Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We already had almost the same population before independence so point yako ya land mass remains invalid. Current birthrate ya Tanzania is higher than Kenya and Ethiopia. Lakini ikifika kwa infant mortality rate munaongoza pia. [emoji23][emoji23][emoji23]munazalisha kama panya ju ya umaskini na kuua kama mende ju ya under development.

View attachment 2005586

View attachment 2005587
N what is wrong watu kuzaliana? Mashamba tunayo chakula kipo shule bure wacha watu watumie nyeti zao ipasavyo.....kitu cha muhim mtu aangalie uwezo wake ni kuhudumia watt wangap
 
We already had almost the same population before independence so point yako ya land mass remains invalid. Current birthrate ya Tanzania is higher than Kenya and Ethiopia. Lakini ikifika kwa infant mortality rate munaongoza pia. [emoji23][emoji23][emoji23]munazalisha kama panya ju ya umaskini na kuua kama mende ju ya under development.

View attachment 2005586

View attachment 2005587
Ukilinganisha na resources zinazopatikana Kenya na Tanzania(Land, water, arable land, natural resources), population ya Tanzania ilipaswa kuwa mara mbili ya Ile ya Kenya, ninyi mnazaa bila mipango yoyote, miaka ijayo mtakosa hata maeneo ya kuzikana mtalazimika kuja kuomba Tanzania maeneo ya kuchimba kaburi zenu.

Kabla ya kuzaa lazima muangalie Kama resources mlizonazo zinawaruhusu kuzaa, sababu kubwa ya vita za wafugaji huko kwenu ni upungufu wa resources kwa ajili ya mifugo.

Tanzania bado tunazo resources za kuturuhusu kuzaliana zaidi, ninyi hamna resources lakini bado mnazaliana Kama panya.,[emoji23]
 
Mombasa...,
1636546108944.png

1636546139270.png

1636546227163.png

1636546267314.png

1636546303441.png
 
Tanzania by now ingekua imeongeza gap lakini watoto wengi wanakufa TZ kuliko Kenya. Tanzania's birthrate is higher than Kenya's na unasema tunazaa kama panya. Shida ya Tanzania numbers zenu haziongezeki kiasi kubwa ju bado infant mortality rate iko juu. Watato wengi wachanga wanakufa Tanzania kuliko Kenya.
Ukitaka kudestroy any argument na bongolala just point out facts uone akijibu upuzi au atoroke.

View attachment 2005524

View attachment 2005526

View attachment 2005533

View attachment 2005534
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pointless ,,yaani unataka TZ nchi yenye idadi ya watu wengi kuliko Kenya mlingane kwa vifo,kifo ni ajari tu hakuna mtu anayeombea kifo

basi jaribu kufanya kuwa Tz na kenya inaidadi ya watu sawa balafu ndiyo ulinganishe hivyo vifo
 
Currently Tanzania ndio mapanya, mkona higher birthrate hata kushinda Kenya na Ethiopia. Shida ni eti bado watoto wengi wanakufa Tanzania kama mende. Munazalisha mukiuwa idadi kubwa at the same time.
huna swagga mzee umeishiwa maneno,ni sawa sawa nakulinganisha tetea aliyetaga mayai kumi kisha akatotoa mayai 5 mengine yakaharibika ukaja kulinganisha ma tetea aliyetaga yai 5 na kuharibika yai 2,ukategemea wakalingana
 
Back
Top Bottom