Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekubali Eastland is a home of flying toilets!?
Tuanzie hapo kwanza kisha unitajie Nina la sehemu ya picha uliyoweka
Mtafika tu bongolalas, msijali. Rome wasn't built in a day.

Eastlando
FBv7rydXEBI9z4w (1).jpg
2992576_1636374107943.png
Screenshot_20210630-201144.png
Screenshot_20210630-200813.png
Screenshot_20210616-011846.png
Screenshot_20210626-150329.png


Dar is slum 😂 😂 😂
Screenshot_20210515-100611~2.png
 
and to imagine tanzania has a population of not more than 60m huku 28m ni extremely poor, mbna wakose kuexport omba omba kwenye nchi za wenyewe?
Huwezi kuona ombaomba katika mitaa ya Tanzania kwasababu kuomba ni kosa kisheria wanakamatwa na polisi ndio sababu hukimbilia huko kwenu ambako Kitendo cha kuomba ni sehemu ya kupata chakula
 
and to imagine tanzania has a population of not more than 60m huku 28m ni extremely poor, mbna wakose kuexport omba omba kwenye nchi za wenyewe?
Alafu unasikia kilaza akisema eti gap kati ya rich and the poor in Tanzania ni ndogo!!
 
Mibongolala kwa visingizio na vijisababu! Sawa basi, tupe bei ya asali tuone kisha umalizie na ya unga. Ama unga pia hamtumii?
Unataka bei asali au ya unga.
Unga wa mahindi
Unga wa mtama
Unga wa mchele
Unga wa ngano
Unga wa ulezi
Unga wa dengu
Be specific unataka unga upi.
Upande wa asali na maziwa kila kaya wanavyo hawahitajiki kwenda supermarket.

Tunaenda supermarket kununua electronic devices na siyo food.
1636443688536.png
 
Huwezi kuona ombaomba katika mitaa ya Tanzania kwasababu kuomba ni kosa kisheria wanakamatwa na polisi ndio sababu hukimbilia huko kwenu ambako Kitendo cha kuomba ni sehemu ya kupata chakula
The bottom line is that they are all Tanzanians begging on our streets
 
Unataka bei asali au ya unga.
Unga wa mahindi
Unga wa mtama
Unga wa mchele
Unga wa ngano
Unga wa ulezi
Unga wa dengu
Be specific unataka unga upi.
Upande wa asali na maziwa kila kaya wanavyo hawahitajiki kwenda supermarket.

Tunaenda supermarket kununua electronic devices na siyo food.
View attachment 2003935
Unga wa mahindi, 2kg
 
Unataka bei asali au ya unga.
Unga wa mahindi
Unga wa mtama
Unga wa mchele
Unga wa ngano
Unga wa ulezi
Unga wa dengu
Be specific unataka unga upi.
Upande wa asali na maziwa kila kaya wanavyo hawahitajiki kwenda supermarket.

Tunaenda supermarket kununua electronic devices na siyo food.
View attachment 2003935
Bongolala, tunataka kuona BEI
 
Unataka bei asali au ya unga.
Unga wa mahindi
Unga wa mtama
Unga wa mchele
Unga wa ngano
Unga wa ulezi
Unga wa dengu
Be specific unataka unga upi.
Upande wa asali na maziwa kila kaya wanavyo hawahitajiki kwenda supermarket.

Tunaenda supermarket kununua electronic devices na siyo food.
View attachment 2003935
Nyamaza kama umeshindwa kuleta bei.
 
Back
Top Bottom