Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo nilipata bahati ya kupita maeneo ya kimara kibaha high way, kumbe umeshaanza kujengwa dedicated Lanes for BRT .. wale waliosema zingejengwa mpaka phase 3 ikianza, walikosea kutabiri 👇
IMG_20211214_145646_685.jpg
IMG_20211214_145646_850.jpg
IMG_20211214_135511_694.jpg
 
Hakuna umeshinda mbona kelele mjuba
Mbn unakubali kinyonge hivyo? Nyinyi ni nchi ya hovyo sn hapa Afrika msioweza kwenda bila mikopo, yn mnategemea foreigners waje wawajengee nchi huo ni upunga kanchi kenyewe hakana rasilimali, kitu ambacho foreigners wanategemea hapo Kunyaland ni upumbavu wa wakunya, na vile mpo wengi basi foreigners wanapiga pesa kupitia uwingi mlio nao plus ulimbukeni wenu.
 
Hahahaha, mlijaribu kudanganya kwamba Kenya mnafanya "bone marrow transplant, tukawagundua mlidanganya, naona Sasa hivi mumekua makini Sana

Kenya hakuna hata 5km za concrete road, nani anabisha?
kwani mbagathi way ni nini?
 
Back
Top Bottom