Blind patriotism on display hapa., eti roads, sawa dogo😂😂, Mwanza, Arusha, Dodoma not cities.., hapa Kenya tunajaribu kuwaonyesha sio Nairobi pekee, in Tz nje ya Dar mnaishiwa pumzi kabisa, no meaningful development, vipicha ni town centres kwanza angles za kupotosha, ili mjikweze, mchezo wenu ni Dar ambayo kimandeleo ni sehemu ndogo sana pia, tumeichambua kikamilifu, mtapiga picha angles tofauti tu same area or locality., Hapa mgeni kutoka nje ya Tz na Kenya atakuambia wazi wazi which is the most developed city in EAC after visiting both., wewe ni uzalendo unaongea hapa, sentimental attachment to your country clouding objectivity. Ingekua ni ukweli mngedhibitisha kikamilifi sio domo domo. Kenya is above Tz by far hiyo ni jambo gumu kwa Mtanzania kukubali, either ni wivu ama umasikini jeuri tu😂😂😂., So inafika sasa mnajaribu kutumia mapungufu ya Kenya ili kujiliwaza or muonekane eti mko better, bado. You are growing yes, liko wazi and it is most parts of Africa, not Tz or Kenya pekee kama unafuatiliwa kwingine utaona, ila u are not yet there., jikubalini tu, sio dhambi.