Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Report ya serikali kuhusu matajiri wenye pesa juu ya 1 million dollar uliiskia .? Umetoka juzi tu .. 6k+ people mzee we endelea kuhangaika na data za kupika
Only critical thinkers., hatuongelei serikali yenu uchwara., hapa we are dealing with akina AfriAsia bank reports, Knight Frank na World bank.., nilisema wa vijiweni kaeni kando, serious brains, wewe ngoja hapo kando na vipicha vya kupost wakati wako utakuja..., tulia dogo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
We jamaa unaogopa hata Kuni quote mamaae kwa nnavyokulaza kifudifudi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
wewe low IQ nani akuogope, hapa wewe umedharauliwa sana, wewe ni low life semi illiterate, hauna capacity to reason rationally, wewe ni miongoni mnao ni entertain tu humu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Only critical thinkers., hatuongelei serikali yenu uchwara., hapa we are dealing with akina AfriAsia bank reports, Knight Frank na World bank.., nilisema wa vijiweni kaeni kando, serious brains, wewe ngoja hapo kando na vipicha vya kupost wakati wako utakuja..., tulia dogo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Critical thinker πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ critical thinker yeye zake ni opinion tu mzee, serikali Iko na facts .. ni kama mimi leo nitoe mawazo yangu kuhusu umaskini wenu (hizo zitakua ni opinion tu) sio facts..
 
Critical thinker πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ critical thinker yeye zake ni opinion tu mzee, serikali Iko na facts .. ni kama mimi leo nitoe mawazo yangu kuhusu umaskini wenu (hizo zitakua ni opinion tu) sio facts..
Dogo kaa kando.., ama unapinga Knight Frank report ya 2021 sema sasa?.., unapinga?
 
sasa sibora kwetu hata
kama miji ipo na mabati mekundu iko arranged na barabara labda shida ni hizo barabara na bati chakuvu

Tofauti na nyie mko na total slum with full waste around ona mwenyeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View attachment 2043569

View attachment 2043570

View attachment 2043571

View attachment 2043572

View attachment 2043573

View attachment 2043574

View attachment 2043576

View attachment 2043577

View attachment 2043578

View attachment 2043579

View attachment 2043580
Eti Dar iko arranged!? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Are you calling this one arrangement?
Screenshot_20210515-100611~2.png
Screenshot_20210515-100318~2.png
Screenshot_20210515-100338~2.png
Screenshot_20210512-191424~2.png


Kama hizo ni arrangement/planning hizi zetu tutaitaje?
Screenshot_20210626-150329.png
Screenshot_20210626-150247.png
Screenshot_20210515-091807.png
Screenshot_20210515-091708.png
Screenshot_20210515-091402~2.png
Screenshot_20210515-091636~2.png
 
I know it pains but this bile won't change anything. We are building our sgr on loan because we have the capacity to repay. If we didn't have that capacity, hatungepewa that loan in the first place. It's not a donation or a grant of any sort that you are accustomed to.

Back to our topic, how is purchasing power of locals connected to building of a railway by the government? Have you now resorted to shifting goals?

Talking of Jumia and why it stopped operations in Tanzania, can you share with us how those local companies that "drove" Jumia out of business are fairing?
Tanzanians have trust issues, mambo ya online wanaonanga wanaibiwa, even a simple mpesa transaction they dont trust it anaprefer cash
 
Did you know that over 50% of malls in the US are closed right know, what does that indicate?

Did you know that malls are not just a shopping destination, but also a leisure destination.
In Nairobi malls you will find bowling, skate boarding, amusement parks, Go karting, ice skating, movie theatres, music performances, etc. on top of the shops.

Nyinyi bongo na ufukara wenu you can only dream.

The malls closing in the US are the old, boxy malls. Like the ones you have in TZ.
New destination malls are still being constructed in the US.

The new malls in Kenya are destinations malls as well. Unaingia asubuhi unatoka jioni.

I hope I have clarified a few issues for you.
mall.JPG
 
Dogo kaa kando.., ama unapinga Knight Frank report ya 2021 sema sasa?.., unapinga?
, we endelea zako kuokota taarifa ulete humu ujifariji, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, tumewashika pabaya πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila wejamaa ni kilaza mno kwamba Knight frank anaijua tz kuliko serikali ya tz kweli.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii Knight Frank report ya 2021 hawaitaki tena πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., sioni Dar hapa?.., ina maana on average ni mifukara
1639474245409.png
 
, we endelea zako kuokota taarifa ulete humu ujifariji, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, tumewashika pabaya πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila wejamaa ni kilaza mno kwamba Knight frank anaijua tz kuliko serikali ya tz kweli.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unajikomboa na CCM πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., niletee vipicha vya Dar, haya tuyaache tu, hauna uwezo, ama leta mikocheni nione lami ndani ya estate.., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Facts ni dawa ya Mitanzania., wamekataa ushuhuda wa Baba Levo na mzungu., but watanyooka tu pole pole.., now my Kiswahili has improved coz of jf., hiyo tu ndio tanzanians watanifunza., beyond that zero, ni domo domo tu.,
kwani kuna mtu alikukataza kumuamin chawa? Ila usilazimishe vitu vya kijinga....zaid utakuwa mjinga tuuu...nyie hamna lolote la kuitishia Dar tofauti na iyo GDP mafiiii
 
kwani kuna mtu alikukataza kumuamin chawa? Ila usilazimishe vitu vya kijinga....zaid utakuwa mjinga tuuu...nyie hamna lolote la kuitishia Dar tofauti na iyo GDP mafiiii
Umeumia πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ pole sio makosa yangu wala kwa kupenda kwangu, la, ni ukweli ulivyo, zoea na usonge mbele, wacha kubweka bweka πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom