ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani ni uongo uko kwenu hakuna matajiri mpaka mnaona Toyota ni gari za maana.? Hata wasanii wenye kipato cha juu cha kati bongo magari ya toyota wameanza kuyakwepa 👇kutana na jux akiingia BENZ E-CLASS
kiba mwenyewe ana range rover na watu wako kimya tu 🤣🤣 achana na hao wajinga

