Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ni fala, sio kazi ya government kujenga malls. When you have a onestop shop for everything you need of course you will end up spending more due to convenience. You probably know what happens when supply meets demand.
kweli kuelewa kwa kichwa box ni shida,ila siyo kesi basi fanyeni hivi ishaurini serikali yenu ishawishi sekta binafsi ijenge malls nyingi zaidi ikiwezekana kila mwaka mjenge malls 100 ili muepukane na high rate of unemployment
ndiyo unifundishe sasa meaning ya mall na kazi zake,maneno mengi hayasaidii kitu,
 
Hakuna infrastructure yoyote ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures zipo Dar na huwezi kuzikuta Nairobi, unabisha tuanze?
Mko na expressway ??😁😁
Mko na SGR I nayifanya kazi?
Mko na conference center kama KICC
mko na gardens kiwango cha uhuru park and central park
mko na golf course ngapi hapi Dar,kamoja tu😱😁 Nairobi iko na zaido ya Tano
mko na underpass
mko na ferry wheel kweli ya maana 🎡
Mko na airports/airstrips ngapi hapo Dar,, Nairobi iko na Tatu

The list can go on and on......
 
Kigamboni ndio, Nairobi ni slums kila baada ya hatua 2, nioneshe slum kigamboni saivi
Kelele mnazo zipiga tulisha sema ni null and void...sai tunfurahishana tu hapa...Tulisema tungojee baada ya miaka 25 alafu we revisit...Najua mtarusha maneno mengi hapa..LAKINI STICK IT INTO YOUR HEAD...Nai is far much better than Dar when it comes to development..





1639378889721.png
 
Mko na expressway ??😁😁
Mko na SGR I nayifanya kazi?
Mko na conference center kama KICC
mko na gardens kiwango cha uhuru park and central park
mko na golf course ngapi hapi Dar,kamoja tu😱😁 Nairobi iko na zaido ya Tano
mko na underpass
mko na ferry wheel kweli ya maana 🎡
Mko na airports/airstrips ngapi hapo Dar,, Nairobi iko na Tatu

The list can go on and on......
Conference centers hampaswi Nairobi haipaswi kushindana na Dar ni Dodoma tu panatosha 😂😂😂😂
 
Kelele mnazo zipiga tulisha sema ni null and void...sai tunfurahishana tu hapa...Tulisema tungojee baada ya miaka 25 alafu we revisit...Najua mtarusha maneno mengi hapa..LAKINI STICK IT INTO YOUR HEAD...Nai is far much better than Dar when it comes to development..





View attachment 2042409

Haiondoi ukweli bro 😂😂😂😂😂😂

Screenshot_20211213-095506.png
3031838_IMG_20211213_091334_384.jpg
 
Mko na expressway ??
Mko na SGR I nayifanya kazi?
Mko na conference center kama KICC
mko na gardens kiwango cha uhuru park and central park
mko na golf course ngapi hapi Dar,kamoja tu Nairobi iko na zaido ya Tano
mko na underpass
mko na ferry wheel kweli ya maana
Mko na airports/airstrips ngapi hapo Dar,, Nairobi iko na Tatu

The list can go on and on......
Muoneni huyu mpumbavu
 
Kelele mnazo zipiga tulisha sema ni null and void...sai tunfurahishana tu hapa...Tulisema tungojee baada ya miaka 25 alafu we revisit...Najua mtarusha maneno mengi hapa..LAKINI STICK IT INTO YOUR HEAD...Nai is far much better than Dar when it comes to development..





View attachment 2042409
Nioneshe infrastructures ambazo zipo Nairobi na hazipo Dar, nami nikuoneshe infrastructures ambazo zipo Dar na hazipo Nairobi.
 
Wewe unaamini mtu lazima aajiriwe ndio aishi! . Look at this Danganyikan. Have you asked yourself why Kenya has a bigger middle-class population than all the countries you've mentioned despite the high unemployment rate?
nimekujibu kulingana na upepo wako ,hebu nijibu hayo maswali madogo tu ,

mpo na rate kubwa ya unemployment hiyo middle class utaitolea wapi?,au viestate kwenu ndiyo middle class,unasahau kundi kubwa la wakenya lenye hali chovu chokoraa kwa streets kila kona
 
nimekujibu kulingana na upepo wako ,hebu nijibu hayo maswali madogo tu ,

mpo na rate kubwa ya unemployment hiyo middle class utaitolea wapi?,au viestate kwenu ndiyo middle class,unasahau kundi kubwa la wakenya lenye hali chovu chokoraa kwa streets kila kona
Kwa standards za kenya as long as anaishi kwenye hizi slums zilizopandiana huyo ni technically middle class 😂😂😂😂

Hizi ndio ghorofa za middle class, Yaani wanaishi ghorofani kama ulaya 🤣🤣🤣🤣🤣

113cf5c7-26c1-4471-bcca-338c05a09e3d_tv_w408_r1.jpg
images (26).jpeg
images (27).jpeg
 
Back
Top Bottom