NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,971
Hivi hizi hapa ni sii rangi tofauti? Hivi hapa hamna kutu sio? 🤣 🤣 🤣Vi estate vyenu havina mvuto, vimekaa hovyo hovyo, vimebanana alafu pia bati zina rangi tofauti tofauti kama zege, nyingine zina kutu typical African estates, no wonder Dar ikaongoza kwenye suala zima la thamani kwenye real estate industry, pia Dom inakuja kumaliza kabisa competition ya real estate, si Nairobi wala Dar itafikia thamani ya real estate za Dom mana ni nzuri, modern na organized.

