Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli unauma...
hakika ukweli unauma

3e4e88c8623ece8d5daf184cc854ddcb.jpg
 
Bongo majengo marefu lakini miundombinu mibovu majengo yapo shagharabaghara..... Mji haupendezi kwa majengo marefu Bali ni miundombinu dhabiti zikiwemo barabara za kutosha na zenye ukubwa, mitaro ya majitaka n.k... Bongo mvua ikinyesha ni aibu barabara hazipitiki kwa maji.
Aibu nyingine ni kwamba sio tu Bongo bali nchi nzima ya Tanzania hakuna flyover yaani ndio kwanza tumeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama majengo haya ni kweli yapo Nairobi (kenya) basi acha nisiwe mzalendo kwakweli mmeifunika Dar es Salaam. Ingawa mimi ni Mtz ila majengo haya hapana chezea Wakenya mmetisha

Sent using Jamii Forums mobile app
binti,
tunajua umekuja kwenye hii thread kutafuta boyfriend wa kikenya.

haina shida,tutakukabidhi kwa kijana jobless wa kikenya anayeitwa collomzii muende mkaanzishe familia pamoja.
 
Kama majengo haya ni kweli yapo Nairobi (kenya) basi acha nisiwe mzalendo kwakweli mmeifunika Dar es Salaam. Ingawa mimi ni Mtz ila majengo haya hapana chezea Wakenya mmetisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili gani unaongea hicho kwanza😀😀
Safari hii mtafungua accounts mpya usiku na mchana 😛😛😛
Pole sana jaribu tena baadae
 
what is wrong with the last pic?...the downside part of the flyover looks dirty,dusty and over crowded with matatus and hawkers.....poor nairobi.

The road under construction still. Landscaping to remove debri has not been done yet. The road is 70% complete. Excavations still ongoing in some places
 
Bongo majengo marefu lakini miundombinu mibovu majengo yapo shagharabaghara..... Mji haupendezi kwa majengo marefu Bali ni miundombinu dhabiti zikiwemo barabara za kutosha na zenye ukubwa, mitaro ya majitaka n.k... Bongo mvua ikinyesha ni aibu barabara hazipitiki kwa maji.
Aibu nyingine ni kwamba sio tu Bongo bali nchi nzima ya Tanzania hakuna flyover yaani ndio kwanza tumeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan uliambiwa mji lazma uwe na flyover ndio unakua mji?????😀😀😀😀😀
Pumzika hakuna madem humu😛😛
FB_IMG_1500890931542.jpg
 
wakiweka zile aerial view photo shop zao kwa asiye ijua nairobi utajua ni bonge la city kumbe hamna kitu....
Unahakika tuanze street view Dar na Nairobi???? Sema tu!!

Hata hivyo haina haja, naona mmeishiwa mnaanza kupost mabasi na Malori daah! Jikaze tu mtu hufa kiume.
 
Unahakika tuanze street view Dar na Nairobi???? Sema tu!!

Hata hivyo haina haja, naona mmeishiwa mnaanza kupost mabasi na Malori daah! Jikaze tu mtu hufa kiume.
Ligi ya mabasi na malori ilikwepo kama ulikua hujui waulize wenzako😀😀😀😀
Habari wanayo waliipata
 
Adawnage in Nairobi
I love Ada! I will stream the photos here! Ooh My!! Nairobi raha! Sijui mtu aende Wiz Kid ama Busy Signal Sasa Ada!! Entertainment city of Africa
DFwR8ChXcAACRX_.jpg
 
Back
Top Bottom