tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Miradi haijasimama mfano sgr hiki kipande cha pugu hadi stesheni mambo yamechanganya mbaya...Miradi imekwama, hatuoni ujenzi wa barabara za mitaani kwa ss, vi flyover viwili tu cha pale Chang'ombe na uhasibu vinatusumbua kweli kweli, vimesimama, SGR mpk ss sielewi kinachoendelea yn sielewi kabisa, ngoja tuone hawa wanaosema mama yuko vzr huenda wana siri ya uzuri wake kiutendaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi umebadilika lazima tukubali lasivyo tutapoteana humu...
Raisi kusafiri nadhani sisi tusubiri takwimu tu ya vitu alivyofanya 2025 ....tutampima kaa aliyofanya





