Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BOT

MTWARA

249843926_572959387348582_3423845460610724651_n.jpg


249262549_3683276111897931_8647545206021084883_n.jpg
 
Mkuu hii kauli huwa naisema hapa daily na naiishi hii kauli, tuna kila kitu, tuna viwanja vizuri,tuna ligi nzuri, tuna Amani, wachezaji wanaishi mazingira ya kitajiri, lkn ndio hivyo tena Watz hatufundishiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira ukiendeshwa kisiasa matokeo yake ndio hayo.

Kuna haja gani ya kutangaza kuwa team imepewa ma billion. Wakishinda wanataka kujiimarisha kisiasa.

Wachezaji walikuwa down kabisa. Huenda hizo pesa ni maneno tu au zimeliwa na wasiocheza.
Wao wakapewa posho ya laki tano tano.
 
Back
Top Bottom