Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,789
Mi nawamaindi kishenzi hawa jamaa.Tafuta clip, Magufuli alisema watu walikua wakitoa maji mitoni kupunguza kina ili watukie majenereta.
5yrs mambo hayo hayakuwepo, how come ndani ya miezi 6 mambo hivi?
Mji wowote duniani kama hauna modern infrastructures like BRT, electric sgr, cable stayed bridges or Trams, huo mji ni stone age city au we unasemaje?Mbona tuandike kwa mate na wino upo?.., in bongolala land only Dar pekee ndio inaweza linganishwa na Mombasa ukatae ukubali ukweli uko wazi
![]()
![]()
![]()






Hapa mumejaribu. Hongera.
mlichotushinda ni picha tu in reality nothing mzeeNje ya Dar nothing to compare.., nchi ya city moja tu![]()
![]()
![]()
Nafurahi kuona Watz mnaanza kukubali pole pole kwamba Kenya tumeendelea kuwashinda.mlichotushinda ni picha tu in reality nothing mzee
tembea
Nyine mnacho shinda ni njaa pekee.Nafurahi kuona Watz mnaanza kukubali pole pole kwamba Kenya tumeendelea kuwashinda.
hakuna mlichotushinda ,mlichotushindia ni hizo photograph mmepiga picha nyingi sana kwenye miji yenu na mnajibrand sana tofauti na hapa Tz ,miji mingi karibia yote haina enough pictures za kushow hata picha za Dar zimeanza kutapakaa kipindi cha karibuni,ukitaka kuamini angalia huu uzi wakati unaanzishwa tulistruggle sana kwa upande wa picha.Nafurahi kuona Watz mnaanza kukubali pole pole kwamba Kenya tumeendelea kuwashinda.
Hahaha. Hio ina maana kwamba hamna drones za kutosha. Pia hamna cameras za kutosha. Hio pia ni ishara kwamba kimaendeleo tuko mbele yenu.hakuna mlichotushinda ,mlichotushindia ni hizo photograph mmepiga picha nyingi sana kwenye miji yenu na mnajibrand sana tofauti na hapa Tz ,miji mingi karibia yote haina enough pictures za kushow hata picha za Dar zimeanza kutapakaa kipindi cha karibuni,ukitaka kuamini angalia huu uzi wakati unaanzishwa tulistruggle sana kwa upande wa picha.
Watu wenye kipato cha chini wanazidi kuumia, makodi chungu mzima, huku mama anakata anga tuu.Chamoto vp kaka?
hapana kuna vitu tumezidiana nikimaanisha kuna vitu vipo Tz havipo kenya na kuna vitu vipo Kenya ila Tz havipo ila si kwa masuala ya drone hivyo ni vitu vya kawaida sana,Hahaha. Hio ina maana kwamba hamna drones za kutosha. Pia hamna cameras za kutosha. Hio pia ni ishara kwamba kimaendeleo tuko mbele yenu.