Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watu wanatoa maneno ya kejeli alafu tukirudisha anatokea mbuzi kupinga wakati naye alikuwa kinara wa kukejeli upande wa pili, nasisitiza huu ni utoto na ni unafki wa hali ya juu sn.

Inafahamika kwamba Wakenya co wastaarabu kabisa, wkt huu uzi unaanza ulikuwa safi kabisa lkn uliharibiwa na Wakenya kwa maneno yao ya shombo, na cc tukaona twende hivyo hivyo wanavyotaka wao, na hata Watz waliojifanya leo wamebadilika wanalifahamu hilo, japo leo wanawasapoti Wakenya lkn najua mioyo yao inauma sana kwa maneno ya shombo ya Wakenya but wanajifanya kuunga mkono kinafki ilihali wanaumia.

Nyumbani ni nyumbani tu hata ufanyaje huwezi kubadili kwa jirani kuwe kwenu, nyie wanafki wachache endeleeni na unafki cc wacha tujivunie kile kidogo tulichonacho mtajua wenyewe kwani c mnajiumiza wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20211209-015344.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakunya bhn broken English nyiingiiii ukimwambia unamiliki nn anaanza kuunya unya, ooohh siwezi kuonesha maisha yangu humu mara ooohh sina akili za kitoto kumbe fukara, tangu lini mkenya awe na kitu alafu wewe usijue.

Wengi wao humu walipojaribu kuweka maisha yao humu ilikuwa ni vituko, mmoja alijifanya yeye ni mfanyakazi wa serikali tulipomuomba ushahidi akaweka apartment anayoishi, kuiangalia vzr kumbe ni pipeline apartment

Mwengine kaweka ghorofa aki claim ni lake kumbe mlinzi

Mwengine ndo akaua kabisa, kaweka mipesa kumbe kaitoa mtandaoni, alafu kingereza kwa mbali "I post my real life because you requested for it, next time if you want me to show you my private life I won't show you even my nails"

Sent using Jamii Forums mobile app

ka download hela
 
The best 007 nimekublock. Sijui ulikuwa unawaza nini ulipoamua kupost hizo messages. Ndio nilikuwa na ugomvi na Coco reborn na yosef festo. Yaani hawakuwa wanataka nipongeze Tanzania kwa lolote. Halafu nyie pia huwa mnawakashifu Watanzania wenzenu kama akina Walker255 na Geza Ulole wanapoongea ukweli. Kitu kimoja nimerealize na JF ni ati it is a very low quality forum with no room for critical thinking. Ni kwamba karibu kila mtu huku ni kama mbuzi au kondoo, hamruhusiwi kukashifu wala kuanalyze chochote kwa undani na kusema ukweli. Mnafwatana tu kama kondoo. Kwanza hii thread ya Dar vs Nai is very toxic. Ndio maana nilitoka huku. Mtanzania hastahili kusifu Kenya na Mkenya hastahili kusifu Tanzania. Nyinyi wote ni wajinga tu. Anyway The best 007 ulikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu lakini naona umeshindwa kujicontrol kabisa na unataka kunigonganisha na Wakenya japo mimi sitaki ugomvi, mimi hata niliondoka humu kwa sababu ya utoto wenu. A bunch of kids in this forum. Urafiki pia huwa ina kikomo. Nilipiga babayao255 block almost one year ago. Wewe ndio mtu wa pili unakula block. Niliwacha kuwa critical thinker, siku hizi mimi sitaki kugombana na watu, lakini unataka kunirudisha siku za zamani.

View attachment 2037603
Pole sana mzee cha ajabu nilipokuwa napambana nao uliwashangilia. Naona umeona their true colors vijitu vimekuja majuzi humu ila vimbelembele kinoma ni mwendo kuidolize JPM utafikiri alikuwa Mungu!
 
Tanzania keeps on maintaining it's status as the first kisser of any brand new luxury car introduced to the region



Lol, this defender niliiona Kenya 2019 ndio mnaiongelea sahii? 🤣🤣 Watu tulishachoka nayo sahii tunaongelea Range Rover Vogue 2022.🤣🤣 Remember the East African outlet for Land Rover is in Nairobi. Kweli Bongo mko nyuma.


Screenshot_20211209_084506_com.instagram.android.jpg
 
Back
Top Bottom