......and we are proud to be kenyans..
Number 6 richest country in Africa with a smaller population, no oil, no agricultural land, no minerals...but we are number 6 in richness and still climbing. sisi ni watu chapa kazi, akili nyingi, hekima , masomo ya juu, uvumbuzi wa juu....TZ mtazidi kuwa nyuma yetu kwa kila jambo...tutaongoza mkifuata nyuma hadi milele.....
 
wee bichi kidimbwi..kama kuna mtu afrika anaipenda nchi yake ni mkenya....we love our country so much......and we are proud to be kenyans..
Number 6 richest country in Africa with a smaller population, no oil, no agricultural land, no minerals...but we are number 6 in richness and still climbing.
We kenge wa kizungu,ni swala la muda utaelewa kwa nini hakuna bundi mwenye makengeza🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
wee bichi kidimbwi..kama kuna mtu afrika anaipenda nchi yake ni mkenya....we love our country so much......and we are proud to be kenyans..
Number 6 richest country in Africa with a smaller population with 55milion people, no oil, no agricultural land, no minerals...but we are number 6 in richness and still climbing. sisi ni watu chapa kazi, akili nyingi, hekima , masomo ya juu, uvumbuzi wa juu....TZ mtazidi kuwa nyuma yetu kwa kila jambo...tutaongoza mkifuata nyuma hadi milele.....

 
Kuna siku nilikuwa Nairobi, nikaita uber kuelekea Airport, ikaja na dereva alikuwa dada mmoja, akanisalimia vizuri then baada ya kuketi kwenye gari, akaniuliza kwa Kiingereza chao chenye accent mbovu, you don’t look Kenyan, where do you come from? Nikamjibu kwa kiswahili, unahisi unaweza pata wapi accent nzuri kama hii ya Kiingereza na Kiswahili……?? Akacheka sana, kumbe wewe ni mTZ? Unatoka where all of our foods come from? Nikamwambia kwa utani “naam, na siku mkituletea za kuleta mtakuwa hamli hapa” huu utani ukamuingia alafu akaanza kufunguka namna Kenya imeoza na jinsi ambavyo land yao kidogo yenye rutuba badala ya kuzalisha chakula inazalisha maua na makorolokolo mengine ikiwaacha wakenya kibao na njaa sababu pia inamilikiwa na watu wachache.

Kiukweli niliwaonea sana huruma Wakenya hasa yule dada alivyoongea kwa uchungu, kidogo tu nimlipie nauli nimlete Bongo sababu alikuwa kaishakubali kuja kufanya hustles zake huku kama nikim-guarantee makazi ya muda na pa kuanzia. Tatizo hakuwa mzuri sana na haya mambo ya hisani wabongo tuliishaachana nayo baada ya ukombozi wa Afrika……. Wakenya wako desperate sana aisee.
dah,chief ungemuigizia kidogo,ungetoa na machozi kiasi
 
Back
Top Bottom