Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We are following!
DF5xYxrXcAArF_X.jpg
Gun shot mnapeleka mbwa.
 
Something one should note is the order in which develop of Nairobi takes! Everything is lined properly to create a very orderly living in the city
dji_0995-copy-830x460-jpg.553512
 
If you look closely on this image, you will see housing till the horizon, thousands of mature luxurious estates
dji_0995-copy-830x460-jpg.553512


Any space between is fenced or under development! On the roll
 
And this one in Mavoko is being done by the government of Kenya to relocate slum people then create parks in the former slummy areas. 23 Hectares
MAVOKO-SUSTAINABLE-DEVT.jpg


MAVOKO-ESTATE.jpg
 
Today i will share, middle income housing in Nairobi, hope mko poa humu JF
Umesikia habari ya kwamba Tanzania ni nchi ya pili afrika baada ya south Africa kuzalisha mafuta ya alizeth

In that case Kenya tutakuwa kwa sasa tuna wa spoon feed , kuanzia Vitunguu - ambavyo mnachukua manyara na magola Tanzania
Karoti na viazi mviringo - ambazo mnachukua kutoka west Kilimanjaro Tanzania
Mchele - ambao mnachukua magugu manyara Tanzania
Nyama ya Ng'ombe - mnachukua kanda ya ziwa Tanzania mkipitisha border ta sirari
Maindi kwa sasa hatuwaletie tunawaletea unga
Mafuta ya alizeti tutaweka utaratibu sasa wa kuwaletea maana mlizoea mnaenda babati manyara Tanzania mnabeba adi mashudu ya kulisha kuku zenu za broiler

Mwisho kabisa Nishati ya kupika ivyo vyote mnatoa Tanzania ambayo ni gas bora kabisa na bei ya chini

Muwe makini tusije tuka wa colonies




spensa_e
 
Back
Top Bottom