Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tulia dawa ikuingie
By the way, hapa ni wapi ulisema vile.?
3038285_E8vvsMGWQAQVjDx.jpeg
mana kwa mujibu wa maneno yako ulidai umefika Arusha mara saba
 
mtanyooka tu
Shida moja ya hii battle ni kwamba.. wenzetu hawa wanapost picha mpya kila kukicha, sisi tumekazana na picha zile zile za Mwaka 47, sasa tutawezaje kuwafanya waamini kwamba tuko vizur.? Ilihali kila kukicha picha tunazopost ni zile zile.? tuwe na utamaduni wa kutafuta picha mpya au kupiga picha mpya, na hii ndio maana halisi ya battle .. Dharau kama za kijiji cha Kisumu kulinganishwa na ARUSHA City zisingekuwepo kama tungalikua tunapiga picha mpya kila leo na kuzitupia humu.. kuna shopping centers kali kabisa 5 in Arusha mimi nimefika, lakini ikiingia hata google .unaletewa Aim Mall pekee.. sijui hii picha alipiga nani View attachment 2049971safi kabisa, Kwanini na sisi ili tusiwe tunapiga picha za hivi nzuri na kuonyesha uhalisia wa miji yetu na maendeleo yaliyopatikana kwasasa.? .. tunakwama wapi.?
download%20(22).jpg
download%20(21).jpg
download%20(23).jpg
download%20(20).jpg
 

Attachments

  • download%20(23).jpg
    download%20(23).jpg
    79.3 KB · Views: 7
  • download%20(21).jpg
    download%20(21).jpg
    101.6 KB · Views: 6
Shida moja ya hii battle ni kwamba.. wenzetu hawa wanapost picha mpya kila kukicha, sisi tumekazana na picha zile zile za Mwaka 47, sasa tutawezaje kuwafanya waamini kwamba tuko vizur.? Ilihali kila kukicha picha tunazopost ni zile zile.? tuwe na utamaduni wa kutafuta picha mpya au kupiga picha mpya, na hii ndio maana halisi ya battle .. Dharau kama za kijiji cha Kisumu kulinganishwa na ARUSHA City zisingekuwepo kama tungalikua tunapiga picha mpya kila leo na kuzitupia humu.. kuna shopping centers kali kabisa 5 in Arusha mimi nimefika, lakini ikiingia hata google .unaletewa Aim Mall pekee.. sijui hii picha alipiga nani View attachment 2049971safi kabisa, Kwanini na sisi ili tusiwe tunapiga picha za hivi nzuri na kuonyesha uhalisia wa miji yetu na maendeleo yaliyopatikana kwasasa.? .. tunakwama wapi.?
Kuna wahenga flani wanakwambia battle imevamiwa na watoto zen wakongwe wamekaa pembeni, mm nawaambia hao wakongwe waendelee kukaa pembeni mana hawana jipya, ila na cc tutakuwa wakongwe zen tutapitwa na wakati tutawaachia kizazi kijacho, weka picha wacha kutafuta ukongwe kwenye mitandao ya kijamii.
 
choice variable amemalizaView attachment 2050011
Hiyo ilikuwa 2018 mzee, kipindi ambacho hakuwa anajua miradi inayoendelea, now hasemi hivyo na yupo humu ndani.

Wakenya niwakumbushe tu kwamba nyie mmepambana kwa taifa lenu since 1960s plus wazungu ila cc tulikuwa bize kuikomboa Africa but tumeanza kuijenga Tz mpya kwa miaka 10 iliyopita na ndiyo unaona kasi ilivyo kwamba tumeistua Africa.
 
Back
Top Bottom