Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,154
- 29,773
Wewe uoni hizo picha zipo tofauti upigwaji cheki rangi zake moja inasensi mwanga kushinda nyingine weka ya pamoja kama mimi hii ni ushahidi wa wazi najua unaona aibu kwa hii picha,hizo chembe za mwanga zilizopo tz ukizikusanya pamoja unapata mwanga mara 3 ya uliopo kenya ukikusanya pamoja maana kenya mwanga upo mombasa na nairobi tuDar CBD ni ndogo sana kwa Nairobi, yani JNIA Airport hata inawaka kushinda CBD. Aibu gani hii. Barabara mingi hazina street lights. Hii ni kijiji kubwa tu.Mitaa hazina street lights wala high mast lighting.
![]()
Compare and Contrast. Nairobi inawaka hadi ndani ya clouds.
![]()




