joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Weka ushahidi, ninyi nchi masikini kila kitu mkopo mtaweza kujenga concrete road?Maskini!!we jamaa kumbe mwehu aisee
Weka ushahidi, ninyi nchi masikini kila kitu mkopo mtaweza kujenga concrete road?Maskini!!we jamaa kumbe mwehu aisee
Weka ushahidi wacha kelele, Kenya haiwezi kuwa hata na 5km ya concrete road, ninyi ni nchi ya hovyo Sana, weka ushahidi wacha manenoHizi tulianza 2005 raila akiwa minister of roads, si pia saii pale kwa port ndio mnajenga barabara ya concrete, mko behind schedule bana
Haina haja tuwaibishe, mumeshindaWeka ushahidi, ninyi nchi masikini kila kitu mkopo mtaweza kujenga concrete road?
Nakucheka kw dharau sanaWeka ushahidi wacha kelele, Kenya haiwezi kuwa hata na 5km ya concrete road, ninyi ni nchi ya hovyo Sana, weka ushahidi wacha maneno
Kwenye BRT hatuna mpinzani Africa.Leo nilipata bahati ya kupita maeneo ya kimara kibaha high way, kumbe umeshaanza kujengwa dedicated Lanes for BRT .. wale waliosema zingejengwa mpaka phase 3 ikianza, walikosea kutabiriView attachment 2044213View attachment 2044216View attachment 2044217
Hahahaha, mlijaribu kudanganya kwamba Kenya mnafanya "bone marrow transplant, tukawagundua mlidanganya, naona Sasa hivi mumekua makini SanaHaina haja tuwaibishe, mumeshinda








Hakuna umeshinda mbona kelele mjubaHahahaha, mlijaribu kudanganya kwamba Kenya mnafanya "bone marrow transplant, tukawagundua mlidanganya, naona Sasa hivi mumekua makini Sana
Kenya hakuna hata 5km za concrete road, nani anabisha?![]()


Mji unakosa shopping center kw suburbs mazeeMji usiokuwa na reliable public transport like BRT ni trash na ni mji wa kizamani sana.

mskini ndio wamejaa mjiniNakucheka kw dharau sana















Hongera
Baada ya Kenya kushindwa na Tanzania katika kufanya "Bone marrow transplant, Choclear implant, Sasa hivi Kenya inaanguka tena katika "Concrete road"![]()




Mbn unakubali kinyonge hivyo? Nyinyi ni nchi ya hovyo sn hapa Afrika msioweza kwenda bila mikopo, yn mnategemea foreigners waje wawajengee nchi huo ni upunga kanchi kenyewe hakana rasilimali, kitu ambacho foreigners wanategemea hapo Kunyaland ni upumbavu wa wakunya, na vile mpo wengi basi foreigners wanapiga pesa kupitia uwingi mlio nao plus ulimbukeni wenu.Hakuna umeshinda mbona kelele mjuba![]()
kwani mbagathi way ni nini?Hahahaha, mlijaribu kudanganya kwamba Kenya mnafanya "bone marrow transplant, tukawagundua mlidanganya, naona Sasa hivi mumekua makini Sana
Kenya hakuna hata 5km za concrete road, nani anabisha?![]()
hehe.....unatupigia picha sehemu ya bus stop ati ndio tushangaeUbungo - kimara - Kibaha highway
View attachment 2044259
View attachment 2044260
View attachment 2044261



