The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Pole sana kwa maumivu ..
So wazungu wanaosema no Slums in Tz unawaona wapuuzi? Ukitaka kuamini wanachosema basi wewe fanya kuizoom hiyo ndo utajua kwnn wanasema hakuna slums in Tz.
Kwa hizo Tano ni Tatu tu ziko over 15 flr😁😁Hizi ghorofa tano kando ya barabara ndio hua wanaita CBD🤣🤣🤣
Unaogopa kupost picha latest ju utaona aibu, unatafuta picha za 15 years ago ju Nairobi ya sahii is 15 -20 years ahead of Dar.Aerial View of Nairobi city,
60% of residents live in that slum you see View attachment 2011619
Ukiwaambia hivyo wanalia, ila mkuu licha ya kuona Westland, CBD na upper hill in one shot pia hebu angalia hili vundo mkuu, hapa ndipo over 90% ya Wakenya halisi wanaishi, onaaI see everything in it,
Westlands, cbd, upper hell in one photo. View attachment 2011604








wamefinywa 😂 😂 😂 💪 💪 💪 ., wanateseka sana..,Unajfariji sasa. Before even Times Tower was built and Upperhill and Westlands skylines were nonexistent!! Huu ni wa mwaka gani bongolala?
Hatuezi andika kwa mate na wino ipo
View attachment 2011618
Vi estate vyenu havina mvuto, vimekaa hovyo hovyo, vimebanana alafu pia bati zina rangi tofauti tofauti kama zege, nyingine zina kutu typical African estates, no wonder Dar ikaongoza kwenye suala zima la thamani kwenye real estate industry, pia Dom inakuja kumaliza kabisa competition ya real estate, si Nairobi wala Dar itafikia thamani ya real estate za Dom mana ni nzuri, modern na organized.Eastlands iko na density na ni kubwa sana kuliko Dar CBD zoote kwa ujumla.,
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii upuzi naweza kuhesabu jengo moja baada ya nyingine., tazama eti density![]()
![]()
Nenda mkasemezane na Mombasa mkinywa supu ya pweza kwa mahamri.., nyie ni CBD tu ndio sehemu ya maana.., size yenu mombasa![]()
![]()
View attachment 2011598
View attachment 2011600
Unaogopa kupost picha latest ju utaona aibu, unatafuta picha za 15 years ago ju Nairobi ya sahii is 15 -20 years ahead of Dar.
Hizi 👇 👇 zenu ndio ziko na mvutio eti?.., 😂 😂 😂 hiyo report tunai challenge mchana peupe with factsVi estate vyenu havina mvuto, vimekaa hovyo hovyo, vimebanana alafu pia bati zina rangi tofauti tofauti kama zege, nyingine zina kutu typical African estates, no wonder Dar ikaongoza kwenye suala zima la thamani kwenye real estate industry, pia Dom inakuja kumaliza kabisa competition ya real estate, si Nairobi wala Dar itafikia thamani ya real estate za Dom mana ni nzuri, modern na organized.
Ukiwaambia hivyo wanalia, ila mkuu licha ya kuona Westland, CBD na upper hill in one shot pia hebu angalia hili vundo mkuu, hapa ndipo over 90% ya Wakenya halisi wanaishi, onaaView attachment 2011640
Hizi![]()
zenu ndio ziko na mvutio eti?..,
![]()
![]()
hiyo report tunai challenge mchana peupe with facts
Mitaa ya Tanzania yenye mvutio vimekaa sawa sawa![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 2011655
View attachment 2011658
View attachment 2011660
View attachment 2011666
eti Dom.., did u know the whole of kenya ni SA pekee ndio mpinzani in subsaharan Africa kwa real estate? ama unapinga?.., nyie bado sana., kama ni zile nyumba 1000 za dom., vitu za ovyo ata huyu dada amejaribu na nyumba zake mia mbili.., mtu binafsi kwa bidii yake.., eti Dom 😂 😂 😂 😂hakuna mji nje ya Dar iko na real estate value zaidi ya Kiambu, Machakos, |Kajiado, Kisumu, Mombasa, Nax Vegaz na Eldoret.., hakuna hata moja...,Vi estate vyenu havina mvuto, vimekaa hovyo hovyo, vimebanana alafu pia bati zina rangi tofauti tofauti kama zege, nyingine zina kutu typical African estates, no wonder Dar ikaongoza kwenye suala zima la thamani kwenye real estate industry, pia Dom inakuja kumaliza kabisa competition ya real estate, si Nairobi wala Dar itafikia thamani ya real estate za Dom mana ni nzuri, modern na organized.
Kama hapo ni slum hii jehanam tutaitaje?
Yaani zenu normal ni hovyo sana.., ni kibera mtatumia kujiliwaza humu, hamuna pa kutokea nyinyi., tumewabana kote kote., jiliwaze na Kibera.., video clip hiyo hapa, tafuta kahawa chungu na njugu unywe ukitizama.., mko hovyo kote kote 😂 😂 😂 😂 😂 😂Imagine watu milioni 2.5 kati ya milioni 4 nairobi wanaishi humu halafu wote wanakunya kwa plastic bags ..
Without clean water supply.
unajua sometimes Ng’ombe ana maisha mazuri kuliko binadamu View attachment 2011687
Ninachokipendea miji za Kenya ni planning. Dar kupata sehemu zimepangika hivi utatafuta na microscopeKama hiyo eneo ume circle kwa akili yako ni slums.., Dar ni nini, unajilipua 😂 😂 😂 😂 😂 wacha nisongeze karibu..,
Nakuru residential imetosha kutoa dar Kamasi
View attachment 2011607
View attachment 2011615
View attachment 2011613
View attachment 2011614
View attachment 2011608
View attachment 2011610