Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu bro Tonny ni mtu mstaarabu na mkweli, yeye hawez lazimisha uongo kabisa,na hata akisema kitu ambacho hakipo sawa na tukamuumbua huwa anaelewa na kukubali pia.. huu utabiri wake kuhusu BRT ulikua ni utabiri wa kweli ona now tunakaribia kumaliza phase 2 na 3&4 phases zitaanza soon mana juzi mama alisema tayari pesa tunayo, nimeona hata moja kati ya vituo vya BRT phase Three ujenzi wake umeshaanza pale kwenye kituo cha treni za umeme posta
Tony huwezi kumfananisha na hawa viazi wa kikenya wa humu wenye mentality ya kitumwa kwamba kuongea broken ndiyo umesoma na una maisha mazuri, Tony msomi na anayejitambua, huwa anasimamia anachokiamini co hawa wasenge wa kibera ambao wanaoneana haya kuambiana ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakunya bhn broken English nyiingiiii ukimwambia unamiliki nn anaanza kuunya unya, ooohh siwezi kuonesha maisha yangu humu mara ooohh sina akili za kitoto kumbe fukara, tangu lini mkenya awe na kitu alafu wewe usijue.

Wengi wao humu walipojaribu kuweka maisha yao humu ilikuwa ni vituko, mmoja alijifanya yeye ni mfanyakazi wa serikali tulipomuomba ushahidi akaweka apartment anayoishi, kuiangalia vzr kumbe ni pipeline apartment

Mwengine kaweka ghorofa aki claim ni lake kumbe mlinzi

Mwengine ndo akaua kabisa, kaweka mipesa kumbe kaitoa mtandaoni, alafu kingereza kwa mbali "I post my real life because you requested for it, next time if you want me to show you my private life I won't show you even my nails"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The best 007 nimekublock. Sijui ulikuwa unawaza nini ulipoamua kupost hizo messages. Ndio nilikuwa na ugomvi na Coco reborn na yosef festo. Yaani hawakuwa wanataka nipongeze Tanzania kwa lolote. Halafu nyie pia huwa mnawakashifu Watanzania wenzenu kama akina Walker255 na Geza Ulole wanapoongea ukweli. Kitu kimoja nimerealize na JF ni ati it is a very low quality forum with no room for critical thinking. Ni kwamba karibu kila mtu huku ni kama mbuzi au kondoo, hamruhusiwi kukashifu wala kuanalyze chochote kwa undani na kusema ukweli. Mnafwatana tu kama kondoo. Kwanza hii thread ya Dar vs Nai is very toxic. Ndio maana nilitoka huku. Mtanzania hastahili kusifu Kenya na Mkenya hastahili kusifu Tanzania. Nyinyi wote ni wajinga tu. Anyway The best 007 ulikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu lakini naona umeshindwa kujicontrol kabisa na unataka kunigonganisha na Wakenya japo mimi sitaki ugomvi, mimi hata niliondoka humu kwa sababu ya utoto wenu. A bunch of kids in this forum. Urafiki pia huwa ina kikomo. Nilipiga babayao255 block almost one year ago. Wewe ndio mtu wa pili unakula block. Niliwacha kuwa critical thinker, siku hizi mimi sitaki kugombana na watu, lakini unataka kunirudisha siku za zamani.

1638991368411.png
 
Wakunya bhn broken English nyiingiiii ukimwambia unamiliki nn anaanza kuunya unya, ooohh siwezi kuonesha maisha yangu humu mara ooohh sina akili za kitoto kumbe fukara, tangu lini mkenya awe na kitu alafu wewe usijue.

Wengi wao humu walipojaribu kuweka maisha yao humu ilikuwa ni vituko, mmoja alijifanya yeye ni mfanyakazi wa serikali tulipomuomba ushahidi akaweka apartment anayoishi, kuiangalia vzr kumbe ni pipeline apartment

Mwengine kaweka ghorofa aki claim ni lake kumbe mlinzi

Mwengine ndo akaua kabisa, kaweka mipesa kumbe kaitoa mtandaoni, alafu kingereza kwa mbali "I post my real life because you requested for it, next time if you want me to show you my private life I won't show you even my nails"

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamkumbuka yule mwamba alisema anafanya kazi airport sujui alisema anasafir na business class.! sikumbuki vizur.😂😂😂 Halafu Venus alimuumbua humu kumbe mwamba alikua amepiga picha na kitu cha ndege mbovu .. heb nikumbushe kama unamkumbuka vizur
 
