Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So Una-admit kuwa Tanzania bado ni sleeping giant? Kwasababu kama nchi yenye uhuru Kwa miaka 60 na bado barabara zina vumbi na umeme ni tatizo inamaanisha kuwa Kwa miaka yote hii hata haya mambo Ambayo unaita ni ya “muhimu zaidi” bado hayakuwa na priority Kwa serikali.
Ila we jamaa nataman nikutane na wewe tupate mjadala mimi na wewe face to face.. mana unaonekana ni kati ya wale waropokaji wa Chadema.. ulisoma hata history ya nchi hii Wewe.? Unaijua history ya Afrika na case ya underdevelopment.? Mana naona unazungumzia tz kama unazungumzia ulaya 😂😂😂, Afrika yote ipo na barabara zenye vumbi kila mahali, kama SGR tu kwa mataifa mingi ya Afrika ndio tumezinduka sasa, tupo humu JF tunapishana na jirani eti kwa kuwa na Estates nzuri, na hili ni tatizo la Afrika nzima, sasa karne ya 21 tunabishana kuhusu estates kweli.? ..
 
JamiiForums1079249417.jpg
 
Ila we jamaa nataman nikutane na wewe tupate mjadala mimi na wewe face to face.. mana unaonekana ni kati ya wale waropokaji wa Chadema.. ulisoma hata history ya nchi hii Wewe.? Unaijua history ya Afrika na case ya underdevelopment.? Mana naona unazungumzia tz kama unazungumzia ulaya , Afrika yote ipo na barabara zenye vumbi kila mahali, kama SGR tu kwa mataifa mingi ya Afrika ndio tumezinduka sasa, tupo humu JF tunapishana na jirani eti kwa kuwa na Estates nzuri, na hili ni tatizo la Afrika nzima, sasa karne ya 21 tunabishana kuhusu estates kweli.? ..
Usipoteze muda mkuu, watu wana hasira zao za kupingwa.
 
Ila we jamaa nataman nikutane na wewe tupate mjadala mimi na wewe face to face.. mana unaonekana ni kati ya wale waropokaji wa Chadema.. ulisoma hata history ya nchi hii Wewe.? Unaijua history ya Afrika na case ya underdevelopment.? Mana naona unazungumzia tz kama unazungumzia ulaya 😂😂😂, Afrika yote ipo na barabara zenye vumbi kila mahali, kama SGR tu kwa mataifa mingi ya Afrika ndio tumezinduka sasa, tupo humu JF tunapishana na jirani eti kwa kuwa na Estates nzuri, na hili ni tatizo la Afrika nzima, sasa karne ya 21 tunabishana kuhusu estates kweli.? ..
Tatizo la watanzania wengi kama wewe ni kuwa hampendi kusikia hoja pingamizi. Ninapenda sana CHADEMA kwasababu ninapenda idea ya rebellion! (Rebellion yenye kuleta mabadiliko chanya) Dunia haiendi bila pingamizi mahali. Hata Yesu alikuwa ni rebel Maana haku-tolerate matendo maovu ya viongozi wa juu kama mafarisayo.

Fikiri dunia ingekuwaje kama watu wote tungekuwa na fikra zinazofanana.

Kuhusu Historia ya Afrika, Karibu kila nchi ya Afrika ilitawaliwa na wakoloni. Na baada ya wakoloni kuondoka tulipata misfortune ya kuongozwa na viongozi wabovu. Na mpaka leo bado viongozi wengi wa kiafrika wana trait hizo hizo. The bottom line is Afrika ingekuwa mbali sana kama ingekuwa na viongozi bora.

Na kuhusu hizi petty competitions za estates mimi nawaambia kila siku kuwa ni idiocy tu. Kama wewe unatumia muda wako kulinganisha uzuri wa mitaa ya watu, mitaa ambayo hata huwezi ku-afford kupanga, then kuna umuhimu gani? I always suggest Constructive criticism kuwa the main theme of this thread. Tuna challenges nyingi mno kwenye nchi zetu lakini tunaachana nazo na kukimbilia mambo ya kitoto! Tumieni hii platform kuleta mabadiliko.
 
Akili ndogo wewe, sio kila data inayotolewa na WB na IMF ni sahihi, na kwa msomi timamu huwezi kukubaliana na kila kilichandikwa huo ni uzuzu, akili zako zisiwe limited kiasi hicho, huwezi kuniambia eti Tz kuna umaskini uliokithiri kuliko kenya while kwa ground inaonekana kabisa wapo wakenya wanakufa kwa kukosa chakula alafu nikubaliane na hiyo taarifa.. no way
Sasa wewe class seven dropout kukubaliana au kutokubaliana na ripoti ya WB au UNDP kitabadilisha nini? Itafanya Tanzania iwe mbele ya Kenya kwenye innovation au HDI? These bodies don't even know you exist to begin with so wewe kukataa au kukubali ripoti haijalishi. They'll still produce such reports year in year out hadi ufe.

