Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni uongo uko kwenu hakuna matajiri mpaka mnaona Toyota ni gari za maana.? Hata wasanii wenye kipato cha juu cha kati bongo magari ya toyota wameanza kuyakwepa [emoji116]kutana na jux akiingia BENZ E-CLASS
Naona bado unajitia utahira[emoji1787][emoji1787]
Kuna tofauti wa kununua gari aina ya toyota na kununua gari toyota kenya/tanzania..
Acha kukurupuka mzee
 
RR hata hawajui km waliuza cullinan tanzania[emoji1787][emoji1787]

Angalia difference mzee[emoji1787][emoji1787]
Delivery ya vyuma vipya hyo

Vs
Second hand

Kwahyo unataka kulinganisha nini yani sijakuelewa, home delivery na huyo mwenye alipokea hiyo cheap Car yake kwa showroom.?😂😂😂
 
Kwahyo unataka kulinganisha nini yani sijakuelewa, home delivery na huyo mwenye alipokea hiyo cheap Car yake kwa showroom.?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hehehe!!mamaae[emoji1787][emoji1787]
Second hand ndio kufika na kuingia kwenye leather tayari
 
Naona bado unajitia utahira[emoji1787][emoji1787]
Kuna tofauti wa kununua gari aina ya toyota na kununua gari toyota kenya/tanzania..
Acha kukurupuka mzee
We ni wa kupuuza .. nimeshakupuuza tafuta vilaza wenzako ubishane nao huo upupu wako
 
RR hata hawajui km waliuza cullinan tanzania[emoji1787][emoji1787]

Angalia difference mzee[emoji1787][emoji1787]
Delivery ya vyuma vipya hyo

Vs
Second hand

ww ndio mfanyakazi wao 😀😀😀😀 tangaza ww basi uwawakilishe manake wao hawajasema maneno hayo
 
Siwezi bishana na wewe kichaa.. unajua ni V8 ngapi hapa Mondi amezivaa kwenye mkono tu 👇
 
Kwani ni uongo uko kwenu hakuna matajiri mpaka mnaona Toyota ni gari za maana.? Hata wasanii wenye kipato cha juu cha kati bongo magari ya toyota wameanza kuyakwepa 👇kutana na jux akiingia BENZ E-CLASS

nandy mwenyewe ana BMW na watu wako kimya tu
 
Back
Top Bottom