Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ili Moshi iwe jiji, inabidi ikidhi vigezo Vipi?
Issue ya jiji la moshi inatakiwa eneo liongezeke kwa kumega eneo toka wilaya nyingine kama moshi vijijini ili eneo liwe kubwa ila vigezo vya watu na shughuli za kiuchumi imekidhi.
 
Huu mradi ukikamilika hiyo Abuja Nigeria yenyewe itasubiri. au labda shida ya Tanzania hatuitangazi sana miradi yetu ndio mana hawa wapuuzi hawajui wao kazi yao kuponda tu 😂😂😂 Eti Kenya pia anaipigia mfano😂😂😂..

Wasichojua ni kuwa hiyo Abuja yenyewe ni copy and paste ya ramani ya Dodoma.
 
kwa hiyo wewe kazi ni kucount omba omba pekee wanaotoka Tz nakuwapa permit?
Mzee hana chakupoteza, muda wowote anaweza kuondoka hivyo anataka kuacha legacy nzuri.

Anajua historia ya umimi ya hawa wakikuyu na anakumbuka Nyerere alivyomlea na baadae kumpa urais, lazima arudishe fadhila.

Somo hapa nikuishi na watu vizuri, roho mbaya na umimi wa kina kenyatta na Njonjo leo unawaumiza wajukuu zao.
 
Shida sio hatupigi picha mkuu bali Dar ni jiji kubwa sana mpaka kusikia habari ya sehemu fulani kuna kitu kinaendelea it takes time maana miradi ni mingi ndio maana umeona huo mradi wa Dege haukupewa profile kubwa sababu mega projects ni nyingi sana.
Hivi huu mradi siyo ulipigwa chini kwasababu ya ufisadi?
 
Lile daraja la pale bandari ndogo naona ujenzi unaendelea, linajengwa na kampuni ya Sumitomo kama ckosei ndiyo kampuni iliyojenga Mfugale flyover. Wakenya nawaonya, hapa patakuwa na view matata sn kuna BRT inapita hapo, msije kusema sijawaambia View attachment 2025379View attachment 2025380View attachment 2025381View attachment 2025382View attachment 2025383
Thank you bro for the latest news

Tanzania miradi ni mingi sana kuliko kenya kwa vile hatuna wapiga picha wengi na waandishi wa Habari wa kutangazia.

Nimejaribu kufukua Kwenye vyanzo vyangu 👇🏿
 
Back
Top Bottom