Ila we jamaa nataman nikutane na wewe tupate mjadala mimi na wewe face to face.. mana unaonekana ni kati ya wale waropokaji wa Chadema.. ulisoma hata history ya nchi hii Wewe.? Unaijua history ya Afrika na case ya underdevelopment.? Mana naona unazungumzia tz kama unazungumzia ulaya



, Afrika yote ipo na barabara zenye vumbi kila mahali, kama SGR tu kwa mataifa mingi ya Afrika ndio tumezinduka sasa, tupo humu JF tunapishana na jirani eti kwa kuwa na Estates nzuri, na hili ni tatizo la Afrika nzima, sasa karne ya 21 tunabishana kuhusu estates kweli.? ..