Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

acha upimbi
kwani kwenye hii nchi Rais alikuwa ni magufuli peke yake?

hizi mambo za kukatika katika kwa umeme hovyo tulishazisahau haya mambo yalikuwa enzi za kikwete,
kwa kuwa kikwete amekuja kuongoza nchi kivingine tutegemee mengi tu kutokea na wewe kama panya utakuwa ni shahidi namba moja kushuhudia na kunasa kwenye mtego wenye nyama,picha ndiyo kwanza limeanza kila kiongozi anamapungufu yake hivyo kuna mazuri na mabaya siyo unakuja hapa kusifia mambo kitoto
Mulizisahau wakati hakuna ukame,lakini kukiwa na ukame vipi mtazisahau?

Pimbi ni wewe na yule mtu wenu mliyekuwa mnamlamba nyayo,saizi mama kaacha watu watumie bongo zao kufanya Kazi ndio maana mambo yanaenda.

Hata huo umeme by June next year hizo mambo zitaisha kuwe na ukame au usiwepo.
 
Wafoji vyeti wamerudishwa kazini kama haupo fanya umpigie simu mama akurudishe, usituletee laana zako humu
 
Mulizisahau wakati hakuna ukame,lakini kukiwa na ukame vipi mtazisahau?

Pimbi ni wewe na yule mtu wenu mliyekuwa mnamlamba nyayo,saizi mama kaacha watu watumie bongo zao kufanya Kazi ndio maana mambo yanaenda.

Hata huo umeme by June next year hizo mambo zitaisha kuwe na ukame au usiwepo.
sasa ulitegemea hizi mbalanga ziendelee?,,

we kweli kibofu

na isitoshe mi sina upande ukizingua nakuponda ukipatia nakupa sifa zako,siko kama wewe mwenhe ubongo wa nguruwe
 
sasa ulitegemea hizi mbalanga ziendelee?,,

we kweli kibofu

na isitoshe mi sina upande ukizingua nakuponda ukipatia nakupa sifa zako,siko kama wewe mwenhe ubongo wa nguruwe
Nguruwe ni wewe na huyu hapa Aliyekuwa anawaswaga 👇

2952061_JamiiForums569115795.jpg


2952362_Q0f.jpg
 
Weka ushahidi. Na usisahau tumeongoza kwenye FDI, kama pia mna FDI kubwa weka ushahidi.
Soma mahali nimekoleza kwa rangi nyekundu. Tumewashinda kwenye kila kitu. Tumewadouble kwenye kila kitu. Kuanzia airport passengers to port cargo volumes.

Kenya's forex reserves shrink by Sh38.4bn in October​

Diaspora remittances which are Kenya’s largest source of foreign exchange have been declining​

In Summary
  • The country's dollar reserves have been declining for the past six weeks currently standing at $9.175billion(Sh1.02trillion).
  • The reserves have dropped from $9.521billion(Sh1.05trillion) held as of September 24.
CBK Headquarters
CBK Headquarters
Image: FILE
Kenya’s official forex reserves dipped by Sh38.4billion in October, on the back of low remittance inflows and possible dollar sales by CBK to cushion the shilling.
The country's dollar reserves have been declining for the past six weeks currently standing at $9.175billion(Sh1.02trillion), according to the latest weekly bulletin.

The reserves have dropped from $9.521billion(Sh1.05trillion) held as of September 24.
 
Tafuta mtu akutafsirie hii hapa, ikiwa wenye zao huko Sea Cliff wanateseka hivi, jameni maskini walalhoi kama wewe Tandale lazima mnakoma aisei.

3006171_IMG-20211119-WA0172.jpg
So hapo ndio wameandika hakuna maji? Au kizungu ndiyo hujui, shortage of.... co sawa na lack of......


Wakenya hamna akili
 
So hapo ndio wameandika hakuna maji? Au kizungu ndiyo hujui, shortage of.... co sawa na lack of......


Wakenya hamna akili

Hehehe Kwa style hiyo, naona mkiyakosa hadi magogoni..... na hii yote ni kwa aili ya ukaidi wa mwenda zake, hakutaka kuambiwa ukweli, alikua analazimisha mambo, kuna uzi nimeona humu Tanzanite mnapigwa balaa licha ya liukuta lote lile.
Yaani naskia hata maccm mnagombana wenyewe kwa wenyewe mitaani kwa hali ilivyokua balaa...umeme hamna, maji hamna, mfumuko wa bei umepaa hatari....kila kona mapigo, poleni, uzuri mama hafichi, ameamua kuanika ili iboreshwe upya na kurekebisha nchi kote alikoharibu yule mzee.
 
Back
Top Bottom