komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Naona bado unajitia utahiraKwani ni uongo uko kwenu hakuna matajiri mpaka mnaona Toyota ni gari za maana.? Hata wasanii wenye kipato cha juu cha kati bongo magari ya toyota wameanza kuyakwepakutana na jux akiingia BENZ E-CLASS


Kuna tofauti wa kununua gari aina ya toyota na kununua gari toyota kenya/tanzania..
Acha kukurupuka mzee
kutana na jux akiingia BENZ E-CLASS 