The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Kamilisheni your SGR(Old model) ifike Malaba kwanza,. Without loan can't do even single kilometer of your cheap diesel engine railway line, really failed state.









Kamilisheni your SGR(Old model) ifike Malaba kwanza,. Without loan can't do even single kilometer of your cheap diesel engine railway line, really failed state.









Umefinywa, no response 😂 😂 😂 😂 😂pang'a ng'a mingi,for nothing
ngoja 25years, hausikii!Orodhesha projects zenu ambazo zipo underway/zinazoendelea kwasasa tuone Kama nilivyofanya hapo juu![]()
Unataja taja kuhusu Cities halafu unaweka huu uchafu kweli.? 😂😂😂 Hii City center ya Kisumu ni ndogo mno sijui tulinganishe labda na Moshi townSawa pia mimi nimeona hivyo, Musoma pako sawa sana.,.., next? 😂 😂 😂 😂 😂
Kisumu bado sana!..,
View attachment 2044738
View attachment 2044739
View attachment 2044748
View attachment 2044737
View attachment 2044741
Slums kila kona., duh!! uswazi 😳 😳
View attachment 2044749
View attachment 2044742
View attachment 2044743
View attachment 2044744
View attachment 2044745
View attachment 2044747
Kabarabara kamoja, no interchange anywhere.., Kisumu sio size yenu nyambaff 😂 😂 😂 ., hii Arusha ndio iko nafuu kidogo outside Dar, yet ni sehemu tu😂 😂 😂 😂 😂 ., dogo naona umejimwaya mwaya uwanjani eti?., una nini leo hii?Kisumu ijikaze kwanza ishindane na Arusha, Usijitie tie kama ushuzi wa ngomani 👇View attachment 2045011
city kumbe ni CBD 😂 😂 😂 😂 ., sawa dogo umenyamba point., next?Unataja taja kuhusu Cities halafu unaweka huu uchafu kweli.? 😂😂😂 Hii City center ya Kisumu ni ndogo mno sijui tulinganishe labda na Moshi town
Kamilisheni phase one kisha uje., zero brain, hakuna discussion hapa, 2021 inaisha SGR phase one bado, kasehemu kadogo kanawashinda, wacha kubweka bweka jiangalie 😂 😂 😂 😂 😂 .,Kamilisheni your SGR(Old model) ifike Malaba kwanza,. Without loan can't do even single kilometer of your cheap diesel engine railway line, really failed state.
Mmeacha tabia yenu ya ukora ya kuiba mabegi ya wasafiri? kenyans are uselessKama JKIA pekee inahandle more traffic than all your useless airports combined sasa ni nini mtatuambia?
punguza povu dogo, kuna routes mtazikimbiaweka hapa flight records ya hizo "international airports" unakurupuka humu nikuonyeshe kitu.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 bila Kenya hizo ni white elephants 😂 😂 😂 😂 😂
Yaani pengine wajukuu wenu ndio wataviona., SGR tu inawachukua huu mda wote kasehemu kadogo! eti Natural Gas $30B., taifa nzima revenue ata nusu ya hiyo hamuwezi, na hamukopesheki kihivyo, ufukara, hizo projects ziko kwa makaratasi, ngoja pesa itolewe kisha uje 😂 😂 😂 😂 ., Bagamoyo pia msipo mpa mchina haibanduki 😂 😂 😂 😂 😂 ., hivyo vi project unaanika humu, kwa uwezo wa uchumi wenu hafifu itawachukua miaka mia moja msipo kopa, wewe ni jinga type 😂 😂 😂 😂What are the projects in "LAPSSET", the major and the biggest project was Uganda crude oil pipe line which we took it from you, you are remaining with few roads and Lamu port 3 berths which all together can't exceed $600M.
By the way our Natural gas project is taking off $30B, and Bagamoyo port is likely to be revived $11B, only these two projects worth $41B,![]()
yaani ni tuta, sasa pia mta.., ndio imekua wimbo! ombi lenyu hilo., sio uhakika ni yale unatamani yatendeke, hayapo na hayatokea 😂 😂 😂 😂 😂 😂punguza povu dogo, kuna routes mtazikimbia
what????? kenya kq inayotengeneza hasara kila uchwao? nonsense hahahhahaweka hapa flight records ya hizo "international airports" unakurupuka humu nikuonyeshe kitu.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 bila Kenya hizo ni white elephants 😂 😂 😂 😂 😂
na kwa tabia yenu ya kupenda kuolewa baada ya mwanamziki wenu sasa mtaolewa wote kwa kushindwa kulipa madeni hahahahahahahaVipi hivyo vidogo vidogo? zitaje hapa.., kamilisheni kwanza., kwa mfano Dar port bado ni ndogo kwa Mombasa., jaribu mfikishe zilingane kwa kila kitu., tunangoja 25years tuone mtakua wapi, 2020 mliokua mmengoja mmuipiku Kenya ilipita bado nyie mikia kwa Kenya., wacheni kelele na uzembe chapeni kazi hatuwangoji.., #Lamu port., #Mombasa Port oil Jetty 99% done..,
Na ndio zinaongoza kwa hizo airport zenu uchwara, pia akina Jambo jet.., meza wembe, ATCL halijui maana ya neno "profit" ni nini, bure kabisa 😂 😂 😂 😂 😂what????? kenya kq inayotengeneza hasara kila uchwao? nonsense hahahhaha
Yes hii ndio parliament ya kenya since 1960's sii hi yenyu mmejenga juzi through kenyan architechtsHii ni parliament au uchafu, nikiweka yetu hapa c mtajidharau. Vitu vimejengwa na mkoloni mpk leo bado mnavyo, mawazo ya kitumwa sn haya.
Ni taifa moja fukara hapa EAC linalojulikana kusamehewa madeni na kushindwa kulipa madeni hadi ndege zinashikwa, kuna moja lilishikwa na mkulima., sijataja taifa yeyote, nilikua na pita tu, sina ubaya leo, relax 😂 😂 😂 😂 😂na kwa tabia yenu ya kupenda kuolewa baada ya mwanamziki wenu sasa mtaolewa wote kwa kushindwa kulipa madeni hahahahahahaha
Kenyan architects! Tz walikua bado porini basi.,Yes hii ndio parliament ya kenya since 1960's sii hi yenyu mmejenga juzi through kenyan architechts
ATCL haijawaii ona hata profit since the 70s, nyamaza, full loses since inceptionwhat????? kenya kq inayotengeneza hasara kila uchwao? nonsense hahahhaha
unafahamu lengo la kuanzishwa kwake? unafahamu wakenya wanatamani kufanya biasha na atcl?ATCL haijawaii ona hata profit since the 70s, nyamaza, full loses since inception
Kwani ilikua ipeleke taifa fukara hasara?, a misuse of taxpayers money kwa ajili ya wivu tu., yani serikali inakurupuka tu na vi project bila kutilia maanani pros and cons, bora pia na wao wakue na ndege kama Kenya! ona vile ndege linapata tabu 😂 😂 😂 , mnashindana na ndovu kukunya ona mnavyo pasuka msamba kila siku 😂 😂 😂unafahamu lengo la kuanzishwa kwake? unafahamu wakenya wanatamani kufanya biasha na atcl?