Eti kilaza kama wewe wa Kinondoni uko na uelewe kuliko economists wa WB au UNDP! Kisa na maana eti Kenya katajwa mbele yenu. Si ujinyonge ufe basi kwa sababu tutaendelea kutajwa mbele yenu kesho na hata kesho kutwa.

And why do you guys lament about these reports by UN bodies only when they place Kenya ahead of you? WB ikisema hampo tena LDC hapo ni wako sawa ila wakisema mnaongoza kwa ufukara ukanda huu hapo ni waongo. Mitanzania ni mijitu ya ajabu sana
 
Taa za nyumba hizo. Kama taa zaa mulika mwizi zingekua zingeonekana.

Hii ndio taa ya mulika mwizi.
High Mast Lighting in Girapeth , Nagpur , Omni Power Systems | ID:  5111779030
Na ndio mana nikakwambia hiyo picha ni ya zamani labda, mana kwasasa hadi tandale kuna taa za mulika mwizi zinawaka usiku, zilifanywa juzi kati tu kwenye midari ya Dar es Salaam metropolitan development project, hizi mitaa tofauti tofauti za uswazi pamoja ka estate ka geza ulole uko Mbagala, kuonekana kuwa na taa za mulika mwizi 👇
thumb_744_300x200_0_0_auto.jpg
1+%282%29.JPG
2493ec600c809fd4c19de5eb4894919e.jpg
IMG-20200222-WA0005.jpg
IMG-7101.jpg
D3TkCBVW4AAYAuf.jpg
nimeshangaa pia kuona hii barabara haonekani kuwaka taa usiku 👇
3002875_563734BD-ACD3-455F-9EAC-9BCFAB15220E.jpeg
kwasasa hii barabara inawaka taa sana wakati wa usiku hata na daraja kimewekwa taa na zinawaka San 👇
dodoma_zone__1638986306678116.jpg
ni hayo tu.. NB maeneo mengi sana DSM hapo sio yote, kwasasa yako na taa za barabarani .. ile picha labda ni ya zamani
 
Tatizo la watanzania wengi kama wewe ni kuwa hampendi kusikia hoja pingamizi. Ninapenda sana CHADEMA kwasababu ninapenda idea ya rebellion! Dunia haiendi bila pingamizi mahali. Hata Yesu alikuwa ni rebel Maana haku-tolerate matendo ya viongozi wa juu kama mafarisayo.

Fikiri dunia ingekuwaje kama watu wote tungekuwa na fikra zinazofanana.

Kuhusu Historia ya Afrika, Karibu kila nchi ya Afrika ilitawaliwa na wakoloni. Na baada ya wakoloni kuondoka tulipata misfortune ya kuongozwa na viongozi wabovu. Na mpaka leo bado viongozi wengi wa kiafrika wana trait hizo hizo. The bottom line is Afrika ingekuwa mbali sana kama ingekuwa na viongozi bora.

Na kuhusu hizi petty competitions za estates mimi nawaambia kila siku kuwa ni idiocy tu. Kama wewe unatumia muda wako kulinganisha uzuri wa mitaa ya watu, mitaa ambayo hata huwezi ku-afford kupanga, then kuna umuhimu gani? I always suggest Constructive criticism kuwa the main theme of this thread. Tuna challenges nyingi mno kwenye nchi zetu lakini tunaachana nazo na kukimbilia mambo ya kitoto! Tumieni hii platform kuleta mabadiliko.
Historia ya Afrika huijui kijana, kasome kwanza history ili ujue Afrika ilitoka wapi ni mambo yepi yalipelekea underdevelopment.. unataja sababu moja tu ya viongozi wabovu 😂😂😂 uwezo mdogo sana..

Ndio kuhusu suala la kutoa maoni ili kujenga ni suala linakubalika,ila wewe unaongea vitu ambavyo unaonekana kabisa hauvijui vizur, ipo haja ya somo la history ya tz kufundishwa madarasani, mana wengi pamoja na wewe hoja zenu ni nzuri lakini inaonekana haujui history ndio mana mengi kati ya hayo mazuri unazungumzia ni kama anazungumza mtu ambae haujui vyanzo vyake,

Usome history mzee.. kwa tulipotoka na tulipo ni hatua kubwa sana tumepiga, tena ukizingatia na sera yetu ya uchumi aliyochagua baba wa taifa na procedures mbali mbali zilizochukuliwa ili kunusuru nchi hii, ni Kichaa pekee ndio anaweza tamka Tz umelala..

Kuna nchi zinatajwa kuwa na uchumi mkubwa na bado wanahaingikia mambo yale yale tunayoyahangaikia sisi, alaf upo hapa eti Tz umelala 😂😂😂😂 ..

Halaf we jamaa ndio ulisemaga Kigamboni hakuna cha maana kinachoendelea wewe 😂😂😂.

Ukiwa mpinzani sio kupinga tu baba
 
Sasa wewe class seven dropout kukubaliana au kutokubaliana na ripoti ya WB au UNDP kitabadilisha nini? Itafanya Tanzania iwe mbele ya Kenya kwenye innovation au HDI? These bodies don't even know you exist to begin with so wewe kukataa au kukubali ripoti haijalishi. They'll still produce such reports year in year out hadi ufe.

