Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FJi1gJI.jpeg
 
pia mabasi yetu ya brt yatatumia stima na yenu yanatumia fossil fuels, kwaivo our brt itakua superior than yours??

Itakuwa bora kama hayo mabasi yataenda kasi kuzidi au tayakuwa na facilities kuzidi yetu kitu ambacho sioni kwenye BRT lane iliyopakwa lipstic mbele ya madereva vichaa wa Nairobi. Alafu mind you, sisi tunaphase sita ambazo tayari ziko designed, nyie hiyo phase moja imewatoa jasho, mkitaka kuongeza zingine inabidi mvunje half of Nairobi.
 
Hata usijisumbue. Nani hajui mlivyowabishi?
Before going further you should have studied about the difference between these two terms

After knowing such a difference then come back to me.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me breakdown for you Buda. Tunachoringanisha ni ubora na viwango, wakati SGR yetu itaanza kazi itakuwa ya umeme na treni za kisasa na huku yenu itakuwa ile mitungi ya chang’aa. Same applied to BRT, wakati yetu ni complete package system with dedicated lanes, yenu itaendelea kuwa ile ile ya kupaka ‘lipstick’ with narrow stations kama spagethi, so its just a matter of time tutakuwa na SGR ya kisasa na BRT System ambayo ni most effective huku nyie mkishika mkia kwenye hilo eneo. Umeleewa kijana wangu?
U nailed it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichojifunza humu ndani kuhusu hii battle ni kwamba..
Kenya naona wapo ka Mo dewji yaani anafahamika ndio Tajiri coz hata Forbes wanamtajataja,,, mixer na kupenda kijiweka mitandaoni kupata sifa....
Afu
Tanzania namwona ka bakhresa Huyu bwana hana matambo mengi wala hao Forbes hawamtaji taji ila ukiwa na akili utajua uwezo wake au hela zake kwa kuangalia vitu alivyowekeza na anavyoendelea kuwekeza.
Kifupi kwa mwenye akili atajua nani kati yao ni wamoto.
 
Nilichojifunza humu ndani kuhusu hii battle ni kwamba..
Kenya naona wapo ka Mo dewji yaani anafahamika la ndio Tajiri coz hata Forbes wanamtajataja,,, mixer na kupenda kijiweka mitandaoni kupata sifa....
Afu
Tanzania namwona ka bakhresa Huyu bwana hana matambo mengi wala hao Forbes hawamtaji taji ila ukiwa na akili utajua uwezo wake au hela zake kwa kuangalia vitu alivyowekeza na anavyoendelea kuwekeza.
Kifupi kwa mwenye akili atajua nani kati yao ni wamoto.
Na unajua kinachowauma ni nn? Hata hiyo nafasi ya Mo dewji tumeshaichukua, now Tz ndiyo inatajwa tajwa sana duniani kuliko Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me breakdown for you Buda. Tunachoringanisha ni ubora na viwango, wakati SGR yetu itaanza kazi itakuwa ya umeme na treni za kisasa na huku yenu itakuwa ile mitungi ya chang’aa. Same applied to BRT, wakati yetu ni complete package system with dedicated lanes, yenu itaendelea kuwa ile ile ya kupaka ‘lipstick’ with narrow stations kama spagethi, so its just a matter of time tutakuwa na SGR ya kisasa na BRT System ambayo ni most effective huku nyie mkishika mkia kwenye hilo eneo. Umeleewa kijana wangu?
Kenya's sgr can be electrified in its current state. Sisi kujenga sgr ya diesel si eti kwa sababu hatuna huo uwezo ama kuona umuhimu wake. Ni kwa sababu uzalishaji wetu wa umeme bado upo chini kwa sasa ukilinganisha na demand. Tungejenga ya umeme could have spelled doom to our industrial and domestic power needs kwa sababu ingelemaza shuguli nyingi muhimu.

Nyinyi mnajenga ya umeme kwa sababu mahitaji yenu ya umeme bad upo chini ikilinganishwa na yetu. Najua hili mtabisha sana ila huo ndo ukweli.

Kuhusu brt, ours was an afterthought so you can't expect it to be top-notch. Kwa sasa tunajenga a second line along the expressway so ngoja tuone matokeo yatakuaje.

All the same, hujawahi kuona brt systems za kupakwa rangi ama nyinyi ndio wale ambao hawajawahitoka nje ya mipaka ya Tandale?
 
The same way unalinganisha sgr yenu which is still under construction na yetu ambayo inafanya kazi. Are you listening to yourself bongolala?
😀oneni huyu kiazi, afadhali sisi tunaocompare sgr ya umeme vs yenu ya gari moshi kuliko nyie kucompare kibrt cha mchongo na ya kwetu. Naona mnacompare na kidaraja chenu cha dongokundu na madaraja yetu, ila hatusemi but likija swala la sgr unalalamika maana mnaiogopa
 
Kenya's sgr can be electrified in its current state. Sisi kujenga sgr ya diesel si eti kwa sababu hatuna huo uwezo ama kuona umuhimu wake. Ni kwa sababu uzalishaji wetu wa umeme bado upo chini kwa sasa ukilinganisha na demand. Tungejenga ya umeme could have spelled doom to our industrial and domestic power needs kwa sababu ingelemaza shuguli nyingi muhimu.

Nyinyi mnajenga ya umeme kwa sababu mahitaji yenu ya umeme bad upo chini ikilinganishwa na yetu. Najua hili mtabisha sana ila huo ndo ukweli.

Kuhusu brt, ours was an afterthought so you can't expect it to be top-notch. Kwa sasa tunajenga a second line along the expressway so ngoja tuone matokeo yatakuaje.

All the same, hujawahi kuona brt systems za kupakwa rangi ama nyinyi ndio wale ambao hawajawahitoka nje ya mipaka ya Tandale?
Wakuu amekubali kwamba umeme wao ni mdogo, twende nao taratibu wameanza kukubali

Cc Teargas Coco reborn Tony254

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me breakdown for you Buda. Tunachoringanisha ni ubora na viwango, wakati SGR yetu itaanza kazi itakuwa ya umeme na treni za kisasa na huku yenu itakuwa ile mitungi ya chang’aa. Same applied to BRT, wakati yetu ni complete package system with dedicated lanes, yenu itaendelea kuwa ile ile ya kupaka ‘lipstick’ with narrow stations kama spagethi, so its just a matter of time tutakuwa na SGR ya kisasa na BRT System ambayo ni most effective huku nyie mkishika mkia kwenye hilo eneo. Umeleewa kijana wangu?
Until you see the trains, don't mention them. So far, our stations are better than yours, your trains are yet to come. Let's compare existing things.
 
Back
Top Bottom