tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Mwewe....Dodoma nayo ikishapata airport ya kimataifa tunaweza piga kifua
Mwewe....Dodoma nayo ikishapata airport ya kimataifa tunaweza piga kifua
UN waligusia pia kuwa Kenya inaongoza Africa kwenye ukuaji wa slums.Ndio sababu UN imesema Tanzania inaongoza Subsahara Africa katika uchumi shirikishi, "Economic inclusivity", samahani japo inauma Sana lakini sio Mimi niliyesema ila ni UN.
Tanzania is a unique country in Africa, surrounded by neighbours affected by tribalism, corruption, terrorism, hunger, crime, political violence, but it remains unaffected.






Of course pengo ni dogo sana as you can see below 😂 😂Wivu na uchungu kuona Tanzania pengo Kati ya masikini na tajiri ni dogo Sana, kwao wanaminywa mapupu na wanasiasa na wazungu,
Beautiful views? Bongolala, hayo bararaba za juu tulianza kuziona while it was still a pipe dream in Dar. They are vrtualy everywhere in NairobiSiku mkiwa na beautiful views kama hizi pleas tag me
View attachment 2003835View attachment 2003836View attachment 2003837
Huyo jamaa anadai humu eti yeye ni engineer.Educated modern people 😂😂😂😂😂, kwaheri for now.., hehehehe
Again, unsubstantiated talk. Empty rhetoric from a bongolala as usual. Keep going man, it will help Tanganyika overtake KenyaLess than 0.1% of the population (8,300 people) own more wealth than the bottom 99.9% (more than 44 million people). The richest 10% of people in Kenya earned on average 23 times more than the poorest 10%. 80%The number of super-rich in Kenya is one of the fastest growing in the world
![]()
Ile bei ya sukari walishapata ama bado wanatapatapa?Macadamia nuts 100grams bila packaging inauzwa ksh 860.
Nchi yenye vyakula tele lakini ukiwaambia walete bei wanatoroka. Kwa ground vitu ni different. 😂😂😂😂
View attachment 2003887
View attachment 2003888
kwa hiyo kenya kuna maji kuliko AmerikaKabla ulale, soma hii definition hapa. Tangu lini stress ikakua a positive term.
View attachment 2003666


You don't have beautiful view like these.Beautiful views? Bongolala, hayo bararaba za juu tulianza kuziona while it was still a pipe dream in Dar. They are vrtualy everywhere in Nairobi
Wakenya siku hizi wanakula sukari🤣🤣🤣Macadamia nuts 100grams bila packaging inauzwa ksh 860.
Nchi yenye vyakula tele lakini ukiwaambia walete bei wanatoroka. Kwa ground vitu ni different. 😂😂😂😂
View attachment 2003887
View attachment 2003888
Compare that house with these ones here. Aren't these the type of houses that dot 80% of Dar landscape?Mama Ngina kawaambia mnaishi maisha mazuri.
But serious maisha yenu kama Nguruwe
View attachment 2003817
Watu wanaachana na matumizi ya sukari wewe unapigia kelele.Ile bei ya sukari walishapata ama bado wanatapatapa?
Water stress is the rate of water withdrawal not availability.kwa hiyo kenya kuna maji kuliko Amerika![]()
Bado wanatafuta. Wakiskia tu umetaja bei wanaanza lame excuses.Ile bei ya sukari walishapata ama bado wanatapatapa?
Umekubali Eastland is a home of flying toilets!?Compare that house with these ones here. Aren't these the type of houses that dot 80% of Dar landscape?View attachment 2003898
Leta bei ya unga basi. 😂😂😂Watu wanaachana na matumizi ya sukari wewe unapigia kelele.
Kijana in our country we prefer using honey than sugar because
View attachment 2003900
and to imagine tanzania has a population of not more than 60m huku 28m ni extremely poor, mbna wakose kuexport omba omba kwenye nchi za wenyewe?
We always use Honey in our country.Bado wanatafuta. Wakiskia tu umetaja bei wanaanza lame excuses.