how will this prevent an IED attackWanajeshi wa, "Kimara yao ndio posta yetu
"View attachment 2043604



how will this prevent an IED attackWanajeshi wa, "Kimara yao ndio posta yetu
"View attachment 2043604



Eti hii ndio the best shopping mall in Kimara Neighborhood. 😂😂😂😂😂 Dar jiji la kishamba sana. Kujiburudisha lazima muende town.😂😂😂 Eti fikra za wengi wetu kujaribu kuji level na Kenya 😂😂😂 we ni maku nini, kuna kitu gani mnatuzidi nyie mbwa .? Barabara au.? 😂😂😂
Hizi kuni ndio bado wanatumia kama post za stima. 😂😂🤣🤣🤣Wanajeshi wa, "Kimara yao ndio posta yetu
"View attachment 2043604
Zoom hiyo picha na kila kitu kipo ndani ya picha moja, hizo sio shida zangu ni shida zako wew .. hakuna picha ya DSM inayonyesha kila kitu kijana kwasababu ni kubwa kuliko kwahyo muwe na akili timamuWapi airports (JKIA and Wilson) kwenye hiyo picha?
Where is Thika Road kwenye hiyo picha? Where is Mombasa road kwenyewe hiyo picha?
What about neighboring areas like Embakasi, Pipeline, Imara Daima, South B and C?
Jogoo Road iko wapi? And the adjacent areas like Makadara, City stadium, Hamza, Eastleigh, Majengo, Pumwani ziko wapi?
Where is Eastlands kwenye hiyo picha? The Umojas, Dandoras, Buruburus, Komarocks, Donholms, Kayoles, Ruais and Kamulus ziko wapi?
Where is outering road kwenye hiyo picha?
Where is Parklands, Muthaiga, Runda, Waiyaki Way all the way to Kinoo?
What about northern part of Nairobi? Places like Zimmerman, Roysambu, Kasarani, Kahawa na Githurai ziko wapi?
Endelea kujifariji
Mbona unalazimisha vitu usivyojua mzee.? Au unataka kujifariji.?Eti hii ndio the best shopping mall in Kimara Neighborhood. 😂😂😂😂😂 Dar jiji la kishamba sana. Kujiburudisha lazima muende town.
View attachment 2043606
That will prevent him from stealing chocolate and bread in Westgate Incase of terror attackshow will this prevent an IED attack![]()




Kujifariji haukatazwi, ni wewe mwenyewe jifariji uwezavyoEti hii ndio the best shopping mall in Kimara Neighborhood. 😂😂😂😂😂 Dar jiji la kishamba sana. Kujiburudisha lazima muende town.
View attachment 2043606
Nilikuambia Dar cha maana is found only on a 10km radius, past hapo hakuna cha maana, ni hizo dream houses tupu, jiji la kishamba sana.Mbona unalazimisha vitu usivyojua mzee.? Au unataka kujifariji.?
Capacity to repay? How come the line ended in Naivasha? Was it not supposed to reach Malaba?I know it pains but this bile won't change anything. We are building our sgr on loan because we have the capacity to repay.
Usually, a person with a good credit score doesn't need to pawn anything to secure a loan. So how come, a country with "capacity to repay" had to use a port as a collateral to get approved? If that's not enough, how do you explain, Kenyan government not being able to secured another loan, to continue building the line to Malaba?If we didn't have that capacity, hatungepewa that loan in the first place. It's not a donation or a grant of any sort that you are accustomed to.
In any functional government, purchasing power of the people is directly proportional to the purchasing power of that country. Any short of that is what's called a failed state.Back to our topic, how is purchasing power of locals connected to building of a railway by the government? Have you now resorted to shifting goals?
Have you ever heard of this phrase, "if you fail to plan...". That's what happened to Jumia.Talking of Jumia and why it stopped operations in Tanzania, can you share with us how those local companies that "drove" Jumia out of business are fairing?
Hamna kitu hapo, kigamboni haikaribii karen hata kidogoWakunya tuliwaeleza JF Dar ipo represented kwa chini ya 35% Yaani bado kuna maeneo mengi sana ya Dar hayajawekwa humu
Pia kuna mmoja wetu akasema Nairobi inaipita Dar kwa photography tu, Dar bado haijawa well photographed mathalan Wakunya wengi wanashangaa kuona kumbe Kigamboni ni one largest district tofauti na walivyodhani.
Hii hata south c inaichapa asubuhi na mapema, walete kitu kama hii, huyu ichogal ni mpuuzi sana anadhani we dont knw tzGuys look at Kigamboni that a Tanzanian is busy comparing with places like Karen, Muthaiga and the likes.
View attachment 2043468View attachment 2043471View attachment 2043472View attachment 2043474
Honestly, how do you even start responding to posts like these ones?
Asikuambie mtu biashara yoyote ni 90% planning na 10% execution. Kwenye planning ndiyo lazima ulisome soko. Makampuni yote makubwa huwa yanatumia pesa nyingi sana kwenye market research, huwezi tuu kuingia kichwa kichwa.Hakuna kitu kama kuelewa market, you guys have a very small middle class. Many companies are thriving in Nairobi than in Dar. Ikue startup or bluechip.
Kenya si Tanzania hata mahali kama mikocheni kwa estates hamna lami, Eastlands pekee ina lamiZipo counties kibao hapo kati hazina lami
Pitia hapa muwache kujiabisha na ichogal


