Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
BOT
MTWARA
MTWARA
Mkuu huu mradi ni kifinyo kwa nchi zilizo tuzunguka.Wakiona picha za hii miradi huwa wanastuka kweli kweli, wanaona ile time ndio imefika rasmi, mm nawaambia ile time bado kidogo tulieni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi mpira hatujui, kwakifupi cc michezo kama taifa hamna kitu, tupo vizuri kwenye mpira ngazi ya clubs kwasababu tuna pesa tumenunua wageni lkn cc mpira na michezo kwa ujumla hatutakuja kutoboa, hatufundishiki.Mpira sisi bado sana aisee![]()
Nakwambia hivi mkuu hii miradi miwili ya SGR na JNHPP ni miradi very strategic na hii miradi itatupeleka mbali sn.Mkuu huu mradi ni kifinyo kwa nchi zilizo tuzunguka.
Ili nchi iendelee inahitaji umeme wa uhakika na wa kutosha.
Mkuu umeamua kutuvua nguo ugeniniSisi mpira hatujui, kwakifupi cc michezo kama taifa hamna kitu, tupo vizuri kwenye mpira ngazi ya clubs kwasababu tuna pesa tumenunua wageni lkn cc mpira na michezo kwa ujumla hatutakuja kutoboa, hatufundishiki.
Sent using Jamii Forums mobile app









Mkuu hii kauli huwa naisema hapa daily na naiishi hii kauli, tuna kila kitu, tuna viwanja vizuri,tuna ligi nzuri, tuna Amani, wachezaji wanaishi mazingira ya kitajiri, lkn ndio hivyo tena Watz hatufundishiki.Mkuu umeamua kutuvua nguo ugenini![]()
Sisi mpira hatujui, kwakifupi cc michezo kama taifa hamna kitu, tupo vizuri kwenye mpira ngazi ya clubs kwasababu tuna pesa tumenunua wageni lkn cc mpira na michezo kwa ujumla hatutakuja kutoboa, hatufundishiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira ukiendeshwa kisiasa matokeo yake ndio hayo.Mkuu hii kauli huwa naisema hapa daily na naiishi hii kauli, tuna kila kitu, tuna viwanja vizuri,tuna ligi nzuri, tuna Amani, wachezaji wanaishi mazingira ya kitajiri, lkn ndio hivyo tena Watz hatufundishiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania hukosea wapi, hata dar most of the suburbs ni vumbi tualafu watakuambia Mwanza ni city.., kwanza street level ya hiyo suburb ni vumbi![]()
![]()
![]()
![]()

Haka ka stand kapo standard sn.Stendi ya daladala morogoro tofauti kabisa na Stendi kuu ya mabasi morogoro
View attachment 2007198
View attachment 2007199
Naona wametoa wamachinga, walikuwa wamejenga mavibanda hapo kibaooo na yalikuwa yanaongezeka. Kwenye stand hatuwezekani aisee, tuko mbali sn kulinganisha na hivi vinchi vya East and Central Africa mfano Kenya na group lake la Congo, Rwanda, Burundi, Uganda na vinginevyo.Stendi ya daladala morogoro tofauti kabisa na Stendi kuu ya mabasi morogoro
View attachment 2007198
View attachment 2007199
Hawana akili ya mpira, tuendelee kusajili wageni tu hawa wachezaji wa kitanzania ni pasua kichwa.Hata kupaki basi tunashindwa sijui shida iko wapi
Unaongelea vumbi alafu hujiamini, unaogopa nini ssTanzania hukosea wapi, hata dar most of the suburbs ni vumbi tu![]()






