Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ni kwisha tumekwishaaa....shamba la bibi tumerudi tenaaView attachment 2017054
I once said in here,there is something fishy going on at Mererani,naona imekuwa kweli
Ni kwisha tumekwishaaa....shamba la bibi tumerudi tenaaView attachment 2017054
I once said in here,there is something fishy going on at Mererani,naona imekuwa kweli
Naona polisi wa kenya wana chapa kada wa chama cha CCM hapo chiniNa nikisema ww ni mwili unao tembea huwa namanishajinsingani ubongo wako umekufaaaKwakua mdanganyika ndio anawafinya hiviView attachment 2017199View attachment 2017200





wakati hizo nguo ukizivaa tanzania hata ukibaka watoto wachanga unapeta tu labda usiwe team mkwereKwaiyo ivyo vicomment vya vichaa wenzio ndio vitabadilisha nini?Endelea kuropokwa lakino ujue wewe ni taga muongoView attachment 2017089





mafiii kabisa ww
hiyo inaitwa side effect,tushatumbua mtu jipu hapoWale Wazambia waliokuwa wanapitia kwanza Kenya ndo waje Tanzania sasa hivi watakuwa wanatoka moja kwa moja kutoka Zambia hadi Tanzania bila kupitia nchi nyingine.![]()
oi game changes
Labda kwakununua ile mitumba ya trainsMY friend na sio kwa ubaya, ni vile tu nyie wa tz mnapenda sana ubishi ..lakini kwa kusema kweli...kenya ni nchi imeendelea saaana hapa afrika...saana..
hiyo link haisaidii kitu,anayejua maisha halisi ya watu wake ni mwenye nchi,hao WB sijui na IMF ni virutubisho tu wanapima vitu kwa nadharia tu kwa kukisia mambo,hatutegemei data ambazo hata wewe unaweza kuandaa data zako,kama jinsi mlivyojisambazia mitandaoni kuwa mlima kilimanjaro upo kenya na baadhi ya foreigner waliamini hilo,Hayo maeneo muhimu wanahusisha na ndio maana hawakukubaliana ya taarifa ya serikali yenu kuhusu ukuaji wenu wa uchumi mliyopika 2019
![]()
Why Tanzania’s statistics look fishy
A country lauded for its economic growth may not be doing as well as it sayswww.economist.com
Niambie ni wapi IMF ama WB disputed figures presented by the government of Kenya
Itakuwa mwendazake amesababish...
Yanaiga US, haya majitu ni majinga sn, yanaiga kila kitu from western countries tatizo kila yanachoiga yanaishia kujidhalilisha tu.huo ni upuuzi,hiyo si freedom of media mzee,sheria zipo huo ni uzalilishaji tena kwa raisii wa nchi![]()
You are being bitter and salty for nothing na pia unadhihirisha jinsi ulivyo mjinga. Kwa hivyo WB na IMF wanatumia tu nadharia kutengeneza data zao? Hivi, wewe umesoma had kiwango gani cha elimu? Kuna uwezekano najadiliana na mwehu.hiyo link haisaidii kitu,anayejua maisha halisi ya watu wake ni mwenye nchi,hao WB sijui na IMF ni virutubisho tu wanapima vitu kwa nadharia tu kwa kukisia mambo,hatutegemei data ambazo hata wewe unaweza kuandaa data zako,kama jinsi mlivyojisambazia mitandaoni kuwa mlima kilimanjaro upo kenya na baadhi ya foreigner waliamini hilo,
kwa ground hamna kitu reality yenu tunaijua ni bure kabisa.
wewe nimiongoni wa watu mnaoitwa nyani,kwa kuwa mlifanyiwa tafiti na mkamezeshwa na mkaamini kuwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani
Wacha kuwa mjingaaa....siyo IMF walio wambia mnaweka pesa yenu fixed against usd?...nikichwa yako tu ndio kubwa akili hunaHayo maeneo muhimu wanahusisha na ndio maana hawakukubaliana ya taarifa ya serikali yenu kuhusu ukuaji wenu wa uchumi mliyopika 2019
![]()
Why Tanzania’s statistics look fishy
A country lauded for its economic growth may not be doing as well as it sayswww.economist.com
Niambie ni wapi IMF ama WB disputed figures presented by the government of Kenya
Hakuna maji hakuna stima. Mateso kweli kweli.
Foreign reserves za kitoto. Mbona sisi tuna foreign reserves kubwa kuwashinda na haturingi. Wacheni ushamba bana.ECONOMISTS IN TANZANIA ARE EXCITED FOLLOWING SIGNIFICANT INCREASE IN THE COUNTRY'S FOREIGN RESERVES
EMMANUEL ABARA BENSON
November 19, 2021 10:32 AM
Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves
Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves
The significant increase was due to export diversification.
Increased exportation of rice, maize, beans, vegetables, etc., helped to cushion the effect of COVID on the country's tourism sector.
Meanwhile, Tanzania has been advised to consider taking advantage of the foreign reserves boom to offset its external debts.
The Bank of Tanzania (BoT) said in its latest monthly economic review that foreign reserves jumped to $6.7 billion up from $4.9 billion in September, marking a historic high for the East African country.
