Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Huyu Mwamba kaamua kufunguka, ila hizo mbuzi zingine zinakaza fuvu tuKENPAULITE kamaliza battle ya Kisumu vs Arusha, hakuna tena haja ya kuendelea na battle
Cc Sama boy 255![]()
Huyu Mwamba kaamua kufunguka, ila hizo mbuzi zingine zinakaza fuvu tuKENPAULITE kamaliza battle ya Kisumu vs Arusha, hakuna tena haja ya kuendelea na battle
Cc Sama boy 255![]()
Wakenya msikilizeni KENPAULITE kamaliza kila kituKwa hoteli arusha takes it, nilijua arusha is big when i took an 8 hr trip to loliondo












Tushamaliza battle ya Arusha vs Kisumu.Huyu Mwamba kaamua kufunguka, ila hizo mbuzi zingine zinakaza fuvu tu
Huyu jamaa ni miongoni mwa wakunya wa kizazi kipya, yani kawachana wakunya wenzie kwamba wasijaribu kufananisha Kisumu na Arusha ni dhambi, mkuu KENPAULITE kunywa bila pale ulipo.Kwa hoteli arusha takes it, nilijua arusha is big when i took an 8 hr trip to loliondo

shit roadThika road bado haijapata mpinzani more than 10years after it opened
Hii ni highway ya kuelekea jehanamu walaiuswazhighwayView attachment 2049839
10 years 😂😂😂 stop telling lie OohThika road bado haijapata mpinzani more than 10years after it opened
Unaokota okota taarifa halafu unaweka humu, unasahau kama kuna wakazi wa huo mji 😂😂😂 by the way, sasahiv watu wanaweka dedicated BRT lanes,hii ni juzi tu nilipita![]()
Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha. Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa. My take. Chadema meno yote...www.jamiiforums.com
Mkuu Sama boy 255 inabidi mm na wewe tuonane aisee, kuna Watz inabidi nionane nao mfano joto la jiwe babayao255 ichoboy01 NDINDA Lwiva Geza Ulole Mkwanzania xng hua Lusematic chongchung Justinr game over Naton Jr etc ambao wanapambana sana kuing'arisha Tz, heshima kwenu wakuuIla hawa jamaa wana vioja sana kuna huyo taahira mmoja kaleta mada eti kiswahili ni lugha ya Kenya, yet 70% of Kenyans are speaking neither kiswahili nor Englishvitu vya ajabu kweli yani.. halafu wako hapa kupiga kelele eti Tz iko na level kubwa ya illiteracy.. The best 007 we unamzungumziaje ndugu yetu mkenya



Umerudi pale pale, ka kisumu ni kadogo kulinganisha na Arusha KENPAULITE alishamaliza hii manenomtanyooka tu.....Kisumu YuropView attachment 2050054View attachment 2050055


Arusha au wapi?Waeleze wenzako sasa.. oy ulifika mwaka gani mwanangu.?
Hahaha watz wote niliokua nao walikua wameendea kikombe hizo enzi, nilikua tu road trip ya northern tanzaniaLoliondo ulifata kikombe cha babu nini.?
Na ukagundua ukweli kwamba Arusha ipo level zake hapa EA, asante sana mkuuHahaha watz wote niliokua nao walikua wameendea kikombe hizo enzi, nilikua tu road trip ya northern tanzania


Nakubali juu serengeti iko ndani ya arusha, gran melia na ngurundoto, they are nice hotelsHeheheheeee tuliwaambiaaa![]()