Unalazimisha sio .? 😂😂😂Nilikuambia Dar cha maana is found only on a 10km radius, past hapo hakuna cha maana, ni hizo dream houses tupu, jiji la kishamba sana.
Mikocheni hakuna lami 😂😂😂 umewahi kufika mikocheni.?Kenya si Tanzania hata mahali kama mikocheni kwa estates hamna lami, Eastlands pekee ina lami
Sasa unataka kutuambia kampuni mingi zimefail market research ndio kwa maana Nairobi ina kampuni mingi kuliko Dar. Retail industry ya Dar bado ni ndogo sana wacha excuse.Asikuambie mtu biashara yoyote ni 90% planning na 10% execution. Kwenye planning ndiyo lazima ulisome soko. Makampuni yote makubwa huwa yanatumia pesa nyingi sana kwenye market research, huwezi tuu kuingia kichwa kichwa.
Umegonga ndipo.., 😂 😂 😂Nilikuambia Dar cha maana is found only on a 10km radius, past hapo hakuna cha maana, ni hizo dream houses tupu, jiji la kishamba sana.
😂😂😂😂😂 Report ya serikali kuhusu matajiri wenye pesa juu ya 1 million dollar uliiskia .? Umetoka juzi tu .. 6k+ people mzee we endelea kuhangaika na data za kupikaKwa sasa hii imebakia kukua tu porojo, Knight Frank wameifumania wenyewe ama wamejiumbua wenyewe, ama mnataka uchambuzi vilaza? Kwanza kabisa hao net worth individual wa tanzania pesa wanaweka wapi? inge reflect in your banking sector kama ingekua ni ukweli, hizo banks za tz bado kwa mapato ziko chini ya Kenya tena kwa mbali! eti millionaire 5500 😂 😂 😂 😂 ., sasa wacha tutazame reports za 2021., na pia ya Knight Frank, watanzania mniambie millionaire elfu mbili walipotelea wapi tena?
Sioni Tanzania hapa kwa BIG FIVE WEALTH MARKETS.., 😂 😂 😂
View attachment 2043607
Knight Frank 2021., (Logic and Critical thinkers only)-wa vijiweni kaeni kando..,
Mtu afungue hii report, then get the full report usome vizuri.., checkout the overview, uone eti only 8% wa millionaire wa Tz ndio waliporomoka, so kutoka 5500 sasa wamebaki 3700., hao kweli ni 8%?.., Na Kenya millionaires 21% ndio waliporomoka, sasa imebaki 3,327 only critical thinkers., mimi naiamini hiyo report ya juu, alafu mtu aweke report direct ya world bank inayo sema Tz has more high net worth individual than Kenya, anywhere? haupati! so where does Knight frank pick there data??? so how much was Kenya? mbona walisema eti 2009 hapo awali kisha TZ 5500?.., wenye akili pekee
View attachment 2043613
View attachment 2043621