Apparently, the significant increase was due to export diversification. The BoT report, a copy of which was seen by Business Insider Africa, explained that there was increased exportation of some food items including rice, maize, beans and vegetables. This was in addition to the exportation of minerals, finished products and others.
"Export of rice, in particular, amounted to 303,4 million US Dollars compared with 97,4 million US Dollars, reflecting efforts made to improve cross-border trade...The increase was observed in all import categories, except fertilisers," the BoT said.
These exports helped to cushion the adverse effects which the Coronavirus pandemic had on the country's tourism sector.
READ: Tanzania’s exports to Kenya set to exceed $200 million in 2021
It should also be noted that the increase recorded in Tanzania's foreign reserves was despite the high forex demand for imports during the period under review. For instance, there was an 18.3% increase in oil imports to $1.7 billion due to price increase. And this accounted for a significant portion of the import bill.
Meanwhile, in reaction to the good news, some Tanzanian economists have expressed both excitement and optimism over the country's economic prospects going forward. One of these economists is Dr Hildebrand Shayo. He recommended that Tanzania should consider paying off its external debt now, making adequate use of the increase in foreign reserves. He also recommended how to ensure future increases.
"To ensure these reserves increase further in future, there is a need for the country to maintain exports competitive prices but more important to continue to be firm on building confidence for investors."
Ahmed Nganya, a manager at Vertex International Securities, said the increase in foreign reserves, coupled with the fact that Tanzania attracted $2.9 billion worth of Foreign Direct Investments (FDIs) between March and August this year, all point to the Tanzanian economy is poised for future growth.
View attachment 2017177![]()
Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves
Read the latest news across entertainment, sports, business and moreafrica.businessinsider.com
Jibu hoja kwa nini hamkuweka umeme wa dharura in case of ukame kama saizi? Kwa hiyo hiyo ndio crisis management ya Jiwe?we nawe ni kunguni kabisa,kila kitu kinachoendelea ni uzembe mama yako hawezi kumanage mambo muhimu na hao watu anaowateua ndiyo kabisa hamna kitu,
Tz haina ukame kiasi hicho useme watu wakakosa umeme na maji hovyo hovyo,kwani hata kipindi cha nyuma kuna joto lilipiga zaidi ya ya hiki kipindi,ila maji na umeme haikuwa kero kama sasa hivi,
mama yako anakuja na reason za kizembe eti watu wamechepusha maji hiyo ndiyo sababu,acheni upuuzi serikali yetu ni mbovu hamna kitu,CCM hamna kitu ni kufanya kazi kimazoea na kubebama tu,acha utopolo
Sio kusingiziwa,ndio ukweli Kwani uongo,waharibifu wa mazingira aliwayetea,machinga akasemw waachwe,wavuvi haramu akamtimua Waziri ,madeni kila sehemu huku anadanganya, kwenye umeme alikuwa busy na stiglaz huku alishindwa kuandaa buckup in case of emergency..Shujaa mjinga asiye na maarifa.Ss hivi wimbo umebadilika, kila baya linalotokea anasingiziwa marehemu kwamba alijenga ukuta kwamba ukuta ndiyo umeleta wezi yn ajenge ukuta alafu aamke aje kukamata wezi
Umeme kukatika analaumiwa kwamba alijenga bwawa, kwamba alikata miti mingi sasa mvua hazinyeshi na kwamba alikosea kujenga bwawa ilibidi kuwekeza kwenye gesi as if miaka yote tulikuwa tunategemea umeme wa gesi, au utadhani wangeweza kuhimili umeme wa gesi.
Machinga kushamiri analaumiwa analaumiwa kwamba aliruhusu Machinga kanakwamba tatizo limeanza baada ya yeye kuingia madarakani.
Afrika hatukupaswa kuwa na multi party system, bado njaa na uroho wa madaraka vinasumbua watu, yn watu wako radhi kuongopa mradi tu wapate mtaji wa kisiasa. Multi party system ilifaa ije kizazi cha 100 kutoka hiki chetu cha njaa.
uwe unaelewa unachosoma ,usiwe unasoma vitu kama kasuku,You are being bitter and salty for nothing na pia unadhihirisha jinsi ulivyo mjinga. Kwa hivyo WB na IMF wanatumia tu nadharia kutengeneza data zao? Hivi, wewe umesoma had kiwango gani cha elimu? Kuna uwezekano najadiliana na mwehu.
Onesha sehemu waliposema hakuna maji.Sea Cliff naifahamu nimewahi kuhudumiwa pale, ni mzaha mkubwa sana kwa hoteli yenye hadhi hiyo kukosa maji, hainiingii akilini, hawa jamaa uzembe wao huwakwamisha sana.
acha upimbiJibu hoja kwa nini hamkuweka umeme wa dharura in case of ukame kama saizi? Kwa hiyo hiyo ndio crisis management ya Jiwe?
Wewe kwa akili yako mbovu kama hakuna ukame kilichopelekea maji kupungua kwenye mabwawa ni nini?
Mama sio kiazi kama yule wenu,Kazi inafanyika hivi
View attachment 2017236
Weka ushahidi. Na usisahau tumeongoza kwenye FDI, kama pia mna FDI kubwa weka ushahidi.Foreign reserves za kitoto. Mbona sisi tuna foreign reserves kubwa kuwashinda na haturingi. Wacheni ushamba bana.