Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asante kwa kukubari kuwa hiyo ni kenya.wakenya wenzako tunapo post picha au screenshot za namna hiyo,hutoa povu jingi sana la hasira.wewe upo tofauti,hongera.

ila ni ajab na aibu kubwa sana kwa police wa DC kuishi/kulala katika mazingira duni kama hayo.

ndio maana huwa tunawaambia,data zenu kuhusu uchumi ni za kupika kwa kuwa haziakisi maisha halisi ya mkenya

mfano mdogo ni hilo tank la kuhifadhia maji ambalo police wa kenya analitumia kama makazi yake.
is Facebook and Twitter really reliable information for you? I was totally being sacarstic and you bought it.
 
79e3a224017a299811509194f3845ac3.jpg
048e9d33273411998b56be4cd785d5a8.jpg
861ca4116b71b0f91d424b758b66aca5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app

hapa wapi? Embakasi?
 
hahaha. ...hiyo nyumba inakaa fiti.usingizini inakubeba unadhani unapaa angani....wewe cheka tu
dah mi ndiyo maana huwa nawaambia kuwa wakenya mna matatizo sana hebu tazama mwenyewe mambo mnayoyafanya duniani duh..!!!kama mambo yenyewe ndiyovhaya !kweli mpo kiunique....
 
dah mi ndiyo maana huwa nawaambia kuwa wakenya mna matatizo sana hebu tazama mwenyewe mambo mnayoyafanya duniani duh..!!!kama mambo yenyewe ndiyovhaya !kweli mpo kiunique....


huyo ni mtu kajitungia makao vile tu watu Homeless marekani hulala kwa mapipa au box
 
is Facebook and Twitter really reliable information for you? I was totally being sacarstic and you bought it.
i find facebook and twitter very reliable b'se issues which are shered by common kenyans are very real and 100% true.no cooked information like in other sources.
 
Mombasa's viability is about to change radically to transform that anarchist and continuous chaos into regulated traffic that can guarantee both commercial and tourist transport.
Kenya's largest port is also the number one jumper for trucks and containers that go not only to Nairobi, but also to Uganda and Tanzania via Taveta, and Malindi and Lamu.
But Mombasa remains the destination for all foreign tourists interested in visiting the Swahili coast, from Diani to Malindi.
The third road contract was defined yesterday and it will also be for a Chinese company, this is about 12 kilometers from the Nairobi highway to the Jomvu suburb. Twelve miles of six-lane highway, three outbound and just as in-flight, to dispose of all the traffic of Kenya's second city.
Meanwhile, the other two projects are coming to an end, according to the Ministry of Transport: the ring road linking Moi International Airport to the road leading to the Tanzania border, crossing the Likoni Canal (and the obligation Of having to take the ferry) is a matter of a few months.
At first it was about the inauguration on August 23, but the election campaign slowed down the work. Above all, there will be a section of internal bridges that takes time and expertise.
The faster the speech for Dongo Kundu city bypass. Already 10 kilometers completed, you just have to unite it when you leave the airport, and for tourists who come from Europe to get out of the chaotic city will become easier and less traumatic.

912_m.jpg
Hii habari ya zamani. Ilisha wekwa humu kitambo. Tupe up date za leo.
 
Mombasa's viability is about to change radically to transform that anarchist and continuous chaos into regulated traffic that can guarantee both commercial and tourist transport.
Kenya's largest port is also the number one jumper for trucks and containers that go not only to Nairobi, but also to Uganda and Tanzania via Taveta, and Malindi and Lamu.
But Mombasa remains the destination for all foreign tourists interested in visiting the Swahili coast, from Diani to Malindi.
The third road contract was defined yesterday and it will also be for a Chinese company, this is about 12 kilometers from the Nairobi highway to the Jomvu suburb. Twelve miles of six-lane highway, three outbound and just as in-flight, to dispose of all the traffic of Kenya's second city.
Meanwhile, the other two projects are coming to an end, according to the Ministry of Transport: the ring road linking Moi International Airport to the road leading to the Tanzania border, crossing the Likoni Canal (and the obligation Of having to take the ferry) is a matter of a few months.
At first it was about the inauguration on August 23, but the election campaign slowed down the work. Above all, there will be a section of internal bridges that takes time and expertise.
The faster the speech for Dongo Kundu city bypass. Already 10 kilometers completed, you just have to unite it when you leave the airport, and for tourists who come from Europe to get out of the chaotic city will become easier and less traumatic.

912_m.jpg
Hii habari ya zamani. Ilisha wekwa humu kitambo. Tupe up date za leo.
 
i find facebook and twitter very reliable b'se issues which are shered by common kenyans are very real and 100% true.no cooked information like in other sources.



even Americans complain about their country............its so normal for citizens to vent.....hii dunia ni shida tupu uende developed World to developing World matatizo lazma....
 
even Americans complain about their country............its so normal for citizens to vent.....hii dunia ni shida tupu uende developed World to developing World matatizo lazma....
angalau sasa mnaaza kukubari kuwa nyinyi ni masikini tu kama vinchi vingine vya afrika.
 
Next year Qatar Airways will fly from Doha to Mombasa

Agreement reached between the airport authorities in Mombasa and Qatar Airways. Good news for those who plan to come to the coast of Kenya flying with airlines, booking places also confident months before and finding the right offer.
886_m.jpg


Even the low cost line FLY DUBAI is thinking about Kenyan coast
Achamaneno weka evidence. Lasivyo unaonekana kama chizi mawazo
 
we cant go electric without sufficient power. Wacha tuzalishe umeme surplus ndio tufikirie kununua Electric train. hizi za saa hii ni 4 hours from Nairobi to Mombasa a distance of 498 km
Umekula maana njaa kila mwaka haimuchi mkenya salama , na kama umekula utakuwa umekula ugali unga kutoka Tanzania na gas iliyopikia imetoka Tanzania

Ainu kubwa sana ,mmeuziwa mbuzi kwenye gunia treni ya enzi za mkoloni

Na Leo pia nitatuma picha angavu kama za Jana ambazo nimepiga mwenyewe kuonyesha uhalisia wa jiji la Nairobi stay tune



spensa_e
 
Back
Top Bottom