Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,393
- 5,800
Porii
You can’t compare the modern and EA’s Largest Airport of Dar to that filthy fortress in Nairobi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fukua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo maana wanazaana sana.Ila ktk orodha ya 5 bora ya wapiga mtungi nahisi jirani atachukua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo walimchukia kinoma...wanatamani wangekuwa wanamfahamu.
Hapo alipoandika hawana kazi, masomo na ni masikini ni ukweli mtupu...wakunya wengi humu niliweka vimitego nikanasa social networks zao yaani kiufupi wako kiganjani mwangu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona wanajisifia humu halafu umuangalie kwenye maisha yake halisi unabaki unawaonea huruma tu.
We muongo sana Tanzania ni mda mrefu sasa hiace a.k.a vipanya haviruhusiwi kufika city centerMbona ukaweka Old Taxi park Kampala? umefinywa, unatafuta pa kutokea, kama vile niweke hii hapa ya Dar.., sihitaji kuiponda Dar ndio Nai iyonekane, Nai iko sawa ata ukipanga sehemu zote za Dar hapa, utaishiwa pumzi tu, ukimbilie Kibera kujikomboa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
View attachment 2037145
Nairobi city centre
View attachment 2037147
View attachment 2037148
Mzee kumbe AK 45 zako ulikua umezihifadhi unawaacha tu wapige fujo alafu uanze kuwadondosha mmoja mmoja 😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2037539View attachment 2037540
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa choko reborn aliumia sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee kumbe AK 45 zako ulikua umezihifadhi unawaacha tu wapige fujo alafu uanze kuwadondosha mmoja mmoja [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Mkikuyu- Akili timamu walimnyanganya uraia wa Kenya wamempa uraia wa Tanzania maana jamaa huwa anawaambia ukweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2037539View attachment 2037540
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenge ushawashwa mkuu.View attachment 2037500huu mchongo sijui nao utazinduliwa kesho mana umeshakamilika..[emoji91][emoji91][emoji91] it's the longest bridge in EA and 6th longest bridge in Africa.. NB record hii tumeiweka sisi wenyewe mwaka huu 2021, na tutaivunja sisi wenyewe ifikapo 2024 kule Rock City
Bro, lower your weapon. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2037539View attachment 2037540
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawampendi kabisa huyo jamaa, alafu cku hz naona yupo kmy sn.Hata Mkikuyu- Akili timamu walimnyanganya uraia wa Kenya wamempa uraia wa Tanzania maana jamaa huwa anawaambia ukweli. [emoji23][emoji23][emoji23]
Si wanatafuta justification toka kwa baba levo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro, lower your weapon. [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu bro Tonny ni mtu mstaarabu na mkweli, yeye hawez lazimisha uongo kabisa,na hata akisema kitu ambacho hakipo sawa na tukamuumbua huwa anaelewa na kukubali pia.. huu utabiri wake kuhusu BRT ulikua ni utabiri wa kweli ona now tunakaribia kumaliza phase 2 na 3&4 phases zitaanza soon mana juzi mama alisema tayari pesa tunayo, nimeona hata moja kati ya vituo vya BRT phase Three ujenzi wake umeshaanza pale kwenye kituo cha treni za umeme postaHapa choko reborn aliumia sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2037544
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo naona unatumia zile brand new amphibious tank!Si wanatafuta justification toka kwa baba levo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo naona unatumia zile brand new amphibious tank!