Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hebu oneni kitu wanachoshindana na dar
Wamemalizaa kanaiushuziii..mbingu na ardhi
JamiiForums-1214181261.jpg
JamiiForums1501244203.jpg
 
Cku ukinionesha ushahidi kwamba hapo co Kibera na ukanionesha udongo mwekundu Dar naachana na hii battle, hivi unadhani wazungu wajinga mpk kui rank Kenya ni nchi yenye slums kubwa duniani?

Pia usisahau no Slums in Tanzania.
Kwa hivo hizi sio slums?👇👇 🤣 🤣
1.jpeg


Tangu lini Nairobi ikakaa hivi? Ama utakana Google maps pia? 🤣 🤣 🤣

1.PNG
 
Ujinga ambao serikali ya Kenya ilifanya ni kwamba ilipiga marufuku kiboko shuleni. Zamani wakati wetu, tulikuwa tunachapwa kama punda hata hungepata wazo la kuchoma shule. Siku hizi hawa watoto wa cerelac na weetabix wamedekezwa sana eti hawachapwi shuleni. Mwishowe wanakuwa watundu kushinda ichoboy01
hapo nakuunga mkono
 
We mbona unajitia ujuaji,na hujui chochote.? Unabishia ukweli.? Haya nakupa faida.. 1.. ujenzi wa barabara za lami 51km kwenye mji wa serikali 👇View attachment 2008419View attachment 2008418kwasasa hapo kuna ujenzi wa ministry zote za Tz, majengo 24 yenye gorofa kuanzia 6-12 yanajengwa hapa kwenye huu mji, facilities tofauti tofauti kama recreational parks and Malls.. by the way Dodoma pia kuna ujenzi wa ofisi tofauti tofauti za serikali zilizoisha kujengwa hivi karibuni na zinazoendelea kujengwa.. jengo la makao makuu ya NEC 👇View attachment 2008422OSHA👇View attachment 2008428OFISI YA Takwimu 👇View attachment 2008429PSPF DODOMA HQ👇View attachment 2008430View attachment 2008431LAPF DOM HQ👇View attachment 2008432Miradi mikubwa ya stendi 👇View attachment 2008450View attachment 2008451SOKO KUU DOM👇View attachment 2008452View attachment 2008453stendi ya Malory 👇View attachment 2008454and many more projects that are under way. 👇View attachment 2008433View attachment 2008437mfano hili lilikua ni jengo la uhamiaji 👇DomView attachment 2008438ujenzi wa UHAMIAJI HQ DOM👇View attachment 2008439View attachment 2008440also kuna housings projects zinazoendelea, huu👇 ni ujenzi wa nyumba 1000 unayofanywa na shirika la Nyumba la taifa HNC View attachment 2008444View attachment 2008445View attachment 2008446View attachment 2008447and recreational park (Chinangali recreational park) the largest multi purpose recreational park in EA 👇View attachment 2008455View attachment 2008456 many more.. AND this is old Dodoma CBD that you have no an idea of..👇View attachment 2008441View attachment 2008442View attachment 2008443View attachment 2008448View attachment 2008449hiv ni vitu vichache ambavyo nimefanikiwa kukupatia picha zake.. lakini ujue tu .. kuna DOM outer ring road 112km dual carriage way U/C,
2. Dom international airport
3. Dom international stadium
4. Dom indoor Arena
5.ikulu kubwa EA
n.k .. vitu ni vingi baba .. here I have a bonus video showing the most beautiful Political party's conference center in EA 👇 . NB uache kutusemea we fala .. eti ooh Dom sijui ni capital city yenye haina lami 😂😂 Kumbe hujawahi kufika na hujui chochote nyoko wewe.. Kuna mji wowote nje ya NAIROBI unawezana na DOM .. nawauliza nyie Don YF Tony254 Nicxie nairobae NairobiWalker .. nataka mkiamka tu mje na majibu sahihi

View attachment 2008417

Dogo sasa kama wewe unajua Mwanza iko juu ya Dom, then fyata, no argument! There is no city in Tz outside Dar, ni developing towns and villages glorified as cities, don't attach your emotions kwa debate, u are reasoning irrationally kila wakati 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom