Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni povu sasa naona kwa wingi, ukwelib wasio penda kusikia ama kuona inawatesaga sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
watu wote wa density, mombasa ndio fimbo yenu... afteral they are both at the kiswahili coast and they were both built at the same time using the same kiswahili design concept, hence are look alike
 
watu wote wa density, mombasa ndio fimbo yenu... afteral they are both at the kiswahili coast and they were both built at the same time using the same kiswahili design concept, hence are look alike
fimbo ya wapi?? au fimbo ya matumaini baada ya nairobi kula kibano 😂😂😂
 
Don YF njoo uone density ya miti huku
Density za dar huwezi maliza
JamiiForums-382561663.jpg
 
watu wote wa density, mombasa ndio fimbo yenu... afteral they are both at the kiswahili coast and they were both built at the same time using the same kiswahili design concept, hence are look alike
We jamaa unanichekeshaga tabia ya kuji quote mwenyew 😂😂😂 hivi unajua lakini hizi picha za engo zote zinazo zungumziwa Mombasa Hii👇😂😂😂
3016034_JamiiForums1710910803.jpg
 
Punguza gum msela🤣🤣🤣🤣🤣
Ila mna vuna chumvi🤣🤣🤣🤣🤣hivi akili zimo au?kuongea kingereza ndo nini? Umeskia bongo watu hawajui kizungu? Mchina anaongea kizungu? Kuwa mkunya ina hitaji moyo ukweli mnapenda sifa za kijinga.
Nenda kamsikize diamond akingangana na kizungu ndio ujue mko chini
 
Labda nikunyooshe Mbongo anajulikana popote anapoenda sababu ndo hizi-
1.Ni mstaarabu Sana
2.ana moyo wa huruma
3.ni mchangamfuu ana tabasam anapoongea
3.hana tamaa anaridhika hana tabia za janjajanja
4.mbongo ni msafi😃
Eti hana tamaaa...hebu nenda gikombaa ujionee wachagaa wanavyo hemea hela....
Halafu hapo kwa moyo wa huruma ..uongo mtupu....mi nshakuwa tz...na i was so discriminated apart from one mzee kibiringi...abarikiwe sana... lakini kwa wengi wenu...mkiona mgeni mnadhani ame come kuwanyanganya kidogo mlicho nacho...toka lini tajiri akaibia maskini?
 
kuzubaa, mmezubaa nyinyi, mpaka mnaingizwa mjini na wachina kwenye ujenzi wa barabara.

FYI, baba Levo was running game on your ass.
game zipi bichi kidimbwi? yote aliyasemea hukohuko kwenu kwa vipindi za redioni za kwenu huko....alikuja akaduwaaaaaaaaaaa nairobi.....miaka ishirini na tano ndio mtukaribie....najua hata nyinyi vijilima wengine sahii mnatamani mje mjithibithishie
 
We jamaa unanichekeshaga tabia ya kuji quote mwenyew 😂😂😂 hivi unajua lakini hizi picha za engo zote zinazo zungumziwa Mombasa Hii👇😂😂😂View attachment 2053257
1640163093118.png

Yani Mombasa ni kubwa mno! sasa wewe unafikiria hapa 👆 👆, a road from Buxton kuelekea Likoni ni same na hapa 👇 👇 ? 😂 😂 😂 😂 dogo hapa 👇 ni kutokea sehemu za Makupa., mtanyooka..,
1640162068187.png

1640162473031.png

Picha uliyo post ni hi street inapita across, next to old town.., sehemu tofauti..,
1640163034399.png

Mombasa inatoa Dar kamasi on average., Dar ni uswazi ndio imejaza udongo wa jiji.., 😂 😂 😂 😂 😂 google earth ni chawa 😂 😂 😂 😂
1640163307572.png
 
Kuna siku nilikuwa Nairobi, nikaita uber kuelekea Airport, ikaja na dereva alikuwa dada mmoja, akanisalimia vizuri then baada ya kuketi kwenye gari, akaniuliza kwa Kiingereza chao chenye accent mbovu, you don’t look Kenyan, where do you come from? Nikamjibu kwa kiswahili, unahisi unaweza pata wapi accent nzuri kama hii ya Kiingereza na Kiswahili……?? Akacheka sana, kumbe wewe ni mTZ? Unatoka where all of our foods come from? Nikamwambia kwa utani “naam, na siku mkituletea za kuleta mtakuwa hamli hapa” huu utani ukamuingia alafu akaanza kufunguka namna Kenya imeoza na jinsi ambavyo land yao kidogo yenye rutuba badala ya kuzalisha chakula inazalisha maua na makorolokolo mengine ikiwaacha wakenya kibao na njaa sababu pia inamilikiwa na watu wachache.

Kiukweli niliwaonea sana huruma Wakenya hasa yule dada alivyoongea kwa uchungu, kidogo tu nimlipie nauli nimlete Bongo sababu alikuwa kaishakubali kuja kufanya hustles zake huku kama nikim-guarantee makazi ya muda na pa kuanzia. Tatizo hakuwa mzuri sana na haya mambo ya hisani wabongo tuliishaachana nayo baada ya ukombozi wa Afrika……. Wakenya wako desperate sana aisee.
@Tony254
 
Back
Top Bottom