The best 007 nimekublock. Sijui ulikuwa unawaza nini ulipoamua kupost hizo messages. Ndio nilikuwa na ugomvi na Coco reborn na yosef festo. Yaani hawakuwa wanataka nipongeze Tanzania kwa lolote. Halafu nyie pia huwa mnawakashifu Watanzania wenzenu kama akina Walker255 na Geza Ulole wanapoongea ukweli. Kitu kimoja nimerealize na JF ni ati it is a very low quality forum with no room for critical thinking. Ni kwamba karibu kila mtu huku ni kama mbuzi au kondoo, hamruhusiwi kukashifu wala kuanalyze chochote kwa undani na kusema ukweli. Mnafwatana tu kama kondoo. Kwanza hii thread ya Dar vs Nai is very toxic. Ndio maana nilitoka huku. Mtanzania hastahili kusifu Kenya na Mkenya hastahili kusifu Tanzania. Nyinyi wote ni wajinga tu. Anyway The best 007 ulikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu lakini naona umeshindwa kujicontrol kabisa na unataka kunigonganisha na Wakenya japo mimi sitaki ugomvi, mimi hata niliondoka humu kwa sababu ya utoto wenu. A bunch of kids in this forum. Urafiki pia huwa ina kikomo. Nilipiga babayao255 block almost one year ago. Wewe ndio mtu wa pili unakula block. Niliwacha kuwa critical thinker, siku hizi mimi sitaki kugombana na watu, lakini unataka kunirudisha siku za zamani.

View attachment 2037603
Hapana bro usifanye ivyo ni silaha tu alizitumia the Best ili kuweka sawa mambo flani wala haikua kwa Nia mbaya. Msameh kwa leo hatorudia tena
 
Wakunya bhn broken English nyiingiiii ukimwambia unamiliki nn anaanza kuunya unya, ooohh siwezi kuonesha maisha yangu humu mara ooohh sina akili za kitoto kumbe fukara, tangu lini mkenya awe na kitu alafu wewe usijue.

Wengi wao humu walipojaribu kuweka maisha yao humu ilikuwa ni vituko, mmoja alijifanya yeye ni mfanyakazi wa serikali tulipomuomba ushahidi akaweka apartment anayoishi, kuiangalia vzr kumbe ni pipeline apartment

Mwengine kaweka ghorofa aki claim ni lake kumbe mlinzi

Mwengine ndo akaua kabisa, kaweka mipesa kumbe kaitoa mtandaoni, alafu kingereza kwa mbali "I post my real life because you requested for it, next time if you want me to show you my private life I won't show you even my nails"

Sent using Jamii Forums mobile app
So wewe ulianika life yako humu for people to see ama? I believe there is a reason y watu wanatumia avatar n fake names here, you cant judge someone hujui, mimi ata kama naingilianga watz you would be surprised they are my closest business partners and friends. You take too personally issues, its never that serious.
 
Unamkumbuka yule mwamba alisema anafanya kazi airport sujui alisema anasafir na business class.! sikumbuki vizur. Halafu Venus alimuumbua humu kumbe mwamba alikua amepiga picha na kitu cha ndege mbovu .. heb nikumbushe kama unamkumbuka vizur
Nimemsahau jina, yupo kule jukwaa la picha za warembo wakali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The best 007 nimekublock. Sijui ulikuwa unawaza nini ulipoamua kupost hizo messages. Ndio nilikuwa na ugomvi na Coco reborn na yosef festo. Yaani hawakuwa wanataka nipongeze Tanzania kwa lolote. Halafu nyie pia huwa mnawakashifu Watanzania wenzenu kama akina Walker255 na Geza Ulole wanapoongea ukweli. Kitu kimoja nimerealize na JF ni ati it is a very low quality forum with no room for critical thinking. Ni kwamba karibu kila mtu huku ni kama mbuzi au kondoo, hamruhusiwi kukashifu wala kuanalyze chochote kwa undani na kusema ukweli. Mnafwatana tu kama kondoo. Kwanza hii thread ya Dar vs Nai is very toxic. Ndio maana nilitoka huku. Mtanzania hastahili kusifu Kenya na Mkenya hastahili kusifu Tanzania. Nyinyi wote ni wajinga tu. Anyway The best 007 ulikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu lakini naona umeshindwa kujicontrol kabisa na unataka kunigonganisha na Wakenya japo mimi sitaki ugomvi, mimi hata niliondoka humu kwa sababu ya utoto wenu. A bunch of kids in this forum. Urafiki pia huwa ina kikomo. Nilipiga babayao255 block almost one year ago. Wewe ndio mtu wa pili unakula block. Niliwacha kuwa critical thinker, siku hizi mimi sitaki kugombana na watu, lakini unataka kunirudisha siku za zamani.