Eti kilaza kama wewe wa Kinondoni uko na uelewe kuliko economists wa WB au UNDP! Kisa na maana eti Kenya katajwa mbele yenu. Si ujinyonge ufe basi kwa sababu tutaendelea kutajwa mbele yenu kesho na hata kesho kutwa.

And why do you guys lament about these reports by UN bodies only when they place Kenya ahead of you? WB ikisema hampo tena LDC hapo ni wako sawa ila wakisema mnaongoza kwa ufukara ukanda huu hapo ni waongo. Mitanzania ni mijitu ya ajabu sana
Akili ndogo 🚮
 
Historia ya Afrika huijui kijana, kasome kwanza history ili ujue Afrika ilitoka wapi ni mambo yepi yalipelekea underdevelopment.. unataja sababu moja tu ya viongozi wabovu 😂😂😂 uwezo mdogo sana..

Ndio kuhusu suala la kutoa maoni ili kujenga ni suala linakubalika,ila wewe unaongea vitu ambavyo unaonekana kabisa hauvijui vizur, ipo haja ya somo la history ya tz kufundishwa madarasani, mana wengi pamoja na wewe hoja zenu ni nzuri lakini inaonekana haujui history ndio mana mengi kati ya hayo mazuri unazungumzia ni kama anazungumza mtu ambae haujui vyanzo vyake,

Usome history mzee.. kwa tulipotoka na tulipo ni hatua kubwa sana tumepiga, tena ukizingatia na sera yetu ya uchumi aliyochagua baba wa taifa na procedures mbali mbali zilizochukuliwa ili kunusuru nchi hii, ni Kichaa pekee ndio anaweza tamka Tz umelala..

Kuna nchi zinatajwa kuwa na uchumi mkubwa na bado wanahaingikia mambo yale yale tunayoyahangaikia sisi, alaf upo hapa eti Tz umelala 😂😂😂😂 ..

Halaf we jamaa ndio ulisemaga Kigamboni hakuna cha maana kinachoendelea wewe 😂😂😂.

Ukiwa mpinzani sio kupinga tu baba
Hiyo Historia ya Afrika au Tanzania unayotaka niisome ni ipi haswa? I think almost every aspect about Africa’s underdevelopment Stems from bad leadership. Kuna vitu vichache kama natural disasters, disease, neo Colonialism, na vita* ( ambazo kuna baadhi zisingeweza kutokea kama tungekuwa na viongozi wenye nia bora).
 
I think almost every aspect about Africa’s underdevelopment Stems from bad leadership.
Ni bora urudi shule ulizosoma ukadai hela yako ya ada.

Kuna mambo kadhaa:

1. Umeelimishwa vibaya
2. Uwezo wako kichwani ni finyu
3. Umesoma ila hukuelimika

Kama ndio unavyofikiria, na unajinafi kusoma vyuo bora, basi tuna safari ndefu.

Kiuhalisia, hauko vyema upstairs, if that is what you think.

Pole sana.
 
Historia ya Afrika huijui kijana, kasome kwanza history ili ujue Afrika ilitoka wapi ni mambo yepi yalipelekea underdevelopment.. unataja sababu moja tu ya viongozi wabovu 😂😂😂 uwezo mdogo sana..

Ndio kuhusu suala la kutoa maoni ili kujenga ni suala linakubalika,ila wewe unaongea vitu ambavyo unaonekana kabisa hauvijui vizur, ipo haja ya somo la history ya tz kufundishwa madarasani, mana wengi pamoja na wewe hoja zenu ni nzuri lakini inaonekana haujui history ndio mana mengi kati ya hayo mazuri unazungumzia ni kama anazungumza mtu ambae haujui vyanzo vyake.

Jamaa tee upstairs. Dizain slienda huko America na kujua jua kuongea na kuandika kimalkia, sasa anajonafi kua kasoma vyuo bora ilhali, ukimtupa kwenye mada za akili anakua poyoyo.

Hamna kitu huyo mwamba.
 
We jamaa ni mpumbavu wa mwisho, unataka kulazimisha mpaka visivyo wezekana heb ona 👇View attachment 2048080View attachment 2048081vs NAIROBI 👇View attachment 2048083View attachment 2048084kwa kutumia common sense ni wapi kunaonekana giza kutawala.? 😂😂😂😂 Duh Mzee nimechoka .. kmmk yani hapo eti macho tako yanakwambia NAIROBI inawaka kuliko Dar .. wew ni kipofu, hata mtoto wa darasa la kwanza atakuona wewe ni tahira
mzee kweli wewe bisho.. eti una zoom Dar kwa karibu, ili mradi dar uonekane kubwa shida nairobi, dah! hio ujanja ya vijiweni pelekea wenzako wa mbagala
 
Mumekubali si mlikua mumekataa. Lazima mkimbzwe ndio mukubali, sisi hatujawai kata, kwanza tunapenda our matatu culture.
Nikama slum culture na flytoilets culture tu kwa wakenya mko very proud of it
 
Back
Top Bottom