View attachment 2037603
Tony254 punguza jazba basi,Jamaa alikua anawalenga wale ambao Wanaishi maisha ya kuigiza humu ndani kama kakutenesha kidonda msamehe 😃😃😃
 
The best 007 nimekublock. Sijui ulikuwa unawaza nini ulipoamua kupost hizo messages. Ndio nilikuwa na ugomvi na Coco reborn na yosef festo. Yaani hawakuwa wanataka nipongeze Tanzania kwa lolote. Halafu nyie pia huwa mnawakashifu Watanzania wenzenu kama akina Walker255 na Geza Ulole wanapoongea ukweli. Kitu kimoja nimerealize na JF ni ati it is a very low quality forum with no room for critical thinking. Ni kwamba karibu kila mtu huku ni kama mbuzi au kondoo, hamruhusiwi kukashifu wala kuanalyze chochote kwa undani na kusema ukweli. Mnafwatana tu kama kondoo. Kwanza hii thread ya Dar vs Nai is very toxic. Ndio maana nilitoka huku. Mtanzania hastahili kusifu Kenya na Mkenya hastahili kusifu Tanzania. Nyinyi wote ni wajinga tu. Anyway The best 007 ulikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu lakini naona umeshindwa kujicontrol kabisa na unataka kunigonganisha na Wakenya japo mimi sitaki ugomvi, mimi hata niliondoka humu kwa sababu ya utoto wenu. A bunch of kids in this forum. Urafiki pia huwa ina kikomo. Nilipiga babayao255 block almost one year ago. Wewe ndio mtu wa pili unakula block. Niliwacha kuwa critical thinker, siku hizi mimi sitaki kugombana na watu, lakini unataka kunirudisha siku za zamani.

View attachment 2037603
Mimi nilishaongea mara nyingi tu kuhusu ukichaa uliopo kwenye hii thread. Critical thinking hakuna kabisa humu. Ukisema ukweli unaowaumiza wanakuchukia. Ukisema kitu ambacho hawataki watu wajue, wanakasirika. Kiufupi ukiwa na mawazo tofauti na ya kwao, wewe ni adui au msaliti. Lakini kumbe lengo lako ni kuleta mabadiliko kwa fikra mbadala. Jukwaa kamą hili lingekuwa Zuri sana kama lingetumika kutoa constructive criticism kwenye mambo mbalimbali. Miaka ndenda rudi battles ni zile zile. Kama sio slums ni skyscrapers au malls au barabara. Hamchoki? Mko shallow kiasi hiki? Badilikeni!
 
Mimi nitaendelea kupost barabara. Sitakosa kuenjoy picha za barabara nzuri sababu ya watu.
FB_IMG_16389865667100642.jpg
 
Mtu ukiona hii battle haikufai ondoka tu kwasababu humu JF kuna threads nyingi mnoo, ss wewe unasema battle ni ya kipuuzi lkn bado upo tu umeng'ang'ania, ukiona hivyo wewe ndiye mpuuzi no. 1.

Ukiona unapambana kumbadilisha mtu na habadiliki basi badilika wewe simple like that, mtu anaongea kabisa eti ooohh battle imejaa upuuzi lkn bado yumo tu mana ake kuna kitu anapata humu, pia tuache unafki mana unatushushia hadhi tuliyokuwa nayo.

Unapokosolewa kubali au km hukubali basi baki na msimamo wako huo huo, co eti ulikuwa unasifia lkn leo umebadilika kisa tu umekosolewa na unaenda mbali zaidi kujiona wewe ndio unaakili kupita watu wote humu hyo co sawa, wewe km umeamua kuwa against basi baki hivyo hivyo, ponda mpk ujisikie faraja lkn usitake kuona wengine hawana akili ila wewe ndio mwenye akili, huo ni utoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom